sio ni yeye tena mzigo m4c , biashara kibiashara biasharaniMlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni
MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
we ni fool aid wa chadomo.Kuna wakati uki-practice sana uwendawazimu, unakuwa mwendawazimu kamili. Nadhani umekamilika
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya kukujibu huo utumbo, nakutaka ulete uthibitisho kwamba bilioni 10 zimeshatumika. Kama hazijatumika, kuna tatizo gani?Ha ha ha aa! Naona nimegusa pasipogusika. Hata hivyo, Mkuu, unaweza kunisaidia kurejesha utimamu wa akili zangu kwa kujibu swali hili
"Je. bilioni 10 za ela za kitanzania ambayo ni sehemu ya ruzuku imetumika kufanya nini!?"
Aliyekusikilizisha ulishindwa kumwambia akuoneshe hizo kadi zinazoonesha umiliki wa hayo magari ni ya Mbowe.?Tuwekee na kadi za hayo magari tuond mmiliki wake ni nani, maana nasikia magari yote yana jina la Mbowe, baada ya uchaguzi anachukua magari yake.
Kwa taarifa yako ruzuku ni kodi ya watanzania woote ipo kikatiba kila chama kinapewa kulingana na vigezo!!usijitoe faham beberu linalozungumziwa hapa unalijua, chadema ni wapinzani uchwara kila kitu wanapinga bt hata siku moja hatujasikia wakipinga kupokea ruzuku hapo ndo mnapaswa mjiongeze nyie mbulula mnaopa support
Mkuu tindo sidhani kama kuna mtu anayekataa suala la ujenzi wa ofisi za chama isipokuwa halipaswi kuwa kipaumbele namba moja kwa sasa.Well & good. Tunaomba huko mbeleni badala ya kununua magari zaidi, ni vyema wakajenga ofisi kila mkoa. Nina uhakika hayo magari hayapungui 70m@, lakini 70m tunaweza kununua eneo la heka moja+ kila mkoa kwa bajeti isiyozidi 10m. Na kujenga ofisi ya 60m, ambayo mbali ya jengo, kutakuwa na eneo kubwa la wazi nyuma ambalo litaezekwa kwa bati na kutumika kama sehemu ya mikutano ya ndani. Ukishakuwa na ofisi za kudumu, ni rahisi chama kuendelea kuwa na sehemu sahihi za kukutana, hata nyakati za hujuma. Hiyo itapelekea kutokuhitaji vibali kwa ajili vya mikutano ya ndani. Na kwa hapa Dar Nina uhakika ikitengwa 500m, kuna uwezekano wa kujenga jengo la ghorofa mbili au tatu litakalokuwa ofisi za kisasa za chama.
Picha toka mwaka 2015 hiziMlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni
MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
CCM wametuambia chama chao ni cha uongozi nyie ni vyama vya uchaguzi inatakiwa muwajibu kwa hojaMlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni
MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
Wewe umeadhiriwa na utopolo unaozungumza na viongozi wako kwenye majukwaa.Kama makusanyo ya Kodi ni 1 T kwa mwezi na mishahara tu ya wafanyakazi unalipa 700B a month,niambie hiyo fedha ya ndani ya kutumia inatoka wapi? Lakini pia hivi unakumbuka nani alificha takwimu za kukopa? Je ni yule anayesema anatumia pesa za ndani au ni beberu? Hii corona ikiendelea na mpango and Mr jalala wasipate nafasi ya kwenda kutembeza bakuri kwa beberu just wait uone Ile budget ya matirioni Kama atatekelezwa hata kwa 30%kwa akili hizi ni ngumu kuujua ushenzi wa beberu, jiulize tu kwanini tangu tupunguze kuchukua mikopo nakutumia pesa za ndani mbona mabeberu yanang'aka sana? wale hawataki mwafrika ajitawale ndo maana wameunda mifumo kandamizi itakayotufanya kua duni daima.
Bila kuwa priority huwezi kupiga hatua....Nawakubali Chadema lakini kwenye ofisi hapana
Welk said na je go Hilo la ghorofa floor moja kuwa ukimbizi wa mikutano.
Ndio ruzuku ya miaka mitano hiyoMlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni
MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
Mimi ninazo hoja kadhaa lakini siyo msemaji wa vyamaNa hiyo hoja si ya kukurupuka.
Ofisi na vitega uchumi pia.
Nadhani jambo ambalo chadema imekosea 2015-2020 ni uwekezaji mdogo.
Kwa sababu
1. Walikua na wabunge wengi
2. Walikua na wanachama wengi
3. Walikua na ruzuku kubwa
Ujenzi wa chama ni muhimu sana kuliko ofisi na vitega uchumi japo inabidi wabalance.
Tusilinganishe na ccm ambayo ofisi nyingi zilijengwa kwa fedha ya walipa kodi na 1992 wakapora kama mali zao.
28 oktoba mabeberu yatawapanda subirini...mnayataja sanaMkuu hujui kitu, hayo magari yametokana na ufadhili wa mabeberu alafu we unaleta habari za ruzuku.
Mnamwogopa mbowe sanaTuwekee na kadi za hayo magari tuond mmiliki wake ni nani, maana nasikia magari yote yana jina la Mbowe, baada ya uchaguzi anachukua magari yake.