Rwanda ifikapo 2026 watakuwa na umeme wa nyuklia wa bei nafuu na uhakika. Sisi tunashindwa nini wakati madini ya nyuklia tunayo kibao?

Rwanda ifikapo 2026 watakuwa na umeme wa nyuklia wa bei nafuu na uhakika. Sisi tunashindwa nini wakati madini ya nyuklia tunayo kibao?

Hivi mabaki ya nyukilia si yana athari zake na namna ya kuhifadhi na utupwaji wake. Ambayo hutupwa huku afrika Kwa kulipwa na mataifa Makubwa , Kwa baadhi yetu kupewa chenji kidogo
Hicho unachokiita mabaki ya nyukilia bila shaka unamaanisha radioactive waste. Hizi hazikwepeki kwa ulimwengu wa sasa wa tekinolojia. Zinazalishwa maeneo mbali mbali hususani kwenye hospitali zetu ambavyo vina vitengo vya nuclear medine. Zinazalishwa kwenye vitengo na taasisi mbalimbali za utafiti hususani za kilimo na kadhalika. Hivyo hata hapa Tanzania tunazalisha sana tu hizi radioactive wastes.

Radioactive wastes hizi zinazibitiwa kitekinolojia kwa miongozo na usimamizi wa International Atomic Agency ambalo hapa kwetu linawakilishwa na Tanzania Atomic Agency yenye makao makuu huko Arusha.

Pia ikumbukwe kuwa uzalishaji wa radioactive wastes katika mitambo hii ya nuclear power plants si mkubwa. Eneo la ardhi linalokaliwa na mitambo ya nuclear power plant yenye uwezo wa kuzalisha umeme wa GW 1.0 ni square mile moja tu (2.6 square km). Kuweza kuzalisha umeme wa GW 1.0 kwa kutumia upepo, eneo la ardhi litakalotumika ni mara 360 sawa na 936 square km, kwa umeme wa jua ni mara 75 sawa na 195 square km. Eneo la bwawa la umeme la Nyerere lina ukubwa wa 1,200 square km. Haya ni maeneo makubwa sana ya ardhi sawa na wilaya tatu au zaidi. Hivyo madhara yake kwa mazingira ni kubwa sana kuliko yale ya umeme wa nyukia. Kumbuka mabilioni ya miti iliyokatwa na matrillion ya uoto/ majani (fauna) ulioangamizwa ili kupata hilo bwawa la Nyerere.


View: https://youtu.be/3QXSkXHDZgU?si=Rz4n_KwkoUlnFOYg
 
yani mnamaanisha huyu Mama anayetuongoza sasaivi ndo Atuletee Umeme wa Nyuklia ??

Mbona kam mnatak kumuonea tu huyu mama usikute hata Kinu cha Nyuklia hakijui kilivyo, yeye anachojua ni Kuteua na Kutengua tu.

Tukimwambia basi Toka nenda hat Mikutano ya UN ukakutane na Wenzako mbadilishane mawazo ya Kiuchumi yey haendi anaend Mtwara Na wakina Harmonize.
 
Hicho unachokiita mabaki ya nyukilia bila shaka unamaanisha radioactive waste. Hizi hazikwepeki kwa ulimwengu wa sasa wa tekinolojia. Zinazalishwa maeneo mbali mbali hususani kwenye hospitali zetu ambavyo vina vitengo vya nuclear medine. Zinazalishwa kwenye vitengo na taasisi mbalimbali za utafiti hususani za kilimo na kadhalika. Hivyo hata hapa Tanzania tunazalisha sana tu hizi radioactive wastes.

Radioactive wastes hizi zinazibitiwa kitekinolojia kwa miongozo na usimamizi wa International Atomic Agency ambalo hapa kwetu linawakilishwa na Tanzania Atomic Agency yenye makao makuu huko Arusha.

