Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nimefafanua hapo juuWabunge wa viti maalumu hupatikana kwa fomula hiyo hiyo
Never haukuwa halali. I guess baada ya maridhiano haya, basi ya nyuma mnayaacha na mnasonga mbele katika maridhiano. Kwa andiko la Erythrocyte hili, I can now believe ie it is most likely kuwa Chadema wamechukua ruzuku iliyoandikwa jana!Sasa ndo mnakubali kuwa uchaguzi ulikuwa halali
SAWA.Hili ni jambo muhimu sana ambalo wana JF mnapaswa kulifahamu, kwamba ruzuku ya vyama vya siasa hutolewa kutokana na Kura za Jumla ambazo Chama kimepata kutoka kwenye Uchaguzi Mkuu husika...
Hii kazi unayofanya sasa inazidi kuwa ngumu sana, hasa kwa mtu kama wewe unayeamini chama kwa dhati kabisa.Hili ni jambo muhimu sana ambalo wana JF mnapaswa kulifahamu, kwamba ruzuku ya vyama vya siasa hutolewa kutokana na Kura za Jumla ambazo Chama kimepata kutoka kwenye Uchaguzi Mkuu husika...
Asante sana kwa ufafanuzi huu maana upotoshaji ulikuwa mwingi sanaHili ni jambo muhimu sana ambalo wana JF mnapaswa kulifahamu, kwamba ruzuku ya vyama vya siasa hutolewa kutokana na Kura za Jumla ambazo Chama kimepata kutoka kwenye Uchaguzi Mkuu husika...
You have said it all brother [emoji1545]Never haukuwa halali. I guess baada ya maridhiano haya, basi ya nyuma mnayaacha na mnasonga mbele katika maridhiano. Kwa andiko la Erythrocyte hili, I can now believe ie it is most likely kuwa Chadema wamechukua ruzuku iliyoandikwa jana...
Ni wazi kabisa wachawi wa chadema mnaumia rohoniUnajitekenya afu unacheka mwenyewe
Sasa ndo mnakubali kuwa uchaguzi ulikuwa halali
Kumwamini mpinzani LAZIMA uwe chizi
Vibaya mnoo [emoji23]Ni wazi kabisa wachawi wa chadema mnaumia rohoni
Ona huyuChama kimepoteza mvuto baada ya wachache kulamba asali..hata wewe Erythrocyte ni vile hujafikiwa na asali!!
Wako kimkakati Zaidi wanaongea hoja dhaifu ili kupoteza uungwaji mkono Wa chama kwa wananchi
ππππππππππππNever haukuwa halali. I guess baada ya maridhiano haya, basi ya nyuma mnayaacha na mnasonga mbele katika maridhiano. Kwa andiko la Erythrocyte hili, I can now believe ie it is most likely kuwa Chadema wamechukua ruzuku iliyoandikwa jana...
Kwahiyo mzee Mandela alijitia uchizi kuridhiana na makaburu!Unajitekenya afu unacheka mwenyewe
Sasa ndo mnakubali kuwa uchaguzi ulikuwa halali
Kumwamini mpinzani LAZIMA uwe chizi
Umesoma vizuri lakini?Unajitekenya afu unacheka mwenyewe
Sasa ndo mnakubali kuwa uchaguzi ulikuwa halali
Kumwamini mpinzani LAZIMA uwe chizi