Uchaguzi 2020 Ruzuku ya CHADEMA yanunulia magari ya kampeni

Uchaguzi 2020 Ruzuku ya CHADEMA yanunulia magari ya kampeni

Basi wewe una akili nyingi kuliko CAG aloyetoa hati safi. Huko kwenu ruzuku ina kazi moja tu eti?
Najaribu kupiga hesabu za kufikirika hapa. Ebu fikiria Chadema wanapokea ruzuku milioni mia nne(TZS.400 million) kwa mwezi. Pia fikiria kuwa mpaka sasa wamepewa ruzuku kwa miezi yote ndani ya miaka minne. Hivyo, mpaka sasa watakuwa wamekusanya karibu bilioni kumi na tisa (TZS 19 bilioni). Pia inasemwa wabunge wake walikuw wanakatwa mishahara/ posho kila mwezi kwa ajili ya kuendesha chama na mambo mengine.

Sasa turudi kwenye ununuzi wa magari. Ebu fikiria kwa wastani kila gari limenunuliwa kwa shillingi 60 milioni( pamoja na kodi na ushuru). Hivyo, Chadema watakuwa wametumia shilingi 1.5 bilioni kwenye ununuzi wa magari.

Bilioni 19 kutoa bilioni 1.5 zinabaki 17.5 bilioni. Sema bilioni 7.5 zimetumika kwenye shughuli za uendeshaji chama. Je. bilioni 10 za ela za kitanzania ambayo ni sehemu ya ruzuku imetumika kufanya nini!? Nimetoa maelezo haya nikijua yupo CAG anaye kagua mahesabu. Mimi si mkaguzi bali najaribu kufikiria namna Chadema wanavyotumia ruzuku.
 
laiti ungeliujua uhalisia wa mabeberu sidhani kama ungeendelea kufungua hilo kopo lako bila break, mabeberu wameunda taasisi za kimataifa ili waendelee kututawala, wameunda mfumo unaotufanya tegemezi kwao kila siku

hufikirii kwa nini saivi kuna propaganda za hovyo kuihusu tanzania? ni kwa sababu tumepunguza utegemezi wa mikopo na kutumia mikopo ya ndani kujenga miradi mikubwa hili ni pigo kwao.

usichokijua mzungu hataki ujielewe na ujitegemee ndo maana unapojaribu kujitegemea kama nchi utafanyiwa figisu kila kona.
Mmepunguza utegemezi wa mikopo wakati taarifa zinaonyesha kuwa deni la taifa limepaa kwa kasi ya ajabu? Je deni hilo linatokana na kitu gani kama si mikopo?
 
Mlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni


MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
Yale yaliyonunuliwa 2015 yameeda wapi? shangilieni eti ruzuku imenunua, ruzuku ipi wakati yote inaishia mfukoni mwa mtu mmoja. haya magari yote yanaingia kwenye deni la mwenyekiti na yatalipwa kwa ruzuku ijayo.
 
Mkuu hujui kitu, hayo magari yametokana na ufadhili wa mabeberu alafu we unaleta habari za ruzuku.
Bora ya kutoka kwa mabeberu maana sisi wananchi wa kawaida hela za kutoka kwa mabeberu wala hazituumizi, kinachotuumiza ni upotezu wa 1.5 trl. na matumizi mabaya ya madaraka. Unakumbuka kile kitendo cha wafungwa kutumika kupandisha bendera zenu kule Dodoma July? Tukumbushane wale askari siku ile walihesabika kuwa wako kazini? mwisho wa mwezi walipokea mshahara uliyojumisha na hiyo siku?
 
Mlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni


MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
Machache sana labda wangelikuwa wanaongelea 100
 
Upewe ushahidi wewe ukiwa kama nani? Punguani Wa Chattle.com
Yale magari kama hayo ya 2015 yameenda wapi?

Nyie mabumunda ndio maana Mbowe anajipigia tu mihela anajua mpo kwa ajili mtamtetea tu
 
Hujaelewa mkuu, mtoa mada kasema zimenunuliwa kwa fedha za ruzuku bt sio kweli, shida ya machadema wengi hamuijui chadema vzuri mnarukia rukia tu mambo.
Acha kujitoa ufahamu we kenge....ccm kwa sasa inaongozwa kwa rimoti kutoka chato maamuzi yote ni ya mtu mmoja...
 
Yale magari kama hayo ya 2015 yameenda wapi?

Nyie mabumunda ndio maana Mbowe anajipigia tu mihela anajua mpo kwa ajili mtamtetea tu
We we ndo kibama ..magari ya 2015 yameenda mikoani kwenye ofc zetu za kanda ...na bado inakuja na helkopta
 
Mlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni


MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
Acha kutulisha matango pori kwa picha za 2015. Kama ruzuku ilikuwa ni kwa ajili ya kununua magari ya kampeni 2020 si wangetoa majibu hayo, kwa nini walikuwa wakiulizwa wanapatwa kigugumizi?
 
Mlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni


MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
Kipind Cha uchaguzi huwa wananunua sana magari ila uchaguzi ukiisha haijulikan yanaenda wap huwa yanaonekana machache sana mtaan
 
Tuwekee na kadi za hayo magari tuond mmiliki wake ni nani, maana nasikia magari yote yana jina la Mbowe, baada ya uchaguzi anachukua magari yake.
Tieni tieni kwa moyo mmoja,nambari one eeeeeeeeeeh.
773030_MadeInNigeriaConvertible_jpg8b6f9fb4779e2c426965726e6503d0d1.jpg
 
Back
Top Bottom