Pia ikumbukwe kuwa uzalishaji wa radioactive wastes katika mitambo hii ya nuclear power plants si mkubwa. Eneo la ardhi linalokaliwa na mitambo ya nuclear power plant yenye uwezo wa kuzalisha umeme wa GW 1.0 ni square mile moja tu (2.6 square km). Kuweza kuzalisha umeme wa GW 1.0 kwa kutumia upepo, eneo la ardhi litakalotumika ni mara 360 sawa na 936 square km, kwa umeme wa jua ni mara 75 sawa na 195 square km. Eneo la bwawa la umeme la Nyerere lina ukubwa wa 1,200 square km. Haya ni maeneo makubwa sana ya ardhi sawa na wilaya tatu au zaidi. Hivyo madhara yake kwa mazingira ni kubwa sana kuliko yale ya umeme wa nyukia. Kumbuka mabilioni ya miti iliyokatwa na matrillion ya uoto/ majani (fauna) ulioangamizwa ili kupata hilo bwawa la Nyerere.


View: https://youtu.be/3QXSkXHDZgU?si=Rz4n_KwkoUlnFOYg

Kiwango kinachozalishwa Kwa hayo matumizi ya hospitali na kwenye kilimo ni mdogo Sana , kuweza kuwa tishio Kwa mazingira yetu. Lakini yanayozalishwa kutoka kinu cha Nuklia ni Makubwa Sana na nchi zilizoendelea huzilipa nchi maskini ili wajue watupe huo uchafu wao. Sema huwa haisemwi Kwani ni aibu Kwa nchi zilizoendelea kufanya hivyo na pia Kwa nchi zinazopokea uchafu huo Kwani hizo fedha huishia Kwa baadhi ya viongozi wa hizo nchi maskini.
 
Hadi tuvunje maagano yaliyowekwa wakati wa Uhuru ndio maendeleo yatakuja
 
Hicho unachokiita mabaki ya nyukilia bila shaka unamaanisha radioactive waste. Hizi hazikwepeki kwa ulimwengu wa sasa wa tekinolojia. Zinazalishwa maeneo mbali mbali hususani kwenye hospitali zetu ambavyo vina vitengo vya nuclear medine. Zinazalishwa kwenye vitengo na taasisi mbalimbali za utafiti hususani za kilimo na kadhalika. Hivyo hata hapa Tanzania tunazalisha sana tu hizi radioactive wastes.

Radioactive wastes hizi zinazibitiwa kitekinolojia kwa miongozo na usimamizi wa International Atomic Agency ambalo hapa kwetu linawakilishwa na Tanzania Atomic Agency yenye makao makuu huko Arusha.

Pia ikumbukwe kuwa uzalishaji wa radioactive wastes katika mitambo hii ya nuclear power plants si mkubwa. Eneo la ardhi linalokaliwa na mitambo ya nuclear power plant yenye uwezo wa kuzalisha umeme wa GW 1.0 ni square mile moja tu (2.6 square km). Kuweza kuzalisha umeme wa GW 1.0 kwa kutumia upepo, eneo la ardhi litakalotumika ni mara 360 sawa na 936 square km, kwa umeme wa jua ni mara 75 sawa na 195 square km. Eneo la bwawa la umeme la Nyerere lina ukubwa wa 1,200 square km. Haya ni maeneo makubwa sana ya ardhi sawa na wilaya tatu au zaidi. Hivyo madhara yake kwa mazingira ni kubwa sana kuliko yale ya umeme wa nyukia. Kumbuka mabilioni ya miti iliyokatwa na matrillion ya uoto/ majani (fauna) ulioangamizwa ili kupata hilo bwawa la Nyerere.


View: https://youtu.be/3QXSkXHDZgU?si=Rz4n_KwkoUlnFOYg

OUTCRY GROWS IN AFRICA OVER WEST'S WASTE-DUMPING

22 Jun 1988 — Outside the small port town of Koko, in the swampy Niger River delta, reporters found 3,800 tons of toxic waste in more than 2,000
 
Iwapo Afrika Kusini ni nchi pekee inayozalisha umeme kwa vinu vya nyuklea barani Afrika sasa hivi, ni vizuri kutambua ni kwa nini nchi nyingine zimesita kufanya hivyo. Rrwanda waendelee na mambo yao.
Tz tuchambue economics za kufua umeme kwa vyanzo vyetu vya maji, gesi, solar n.k. Uranium tutauza ktk soko la dunia.
 
Back
Top Bottom