Rwanda inafanya makubwa

Rwanda inafanya makubwa

Sijui watu wengine hamuelewi uchumi wa hizi nchi? $5m investment ni nini kwa Tz ? Huwezi ukalinganisha nchi ya GDP $ 61bn na nchi ya GDP $12bn, nchi yenye uchumi wa watu 65m na nchi yenye watu 11m.......nchi yenye ukubwa wa aridhi mara 12 na nchi ya Rwanda. ...... uchumi wa Rwanda bado sana japo wana tangaza sana kwenye media mimi ni meishi Kigali zaidi ya miaka miwili lakini bado sana ukilinganisha na Dar. Mjidanganye nyie msie tembea katika nchi hizi.

Hesabu zako sio sahihi, wewe mchumi wa wapi. Tanzania ilipaswa kuwa na uchumi mkubwa kuliko nchi zote za central na east Africa due to geographical location. Tuna bandari tuna madini lakini hatuna viongozi makini.
 
kwanini tisiifananishe??
kuwepo huko sio kigezo çha sisi kutoifananisha,labda ufafanue vizuri

by the way tunafananisha hapa sio nchi kwa nchi bali ni uongozi wa nchi na nchi,
 uongozi wa Rwanda upo strong na una unajua kutengeneza fursa mbalimbali japo wana rasilimali chache ukilinganisha na sisi Tz,
Kagame na nchi yake wanafaidika na huo uchache wa rasilimali tofauti na sisi ambao tuna kila aina ya rasilimali

Rwanda hata kwenye ukuaji wa kiuchumi wapo kasi sana kutuzidi sisi hivyo lazima tujilinganishe nao tu
NAHISI UNA USHUZI KICHWANI
UNAPOIFANANISHA SWEDEN NA TANZANIA UNAKOSEA SANA
SWEDEN INA POTENTIALS NYINGI SANA ZA KUENDELEA KIUCHUMI KULIKO TZ.
PIA SWEDEN MAENDELEO YAKE YANAONEKANA.
HIYO RWANDA UNAYOISIFIA MPAKA SASA HAWANA MAENDELEO BORA YA KIJAMII KULIKO TZ.
HIYO RWANDA IMEZIDIWA NA TANZANIA KATIKA SEKTA ZOTE.
HIYO RWANDA WANUFAIKA NI KIGALI NA RAIA WENYE KABILA LA RAIS.
EMBU TUJE KATIKA SOCIAL DEVELOPMENT KUAZIA HOSPITALS,PUBLIC TRANSPORTS,INFRASTRUCTURES,SCHOOLS,LARGER UNIVERSITIES N.K.
NA KWENYE ECONOMIC DEVELOPMENTS VIWANDA,MAKAMPUNI MAKUBWA,MILLIONAIRES AND BILLIONAIRES INTERMS OF DOLLARS N.K.
NITAJIE WAPI RWANDA ANATUZIDI???
YANI WEWE HATA CIVICS UNAONEKANA HUJAISOMA POOR YOU.
KAMA KENYA HAIFUI DAFU KWA TANZANIA ITAWEZA RWANDA???
EMBU KUWA NA AKILI
 
Hesabu zako sio sahihi, wewe mchumi wa wapi. Tanzania ilipaswa kuwa na uchumi mkubwa kuliko nchi zote za central na east Africa due to geographical location. Tuna bandari tuna madini lakini hatuna viongozi makini.
Mwenzako ndio yupo sahihi.
Nchi hupimwa uchumi wake kwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
Rwanda ametuzidi wapi hapo??
Usihame mada ulinganisho ni Tanzania na Rwanda.
 
Kwan umeambiwa maendeleo ni maghorofa meng??..tunaangalia ubora wa social services,.
NDIO WEWE SEMA NI SOCIAL SERVICES ZIPI RWANDA ANATUZIDI???
HAPA EAST AND CENTRAL AFRICA NI TANZANIA PEKEE ILIYOJITOSHELEZA KATIKA HUDUMA ZA KIJAMII.
KAMA UNABISHA TUANZE KUCHAMBUA KUANZIA HUDUMA YA AFYA,MAJI,ELIMU,UMEME NA MENGINEYO.
 
Mkuu vuta subra,

Kuna mbuzi itakuja ikuambie Rwanda ni kama Mkoa tu hivyo ni sawa wakiwa na kasi hiyo.

Nakumbuka kuna wakati niliishi Kigali baada ya kurejea nikawa nimekaa na vijana wenzangu nawapa habari za kule kwenye masuala ya mazingira, miundo mbinu na utii wa sheria.. akaibuka pimbi mmoja anasema “wale Rwanda ni sawa na Mkoa tu so wao ni rahisi kuendelea”

Nilimuuliza chukulia Mkoa mmoja wenye madini na rasilimali kama Shinyanga, je hali ya maendeleo ikoje? Hakuweza nipa jibu!

Moral of the story;
Tunaongea sana alafu miaka ya karibuni tumekua na tabia ya kufanya kila kitu kua cha kisiasa, kusifia na kuendekeza mambo ambayo hayatufikishi mbali tuki lose focus kwenye key developmental issues.

Tunahitaji kuwa na vipaumbele vya Taifa na mikakati SMART kuvifikia, hatuwezi kusubiri agenda za maendeleo za kudandia au ku download kutoka kwa nchi wafadhili kila wakati!

Agenda zetu kuu za maendeleo ni zipi?
Ukubwa wa eneo haujalishi katika maendeleo ya kiuchumi.
Ila Rwanda haina sehem imeizidi Tanzania pia Rwanda iko nyuma sana katika mambo ya kiuchumi ndio maana inapiga hatua kwa haraka ila mambo mengi katika nyanja ya kiuchumi TZ ipo katika climax.
Waulize wanauchumi kwanini USA ni world greatest economy lakini growth rate yake kwasasa ni 4% kwenda chini???
Je mataifa yanayopiga hatua kwa kasi ya 6% makubwa kuliko USA ukiitoa China????
 
Mael
Sijui watu wengine hamuelewi uchumi wa hizi nchi? $5m investment ni nini kwa Tz ? Huwezi ukalinganisha nchi ya GDP $ 61bn na nchi ya GDP $12bn, nchi yenye uchumi wa watu 65m na nchi yenye watu 11m.......nchi yenye ukubwa wa aridhi mara 12 na nchi ya Rwanda. ...... uchumi wa Rwanda bado sana japo wana tangaza sana kwenye media mimi ni meishi Kigali zaidi ya miaka miwili lakini bado sana ukilinganisha na Dar. Mjidanganye nyie msie tembea katika nchi hizi.
Maelezo yako siyo ya kiuchumi umezungumza kishabiki tu, ubelgiji ni nchi ndogo kieneo na kwa idadi ya watu lakini Ina uchumi wa kiasi gani?.
 
Back
Top Bottom