Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hapa inajengwa gizani?Ofisi ipo ktk hatua za mwisho mwisho vuta subira kidooogo utashangaa na kufurahi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa inajengwa gizani?Ofisi ipo ktk hatua za mwisho mwisho vuta subira kidooogo utashangaa na kufurahi.
Nawakubali Chadema lakini kwenye ofisi hapanaHili swali sijui likaulizwe kwenye kampeni?
Mpenzi wangu nilikumiss
We mtu wa ajabu Sanmkuu hujui kitu, hayo magari yametokana na ufadhili wa mabeberu alafu we unaleta habari za ruzuku.
Heshima yako.Mlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni
MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar Es Salaam.
Ruzuku ya CCM inatumika kuihujumu kuidhoofisha chadema na cha ajabu CCM wanawaita wanaume wenzao mabeberu utazani wao ni mbuzi jikemkuu hujui kitu, hayo magari yametokana na ufadhili wa mabeberu alafu we unaleta habari za ruzuku.
Hatupendi anasa tuko kutumikia wananchi.Chadema na tofautiana nao kushindwa kujenga makao makuu ya chama hata ofisi ya milioni 300 ya kisasa ambayo haina BOQ
Yereeeeeeeh yeyooooohhNakupendaga bure tu
Cyprian Musiba na le mutuz wanalipwa mabilioni kwa kazi ya propaganda za kijinga jinga ni mojawapo ya matumizi mabaya ya ruzuku ya CCMHatupendi anasa tuko kutumikia wananchi. Nyie wenye ofisi nzuri hadi rambirambi mnaiba. Lazima mnirudishie hela yangu niliowachangia wanabukoba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nembo tiu inakutosha kijiua na ya nani Wahuni wenu kina Lijuakali waliwadanganya mkaingia mkengeTuwekee na kadi za hayo magari tuond mmiliki wake ni nani, maana nasikia magari yote yana jina la Mbowe, baada ya uchaguz anachukua magari yake
Hawakushindwa kujenga ila haikuwa priorityChadema na tofautiana nao kushindwa kujenga makao makuu ya chama hata ofisi ya milioni 300 ya kisasa ambayo haina BOQ
Nyumba zitapatikana kwa CCM kuwagawia nyumba vyama vya upinzani kwani baada ya mfumo wa vyama vingi mali za mfumo wa chama kimoja zilipaswa kugawanywa kwa usawa pande zote zipate nyumba hizo.Heshima yako.
Gari bila nyumba ni utoporo
CCM wanamiliki nyumba za vyama vyote inatakiwa wazigawe kwa vyama vya upinzaniHawakushindwa kujenga ila haikuwa priority
Wameua brand name ya chama na kutumia kauli mbiu, tena kwa vifupi, tena kwa Viingereza.
Una ushahidi wa huo ufadhili au unaongea siasa?mkuu hujui kitu, hayo magari yametokana na ufadhili wa mabeberu alafu we unaleta habari za ruzuku.
Kadi za magari ziko oficin. Na sidhan kama kuna gari lina jina la mboweTuwekee na kadi za hayo magari tuond mmiliki wake ni nani, maana nasikia magari yote yana jina la Mbowe, baada ya uchaguz anachukua magari yake