gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,920
- 6,081
Mkuu kuna jambo limewahi kukwama kisa hakuna jengo la Cdm?
No siyo kweli ni lazima ofisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No siyo kweli ni lazima ofisi
Hii picha itafanya watu anuneee....mwaka huu tutafika wengi kwa pressure ya kushuka...maana ile ya kupanda ishapanda tiariMlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni
MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
Aaaaah! Unalipenzi kama hilo? Usikute ah basi ngoja niache. Ila msaidie sana anahitaji msaada huyoMpenzi wangu nilikumiss
Billioni 8 = 6 double cabins oops 25 reconditioned registered in the name of DJ Mbowe aka mlevi wa konyagi.Mlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia
MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
Hongereni lakini mnayo ofisi ya chama dodoma????, maana mnahitaji kukutana na wanachama mara baada ya Lissu kuchukua form.CCM walikutana ofisini kwao. Miaka 20 hata ofisi hamna dodoma duuuuHujaelewa mkuu, mtoa mada kasema zimenunuliwa kwa fedha za ruzuku bt sio kweli, shida ya machadema wengi hamuijui chadema vzuri mnarukia rukia tu mambo.
Kwani ungesemaje Kama sio hivyo?Mkuu hujui kitu, hayo magari yametokana na ufadhili wa mabeberu alafu we unaleta habari za ruzuku.
Picha za kutisha.Mlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni
MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
No. Yaani kuwa na jengo la ofisi hakuna maana?! unaona bora kuendelea kupanga kale kakibanda pale Ufipa!CHADEMA wana akili sana, siasa zinahitaji uwekezaji kwenye CAPEX kama hizi na sio kuwa na mjengo usiokuwa na maana.
Ndo mana benk wana mabilioni lakini wanapanga. Issue ni matumizi sahihi ya pesa
Wamenuna tena...!!!Mlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni
MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
Mlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni
MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
Chadema itapata wasaidizi wengi toka CCM pindi kamati kuu Dodoma wakivurunda kuwasaidia ngeleja, Angela kairuki, Kitwanga, Mwakyembe, Bashite na wenzao akina GumboMagari 25 mbona Kama hayatoshi kupambana na mashetani ya kijani
Mbona simu unayotumia,hata chupi uliyovaa vyote ni vya mabebelu!Mkuu hujui kitu, hayo magari yametokana na ufadhili wa mabeberu alafu we unaleta habari za ruzuku.
haya magari wamekopa kwa mtu beberu ili waje wamlipe rasilimali zetu.Mlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni
MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
Wewe ndiyo mburula hujui kitu zaidi ya kukariri zidumu fikra zisizo sahii za mwenyekiti wa CCM, fikra za kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzaniusijitoe faham beberu linalozungumziwa hapa unalijua, chadema ni wapinzani uchwara kila kitu wanapinga bt hata siku moja hatujasikia wakipinga kupokea ruzuku hapo ndo mnapaswa mjiongeze nyie mbulula mnaopa support
CCM wanawaita wanaume wenzao mabeberu utazani wao ni mbuzi jikehaya magari wamekopa kwa mtu beberu ili waje wamlipe rasilimali zetu.
Majengo ya CCM ni mali ya vyama vyote inatakiwa CCM wawagawie vyama vingineMkuu kuna jambo limewahi kukwama kisa hakuna jengo la Cdm?
Ungependa wote watoke kwenu Chato kama wale wa Ikulu? Waombe tu watafikiriwa maana magari ni mapya yatahitaji madereva wapya.Hongereni sana 'Watani' zangu wakuwa CHADEMA ni hatua nzuri, ila ombi langu tu Kwenu ninaomba 'Madereva' wasiwe wanatokea tu Kilimanjaro.
Ruzuku ya CCM inapigwa kifisadi mpaka le mutuz anaitafuna siku CAG akikagua ruzuku ya CCM watafungwa mpaka wasitaafu wa CCM waliopo vijijiniNa mlivyo WAONGO na majizi ya kutupaaa.
Hizo picha za miaka ya nyuma Sana.
Then hayo ndomajibu yenu ya utafunaji wa fedha za rudhuku(fedha za wavuja jasho sisi)?
Kikundi chenu hicho Cha upigaji ni hatari Sana kwa nchi