Rwanda inafanya makubwa

Rwanda inafanya makubwa

Ulisoma thrd inasema nini? INasema Tz na Rwanda au Kagame na Samia?
Maelezo ya nyuzi inajumuisha vyote ulivyoulizia.
Na ndiyo maana ameandika kichwa cha habari Rwanda yafanya makubwa sio Kagame afanya makubwa .
 
I wish watanzania wengi mngetembelea Nchi ya Rwanda japo kwa siku moja, .......aka ni ka nchi masikini, raia wake wana tabika sana sema tu wana tawaliwa kimabavu, kukuta familia yenye uwezo wa kula milo mitatu ni bahati sana, wengi hawana ajira maduka hayana bidhaa, toka nje ya ya Kigali tu utakuja kugundua ndo utaona sisi Tzania tuna chezea fursa, hawana aridhi ya kilimo, familia zima ya watu sita kijijini ina tegemea ngombe moja tu wa kisasa........umasikini wao hauna mfano hapa Tz.
Yaan kwa jinsi watu wanavyo isifia Rwanda.. nahisi wengi wao wameishia hapo Kigali hawaja izunguka hiyo nchi wange weza kulia sana kwa huruma. wana sahau kigali ni kamji kakuu hivyi kanapendezeshwa kwa kuwa ni kadogo sana waende country side waje hapa kama hawakumtema mate kagame
 
Kwan umeambiwa maendeleo ni maghorofa meng??..tunaangalia ubora wa social services,.
Sijui watu wengine hamuelewi uchumi wa hizi nchi? $5m investment ni nini kwa Tz ? Huwezi ukalinganisha nchi ya GDP $ 61bn na nchi ya GDP $12bn, nchi yenye uchumi wa watu 65m na nchi yenye watu 11m.......nchi yenye ukubwa wa aridhi mara 12 na nchi ya Rwanda. ...... uchumi wa Rwanda bado sana japo wana tangaza sana kwenye media mimi ni meishi Kigali zaidi ya miaka miwili lakini bado sana ukilinganisha na Dar. Mjidanganye nyie msie tembea katika nchi hizi.
 
Sijui watu wengine hamuelewi uchumi wa hizi nchi? $5m investment ni nini kwa Tz ? Huwezi ukalinganisha nchi ya GDP $ 61bn na nchi ya GDP $12bn, nchi yenye uchumi wa watu 65m na nchi yenye watu 11m.......nchi yenye ukubwa wa aridhi mara 12 na nchi ya Rwanda. ...... uchumi wa Rwanda bado sana japo wana tangaza sana kwenye media mimi ni meishi Kigali zaidi ya miaka miwili lakini bado sana ukilinganisha na Dar. Mjidanganye nyie msie tembea katika nchi hizi.
Umewajibu vyema suk gang hao wanalinganisha nchi ya Tz na mkoa wa Rwanda
 
Ni kweli hata Libya kulikua na dikteta kama msemavyo ndio maana Ile nchi ilikua maskini
Uganda ilikuwa ya nduli dikiteta
Zaire ilikuwa na Mobutu dikiteta
Central Africa ya bokasa dikiteta
Kule Nigeria alikuwapo mmoja
Mbona hawakuendelea!?
Libya aliyekwambia ni tajiri nani!?
Libya waliokula bata ni WA kabila la Gaddafi tuu!! Kule bengazi ni mbaya ilikuwa ndio maana wakaasi!!
 
Wale munaosema anafungua nchi, lengo ni nini? Jirani ni Rwanda na Kagame, mtu siriasi, hana safari za hovyohovyo na vitegauchumi vinamfuata. Dunia hii vitega uchumi havialikwi kama mkutano wa CCM. Vitega uchuni hufuata uongozi siriasi. Leo hii hata Ethiopia iko juu yetu, sisi tuko bize kushangilia mtu anayesafiri kama rubani.

View attachment 2554769
Kuna akili na elimu Rwanda wameamua kutumia akili zao kupambania fursa....

Tunaizidi Rwanda Kila kitu....nasema Kila kitu....
 
Huu uzi utakuwa umeandikwa na myarwanda. Tanzania imeizidi kila kitu Rwanda wala hakuna kubishana. Hiyo $5m kwa Tanzania ni hela ya karanga. Kusema kuwa Ethiopia imetuzidi ni upuuzi wa hali ya juu. Kama Ethiopia imetuzidi kwanini inaongoza kwa wananchi wake kuikimbia nchi? Kila siku kuna wahamiaji haramu wa Ethiopia wanaokamatwa kwenye nchi mbalimbali za kiafrika. Kuna baadhi ya nchi zimeanza kulalamika kuwa magereza zao zinazidiwa na hawa wahamiaji haramu wa Ethiopia. Kama ni uchumi wa majengo marefu na ndege badi Ethiopia wametuzidi.

