Uchaguzi 2020 Ruzuku ya CHADEMA yanunulia magari ya kampeni

Uchaguzi 2020 Ruzuku ya CHADEMA yanunulia magari ya kampeni

Wewe umeadhiriwa na utopolo unaozungumza na viongozi wako kwenye majukwaa.Kama makusanyo ya Kodi ni 1 T kwa mwezi na mishahara tu ya wafanyakazi unalipa 700B a month,niambie hiyo fedha ya ndani ya kutumia inatoka wapi? Lakini pia hivi unakumbuka nani alificha takwimu za kukopa? Je ni yule anayesema anatumia pesa za ndani au ni beberu? Hii corona ikiendelea na mpango and Mr jalala wasipate nafasi ya kwenda kutembeza bakuri kwa beberu just wait uone Ile budget ya matirioni Kama atatekelezwa hata kwa 30%
kama jina lenyewe ni SIJIJUI unatarajia hapa kuna kitu utakijua.
 
Mbona tuliambiwa kuwa hawa watu hawana fedha ya kampeni? Hayo mahela yote mmenunulia magari si mngewekeza kwenye kampeni? Ama kweli, kupanga ni kuchagua. Inatisha wakati unaenda kununua gari huku huna pa kuilaza (ofisi)
 
Najaribu kupiga hesabu za kufikirika hapa. Ebu fikiria Chadema wanapokea ruzuku milioni mia nne(TZS.400 million) kwa mwezi. Pia fikiria kuwa mpaka sasa wamepewa ruzuku kwa miezi yote ndani ya miaka minne. Hivyo, mpaka sasa watakuwa wamekusanya karibu bilioni kumi na tisa (TZS 19 bilioni). Pia inasemwa wabunge wake walikuw wanakatwa mishahara/ posho kila mwezi kwa ajili ya kuendesha chama na mambo mengine.

Sasa turudi kwenye ununuzi wa magari. Ebu fikiria kwa wastani kila gari limenunuliwa kwa shillingi 60 milioni( pamoja na kodi na ushuru). Hivyo, Chadema watakuwa wametumia shilingi 1.5 bilioni kwenye ununuzi wa magari.

Bilioni 19 kutoa bilioni 1.5 zinabaki 17.5 bilioni. Sema bilioni 7.5 zimetumika kwenye shughuli za uendeshaji chama. Je. bilioni 10 za ela za kitanzania ambayo ni sehemu ya ruzuku imetumika kufanya nini!? Nimetoa maelezo haya nikijua yupo CAG anaye kagua mahesabu. Mimi si mkaguzi bali najaribu kufikiria namna Chadema wanavyotumia ruzuku.
Kwa hiyo milion 400 kwa miezi mnne ni sawa na Bilioni 19??
😅😅😅chagua mwenyewe tusi. Maana tutakupendelea sisi.
 
Kabla ya kukujibu huo utumbo, nakutaka ulete uthibitisho kwamba bilioni 10 zimeshatumika. Kama hazijatumika, kuna tatizo gani?
Nafikiri huu si utaratibu wa kujibu hoja. Ukiona napungufu ya hoja, unachokifanya nikuonyesha na kuyaweka wazi mapungufu hayo kisha unaweka na ushahidi kudhibitisha mapungufu ya hiyo hoja.

Mfano, ungekuja na maelezo kuwa , ndugu TUJITEGEMEE, maelezo aliyotoa si sahihi kwa sababu zifuatazo
1. Chadema inapata kiasi cha shillingi kadhaa cha ruzuku kwa mwezi, na kwa miaka minne Chadema wamepata jumla shillingi kadhaa cha ruzuku.
2.Chadema wanawatoza wabunge wao kiasi kadhaa kutoka kwenye posho/ mishahara yao. Kwa miaka minne chadema wamekusanya kiasi kadhaa kutokana na tozo hizi
3.Matumizi ya kawada ya Chadema nikiasi kadhaa kwa mwezi na kwa miaka minne wametumia kadhaa
4. Magari yaliyonunuliwa yametumia kiasi kadhaa cha shilingi za kitanzania.
5....
6.....
Nakadhalika nakadhali.

Na mwisho ungehitimisha kuwa kwa maelezo hayo hapo juu, hesabu za kufikirika za Ndugu TUJITEGEMEE si sahihi.

Kwa kufanya hivyo, Mkuu, ungekuwa umerarua hoja yangu barabara.
===
Karibu sana uirarue hoja yangu.
 
Mlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni


MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
DA UONGO MWINGINE MUWE MNADANGANYANA WENYEWE TU HUKO SASA HIZI GARI ZA UCHAGUZI ULIOPITA UNALETA PICHA ZA ZAMANI HAPA UNAJITIA AIBU KWAKWELI ANGALIA KWANZA CHINI KUNA MVUA IMENYESHA TUNAZIKUMBUKA SANA HIZO GARI-- nawafokea
 
Mkuu hujui kitu, hayo magari yametokana na ufadhili wa mabeberu alafu we unaleta habari za ruzuku.
Wakiongea na Ccm ni wadau, wawekezaji, mabalozi etc. Lakini hao hao wakiongea na Cdm ni mabeberu ?!. Binaadamu tumezaliwa na unafki
 
Aisee kwa hali hii basi kuna mtu lazima akapusuke hiyo October 28.

Wale wazee waliokuwa wanahoji ruzuku ya chama inaenda wapi basi majibu ndio hayo.
 
Mkuu tindo sidhani kama kuna mtu anayekataa suala la ujenzi wa ofisi za chama isipokuwa halipaswi kuwa kipaumbele namba moja kwa sasa.

Kama ulivyoshauri 'mbeleni huko' ni sahihi kabisa. Baadhi ya watu wanapigwa porojo kwamba Cdm haifai kupewa nchi sababu haina ofisi.

Well, wangejenga ofisi nchi nzima kisha wakati kama huu wa uchaguzi wangetumia majengo kuwafikia wananchi?

Ni ukweli kwamba chama bado hakijawa na rasilimali za kutosha kufanya kila jambo hivyo issue ya vipaumbele ni muhimu sana, so far so good [emoji111][emoji111]

Mkuu kwa bahati mbaya hili wazo langu naona umeliona sasa. Kwa mara ya kwanza nilishauri ujenzi wa ofisi za chama kuanzia 2012, wakati huo Slaa akiwa katibu mkuu. Tena nilishauri wakati ule Sabodo anatoa fedha, wakati ule ilikuwa rahisi sana hilo kufanyika. Wazi hilo la kujenga ofisi kila mkoa nililirudia tena 2014, chama kikiwa na hamasa, ambapo uwezekano wa watu kujenga kwa kujitolea ofisi hata ya room tatu kila mkoa ilikuwepo. Sasa kama tungekuwa tumeanza kujenga wangalau ofisi tano kila mwaka, tusingekuwa na ofisi tunayomiliki kila mkoa?
 
Nafikiri huu si utaratibu wa kujibu hoja. Ukiona napungufu ya hoja, unachokifanya nikuonyesha na kuyaweka wazi mapungufu hayo kisha unaweka na ushahidi kudhibitisha mapungufu ya hiyo hoja.

Mfano, ungekuja na maelezo kuwa , ndugu TUJITEGEMEE, maelezo aliyotoa si sahihi kwa sababu zifuatazo
1. Chadema inapata kiasi cha shillingi kadhaa cha ruzuku kwa mwezi, na kwa miaka minne Chadema wamepata jumla shillingi kadhaa cha ruzuku.
2.Chadema wanawatoza wabunge wao kiasi kadhaa kutoka kwenye posho/ mishahara yao. Kwa miaka minne chadema wamekusanya kiasi kadhaa kutokana na tozo hizi
3.Matumizi ya kawada ya Chadema nikiasi kadhaa kwa mwezi na kwa miaka minne wametumia kadhaa
4. Magari yaliyonunuliwa yametumia kiasi kadhaa cha shilingi za kitanzania.
5....
6.....
Nakadhalika nakadhali.

Na mwisho ungehitimisha kuwa kwa maelezo hayo hapo juu, hesabu za kufikirika za Ndugu TUJITEGEMEE si sahihi.

Kwa kufanya hivyo, Mkuu, ungekuwa umerarua hoja yangu barabara.
===
Karibu sana uirarue hoja yangu.
Sio utaratibu wa kujibu hoja? Pumbavu wewe! Unanipangia mimi namna ya kujibu? Salimia lile jibwa la kakonko.
 
Mkuu hujui kitu, hayo magari yametokana na ufadhili wa mabeberu alafu we unaleta habari za ruzuku.
kwani CAG hakuona hizo pesa za mabeberu kwenye taarifa yake? Maana pesa za vyama zinakaguliwa na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali. Ingekuwa za mabeberu angekaa kimya kweli? Think outside the box ndugu.
 
Back
Top Bottom