Ruzuku na asali za CCM ndio zimetufanya kusahau michango ya makamanda? Hiki kiburi cha muda kitaisha tu


Tulia wewe punga wa CCM.
 
Kamanda asiechoka wa konyo!!! Wee endelea kutafuta riziki yako hapo Lumumba. NB; Utawala wa sasa hautaki misifa mzee, enzi zile ungeshapata udc!!
 
Kamanda keshajichokea tena choka mbaya. Wewe ng'amg'ana na ukamanda wenzako familia zao zimeachwa majuu.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Bora adui wa mbali kuliko adui ndugu(wa karibu) huwezi kuwa kamanda wa Chadema lakini kutwa unalalamika kuhusu Chadema.
 
mapunga ya sukuma gang yaliyozoea kuuwa watu 2025 tinaenda kuyafuta kabisa hata udiwani hayapati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…