Mnaosema Kagame ni rais mzuri hamjui msemalo. Kawaulizeni DRC wanavyoteswa na huyo shetani ndo mtapata majibu. Kuna mpuuzi mwingine kasema Afrika inahitaji madikteta ili iendelee.. hii ni hoja dhaifu sana. Jiwe, Bokasa, Idd Amin, Mobutu, Moi, Mugabe, Museveni... hao ni mifano wa madikteta wachache waliowahi kuwepo na wengine bado wapo hapa Afrika. Je ni maendeleo gani wameleta zaidi ya kuwatesa raia wao?
 
acheni kupoteza muda na icho kinchi nyie, ni maigizo tu. maendeleo wanayoonyesha yapo kigali, nje ya kigali ni takataka.
 
Wale munaosema anafungua nchi, lengo ni nini? Jirani ni Rwanda na Kagame, mtu siriasi, hana safari za hovyohovyo na vitegauchumi vinamfuata. Dunia hii vitega uchumi havialikwi kama mkutano wa CCM. Vitega uchuni hufuata uongozi siriasi. Leo hii hata Ethiopia iko juu yetu, sisi tuko bize kushangilia mtu anayesafiri kama rubani.

View attachment 2554769
Title ibadilike iitwe '' KIGALI INAFANYA MAKUBWA''. Kumbuka Kigali kieneo ni 8% ya eneo lote la Rwanda lakini cha kushangaza miundombinu ukisikia inafanyika basi 97 ni kigali. 92% ya Rwanda haisikiki na ipo gizani.
 
Tuna mkosi wa ajabu sana kama nchi! Uelewa wa rais wetu uko chini na hakuna anayesema hilo, badala yake anapongezwa na akina Msigwa utadhani ndo ajira yao.
Sema uelewa wako uko chini kuelewa mambo.
 
Africa haipigi hatua kwa sababu zifuatazo
1.Tunaogopa kuwekeza wenyewe badala yake tunasubuli wanaoitwa wawekezaji kwenye rasilimali muhimu kama madini.Lazima tujifunze kuwekeza wenyewe hata kwa kuanza kidogo kidogo.
2.Watanzania tunaenda sana uchuuzi wa bidhaa toka nje na tunaogopa export.Sababu tunapenda urahisi zaidi.
3.Tunakundi dogo mno ambalo ni skilled.Unapoona biashara za kumwaga barabarani/ machingas Kila Kona ya nchi ni uhalisia wa kukosekana kwa skills.
4.Elimu Bado haijafika kwenye baadhi ya maeneo.
5.Wafanyakazi wa sekta ya Umma ni wavivu,wanapenda kufanikiwa kirahisi rahisi.Madhara yake wanapenda rushwa na kupiga TU story maofisini.
5.TRA na Polisi kikwazo kikubwa mno mno mno Cha maendeleo ya nchi hii.
 
Wale munaosema anafungua nchi, lengo ni nini? Jirani ni Rwanda na Kagame, mtu siriasi, hana safari za hovyohovyo na vitegauchumi vinamfuata. Dunia hii vitega uchumi havialikwi kama mkutano wa CCM. Vitega uchuni hufuata uongozi siriasi. Leo hii hata Ethiopia iko juu yetu, sisi tuko bize kushangilia mtu anayesafiri kama rubani.

View attachment 2554769

rwanda wamejaa mapunga!! nusu ya population ni machoko
 
Africa haipigi hatua kwa sababu zifuatazo
1.Tunaogopa kuwekeza wenyewe badala yake tunasubuli wanaoitwa wawekezaji kwenye rasilimali muhimu kama madini.Lazima tujifunze kuwekeza wenyewe hata kwa kuanza kidogo kidogo.
2.Watanzania tunaenda sana uchuuzi wa bidhaa toka nje na tunaogopa export.Sababu tunapenda urahisi zaidi.
3.Tunakundi dogo mno ambalo ni skilled.Unapoona biashara za kumwaga barabarani/ machingas Kila Kona ya nchi ni uhalisia wa kukosekana kwa skills.
4.Elimu Bado haijafika kwenye baadhi ya maeneo.
5.Wafanyakazi wa sekta ya Umma ni wavivu,wanapenda kufanikiwa kirahisi rahisi.Madhara yake wanapenda rushwa na kupiga TU story maofisini.
5.TRA na Polisi kikwazo kikubwa mno mno mno Cha maendeleo ya nchi hii.
Ukweli mchungu

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom