Clemence Mwandambo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 1,378
- 1,427
Mandela aliridhiana na makaburu itakuwa CHADEMA na CCM?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri wa mganga wewe ni mtu wa kufariji wagonjwa.Asante sana kwa ufafanuzi huu maana upotoshaji ulikuwa mwingi sana
Haya maswali yako naona yanajibika, tatizo naona kujibu naweza haribu mantiki ya mleta mada, hivyo kwangu ni vyema akajibu mwenyewe.SAWA.
Na hili la kutotambua na kushiriki katika mambo yatokanayo na uchaguzi haramu je? Au hayo yalikuwa ni matamshi ya kufurahisha watu tu?
wewe ndio chizi huko kwenye lichama lenu la majiz ya kura ila mamayenu amewanyoosha mpaka hamjui mfanye nini na 2025 mtakuwa vichaa kabisa maana bukusaba hamtaiona tena.Unajitekenya afu unacheka mwenyewe
Sasa ndo mnakubali kuwa uchaguzi ulikuwa halali
Kumwamini mpinzani LAZIMA uwe chizi
mamayenu anahamia chadema kule moshi au hamna habar mmebaki kuedit matako ambayo huwa mnasukumiwa moto na marijali huko lumumba.Huku Chadema inatuletea vituko!View attachment 2538872
chama kupoteze mvuto kwa kuwa lumumba bukusaba amekoment jf, by the way mamayenu anaenda kukabodhiwa kadi ya chadema au nguruwe wa lumumba hio habar hamna, pia nawakumbasha kuwa katibu mkuu wenu anamikutano ila mmemtelekeza.Chama kimepoteza mvuto baada ya wachache kulamba asali..hata wewe Erythrocyte ni vile hujafikiwa na asali!!
Wako kimkakati Zaidi wanaongea hoja dhaifu ili kupoteza uungwaji mkono Wa chama kwa wananchi
fake news ta Act imewatafuna wajinga wa buku saba na bado 2025 mtakuwa vichaa kabisa maana yule shetani wa kuwabeba hayupo mtagongwa mpaka maji muite mmaaa.Kwa kutetea huku swala la ruzuku, mnaukubali uchaguzi wa 2020 au hamuukubali? 😂😂😂 kuwa na tonge mdomoni tena la moto lazima likuwie
Ugumu kuongea unabaki unamung’unya tu na kutoa moshi mdomoni kama dragon
Kwani hizo kura mlizipata ni lini mmezitambua?Hili ni jambo muhimu sana ambalo wana JF mnapaswa kulifahamu, kwamba ruzuku ya vyama vya siasa hutolewa kutokana na Kura za Jumla ambazo Chama kimepata kutoka kwenye Uchaguzi Mkuu husika.
Kwa mfano, Jumla ya Kura ambazo Chama kinapata kwenye Majimbo yote ndio zinazopigiwa mahesabu ya kujua hata idadi ya wabunge wa viti maalum watakaotokana na chama hicho na kiasi cha ruzuku ambayo chama hicho kitapewa.
Kwahiyo kumbe ule uzushi kwamba Wabunge wa viti maalum ndiyo wanaviletea vyama vya siasa ruzuku unazimwa kama Mshumaa kwenye kipupwe kikali.
Uchaguzi haukuwa halali ila you have to move on. Uchaguzi ulikua umeibwa haya wamekubali tume huru na Katiba mpya, mmepewa mikutano, mmefutiwa kesi, Sasa ulitaka Nini kifanyike ndio watu wa move on?Unajitekenya afu unacheka mwenyewe
Sasa ndo mnakubali kuwa uchaguzi ulikuwa halali
Kumwamini mpinzani LAZIMA uwe chizi
As much us I don't support this ila ndio vikao vya maridhiano you gain some you lose some
You decided to gain money and lose respectAs much us I don't support this ila ndio vikao vya maridhiano you gain some you lose some
Nimetumia hela zisizohesabika kwa ajili ya Chadema , sijui ni sh ngapi ." wanachama wetu na wafuasi waliendelea kufanya kazi za chama bure kabisa bila malipo, na hii inaonesha kuwa Chama chetu ni chama cha watu."
Asante sana mkuuUchaguzi haukuwa halali ila you have to move on. Uchaguzi ulikua umeibwa haya wamekubali tume huru na Katiba mpya, mmepewa mikutano, mmefutiwa kesi, Sasa ulitaka Nini kifanyike ndio watu wa move on?
Mkuu huwa nakuelewa sana , Lakini ni lazima utambue kwamba Chadema ni Taasisi ambayo ina utaratibu wake na hasa inavyo vikao vya maamuzi , chama kinapoingia kwenye maridhiano kuna vitu ni lazima kikubali kupoteza , kama vile ccm walivyokubali kupoteza baadhi ya mambo yao .SAWA.
Na hili la kutotambua na kushiriki katika mambo yatokanayo na uchaguzi haramu je? Au hayo yalikuwa ni matamshi ya kufurahisha watu tu?
Hakuna nisichokijua na kwa kweli hata ya huko mbele nayajua kwa kiasi kikubwa japo hakuna lolote la kunitoa kwenye reli , yote ni mazuri sana kwa mstakabali wa chama na nchi , sina haja ya kujificha kisa maridhiano .Hii kazi unayofanya sasa inazidi kuwa ngumu sana, hasa kwa mtu kama wewe unayeamini chama kwa dhati kabisa.
Ushauri ninaoweza kukupa ili usiharibu hadhi yako kwa sasa, tena kwa haraka sana, ungejipa muda kidogo ili mambo yafumbuke zaidi huku ndani ya chama.
Haitachukua muda mwingi sasa, hapa tulipofikia sasa kwa hali halisi ya chama kujitokeza mbele kila mtu ajue kipo upande gani.
Nipo nimekaa pale hiyo 2025 mkifika na wafuasi wa kutosha niiteni bata bukinifake news ta Act imewatafuna wajinga wa buku saba na bado 2025 mtakuwa vichaa kabisa maana yule shetani wa kuwabeba hayupo mtagongwa mpaka maji muite mmaaa.
Naunga mkono ruzuku ichukuliwe. Huwezi kumsusia nguruwe shamba la mihogo. Utakula hasara mwenyewe.Hili ni jambo muhimu sana ambalo wana JF mnapaswa kulifahamu, kwamba ruzuku ya vyama vya siasa hutolewa kutokana na Kura za Jumla ambazo Chama kimepata kutoka kwenye Uchaguzi Mkuu husika.
Kwa mfano, Jumla ya Kura ambazo Chama kinapata kwenye Majimbo yote ndio zinazopigiwa mahesabu ya kujua hata idadi ya wabunge wa viti maalum watakaotokana na chama hicho na kiasi cha ruzuku ambayo chama hicho kitapewa.
Kwahiyo kumbe ule uzushi kwamba Wabunge wa viti maalum ndiyo wanaviletea vyama vya siasa ruzuku unazimwa kama Mshumaa kwenye kipupwe kikali.