Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Mar 7, 2023 #61 Mambo yao waachie wenyewe, yasikuumize kichwa...
Allen Kilewella JF-Expert Member Joined Sep 30, 2011 Posts 21,470 Reaction score 40,593 Mar 10, 2023 #62 Huu ndiyo ukweli
much know JF-Expert Member Joined Oct 22, 2017 Posts 11,461 Reaction score 17,183 Mar 25, 2023 #63 laptop90 said: Ruzuku inatokana na idadi ya kura za urais Click to expand... Kwani kura za urais mlizitambua? Sent using Jamii Forums mobile app
laptop90 said: Ruzuku inatokana na idadi ya kura za urais Click to expand... Kwani kura za urais mlizitambua? Sent using Jamii Forums mobile app
okiwira JF-Expert Member Joined Jul 23, 2018 Posts 2,856 Reaction score 3,003 Mar 25, 2023 #64 Hakuna adui wa kudumu katika kutafuta shibe.
Yoda JF-Expert Member Joined Jul 22, 2018 Posts 48,475 Reaction score 70,102 Jan 4, 2024 #65 Lycaon pictus said: Huwa nashangaaga sana watu wanaoamini wanasiasa na kushabikia vyama vya siasa. nashukuru Mungu nimefikia 'Nirvana' ya kisiasa. Click to expand... Nirvana ya kisiasa inakuaje?
Lycaon pictus said: Huwa nashangaaga sana watu wanaoamini wanasiasa na kushabikia vyama vya siasa. nashukuru Mungu nimefikia 'Nirvana' ya kisiasa. Click to expand... Nirvana ya kisiasa inakuaje?
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 128,308 Reaction score 245,426 Jan 4, 2024 Thread starter #66 Mshana Jr said: Vibaya mnoo [emoji23] Click to expand... ππππ