Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Wewe ni kichaaKila nchi in mfumo wa kuvutia wawekezaji Tz ni nchi inao tafuta wewekezaji wa capital goods au bulky investment yenye $bns sio $5m, hizo hata local investors wanaweza kuwekeza, ila kupata investor mkubwa mpaka umfuata uko uko, huyu wakujileta ni investor wa kawaida.
Ndio makubwa hayo kweli? Labda Kwa size ya RwandaWale munaosema anafungua nchi, lengo ni nini? Jirani ni Rwanda na Kagame, mtu siriasi, hana safari za hovyohovyo na vitega uchumi vinamfuata. Dunia hii vitega uchumi havialikwi kama mkutano wa CCM. Vitega uchuni hufuata uongozi siriasi. Leo hii hata Ethiopia iko juu yetu, sisi tuko bize kushangilia mtu anayesafiri kama rubani.
View attachment 2554769
Aione Erythrocyte at al.Hapana mkuu tupo busy kumkomoa Hayati
Haahaa, hiyo term 'Viwango duni' a.k.a viduu ilivuma sana CoET miaka fulaniAkipewa mkopo anajivunia safari zake eti ndiyo sababu. Huyu mtu anastahili kukosolewa ili awe anajiuliza kabla ya maamuzi. Tatizo kuna watu wa karibu wanampa sifa, anajisahau na kuamini yeye ni thinker, kumbe ni kiwango duni anayehitaji kusaidiwa.
UongoHiyo hiyo Dar kuna shule wanafunzi wanakaa chini
Alafu ukute ndio waziri tunaemtegelea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ni kichaa
Sweden ina wananchi milion 10 Ila inaipa msaada na mikopo Tanzania
Sweden ina kilomita za mraba laki 4 Ila Tanzania inaipigia magoti kwenye kupewa misaada.
Sweden ina GDP nzur kuliko tanzania unayojivunia ukubwa wake
Sweden ina maisha mazuri kuishi kuliko Tanzania.
Jitu Pumbavu kama wewe ndio mnafanya hili taifa lisiendelee.
Umenikera sana
Kwani kuna uchumi gani Rwanda kama sio propaganda tu?Uchumi wa Rwanda umechangiwa kwa kiasi kikubwa mali zilizoibwa DR Congo
kwanini tisiifananishe??Kuifananisha Rwanda na TANZANIA ni dalili ya MTU kukosa maarifa.
Rwanda iko Nyuma Kwa mambo mengi.
Miaka ya 2018 -2019 nilikuwa huko.
Lete facts usilete hisia, ukisema uchumi wao unakua kwa kasi, tuambie kwa kiasi gani.kwanini tisiifananishe??
kuwepo huko sio kigezo çha sisi kutoifananisha,labda ufafanue vizuri
by the way tunafananisha hapa sio nchi kwa nchi bali ni uongozi wa nchi na nchi,
uongozi wa Rwanda upo strong na una unajua kutengeneza fursa mbalimbali japo wana rasilimali chache ukilinganisha na sisi Tz,
Kagame na nchi yake wanafaidika na huo uchache wa rasilimali tofauti na sisi ambao tuna kila aina ya rasilimali
Rwanda hata kwenye ukuaji wa kiuchumi wapo kasi sana kutuzidi sisi hivyo lazima tujilinganishe nao tu
Vipi kuhusiana na GDP ya Rwanda na Tz ?Wewe ni kichaa
Sweden ina wananchi milion 10 Ila inaipa msaada na mikopo Tanzania
Sweden ina kilomita za mraba laki 4 Ila Tanzania inaipigia magoti kwenye kupewa misaada.
Sweden ina GDP nzur kuliko tanzania unayojivunia ukubwa wake
Sweden ina maisha mazuri kuishi kuliko Tanzania.
Jitu Pumbavu kama wewe ndio mnafanya hili taifa lisiendelee.
Umenikera sana
We ng'ombe Acha kuvamia mada kama kahaba anavamia mabwana.Vipi kuhusiana na GDP ya Rwanda na Tz ?
Mke wa Ng 'ombe, jikite kuleta hoja na sio matusiWe ng'ombe Acha kuvamia mada kama kahaba anavamia mabwana.
Hoja yake ilikuwa nchi kubwa haiwezi kuzidiwa na nchi ndogo.
Wewe utakua na utindio wa ubongo sasa Morocco na Tanzania wapi na wapi? moja iko sub-saharan Africa nyingine chini ya sub-saharan Africa, moja iko agro-based nyingine industrial-based......Wewe ni mshenzi , haya ngoja nikurudishe Africa taahira wewe
Morocco ina eneo lenye kilomita za mraba 700,000 - NI ndogo Kwa tanzania.
Morocco ina raia milion 37 - Idadi ndogo Kwa tanzania
Morocco ina GDP bilion 149 USD - wakati nyie mambumbu mko karibia milion 60 Ila mna GDP ya Bilion 67 USD. Mnazaana kama ng'ombe na wew ni ng'ombe umezaliwa hauna mchango Kwa taifa zaidi ya kumaliza oksijeni ya mimea. Jinga.
Sasa licha ya udogo WA Morocco kieneo na ina idadi ndogo ya watu naomba uniambie ni kitu Gani Tanzania inaizidi Morocco.
Hata kwenye mpira wamefika world cup nusu fainali wakati nyie mko Mamilion ya raia Wapumbavu msiojua hata kesho yenu
Shwain wewe unaruka ruka kama maharage.Wewe utakua na utindio wa ubongo sasa Morocco na Tanzania wapi na wapi? moja iko sub-saharan Africa nyingine chini ya sub-saharan Africa, moja iko agro-based nyingine industrial-based......
Wewe leta nchi ziliopo sehemu moja na zina fanana ki jiogorafia sio kutafuta nchi ndo uliganishe na Tz, sijui ulisoma mpaka kiasi gani.......linganisha vitu vinavyo kua in same bracketShwain wewe unaruka ruka kama maharage.
Point zako za wingi WA watu na ukubwa WA eneo kiniografia unaanza kuzikimbia kahaba wewe
Ndio maana nakwambia wewe huna akili hizo hoja zako ni upuuzi tu.Wewe leta nchi ziliopo sehemu moja na zina fanana ki jiogorafia sio kutafuta nchi ndo uliganishe na Tz, sijui ulisoma mpaka kiasi gani.......linganisha vitu vinavyo kua in same bracket
Wapumbavu kama wewe wako wengi sana, watu wanaisifu Rwanda [emoji1206] kutokana na uwezo wake wakitumia rasilimali ndogo kujiletea maendeleo, hawana k'njaro, serengeti, ngorongoro wala bahari ila wanauwezo wa kuvutia mikutano mikubwa duniani, ardhi yao ni ndogo na idadi ya watu pia ila wanaitumia ipasavyo kuvutia wawekezajiSijui watu wengine hamuelewi uchumi wa hizi nchi? $5m investment ni nini kwa Tz ? Huwezi ukalinganisha nchi ya GDP $ 61bn na nchi ya GDP $12bn, nchi yenye uchumi wa watu 65m na nchi yenye watu 11m.......nchi yenye ukubwa wa aridhi mara 12 na nchi ya Rwanda. ...... uchumi wa Rwanda bado sana japo wana tangaza sana kwenye media mimi ni meishi Kigali zaidi ya miaka miwili lakini bado sana ukilinganisha na Dar. Mjidanganye nyie msie tembea katika nchi hizi.