Rwanda inatumia mfumo wake wa ulinzi wa angani, Iron Dome

Rwanda inatumia mfumo wake wa ulinzi wa angani, Iron Dome

Mbona hao jamaa hawajakaa kijeshi, Ni kama vile masela wa mtaani.

Hicho kidude sio Antenna kweli?

Hiyo video ni Real lakini sio rwanda hapo, hizo sound wameingizia tu.

Vitu vya msingi vya kijeshi haviwezi kuchezewa na Matozi wa mtaani.
 
Pale wauza ubuyu wanavyogeuka wataalamu wa mambo ya usalama ghafla baada ya kushabikia nchi mojawapo vitani.

Iron Dome ni mfumo wa Israel na hauuzwi, especially kuuzwa kwa nchi hoehae kama Rwanda. Rwanda haina anti missile system, wala DRC haijarusha missiles bali shells. Kwahiyo hakuna interception yoyote imefanywa na Rwanda.

Rwanda wanapenda propaganda na kujivimbisha. Ni kanchi kenye jeshi ambalo hata kuipiga Uganda haliwezi ila kelele nyingi.
Airforce ya Uganda imejipanga, wanaweza wakatushika hata sisi sharubu na tukawa wapole.

Wanamiliki several Sukhoi 30mk ambazo ni heavy fighters
 
Bombe zinazotupwa na DRC kuelekea Rwanda, kwenye Gisenyi, karibu na mpaka wa Congo, Rwanda inatumia mfumo wake wa ulinzi wa angani, Iron Dome, kuharibu mabomu hayo angani kabla hayajafika ardhini na kugonga lengo."

The bombs being thrown by DRC towards Rwanda, in Gisenyi, close to the Congo border, are being destroyed by Rwanda's air defense system, Iron Dome, in the sky before they land and hit the target.
Hawana uwezo wa ku operate iron dome au kitu kinachofanana kwa karibu na hicho
 
Tanzania ina ndege nyingi za kisasa ila hazitangazwi.

Kingine unachopaswa kujua Tz ina mifumo mingi sana ya ADS. Anga lake siyo jepesi kama unavyofikiria.
Tanzania hatuna ndege nyingi, wala haina ndege za kisasa. Hata 3rd generation tu hatuna.

Wala hatuna coverage kubwa ya ADS. Anga lake si gumu kuingia kasoro some critical sites.
 
Airforce ya Uganda imejipanga, wanaweza wakatushika hata sisi sharubu na tukawa wapole.

Wanamiliki several Sukhoi 30mk ambazo ni heavy fighters
Wanazo chache, last time i checked zilikuwa 6. Nadhani walikosa hela ya kuongeza order kubwa kufanya squadrons kadhaa.
Walikosea kununua ndege zinawazidi kimo, wataishia kuwa nazo kwa namba chache kiasi kwamba hazina msaada kivile. Wangenunua kama JF-17 zingesaidia, hata sisi JF-17 natamani tuwe nazo.
 
Airforce ya Uganda imejipanga, wanaweza wakatushika hata sisi sharubu na tukawa wapole.

Wanamiliki several Sukhoi 30mk ambazo ni heavy fighters
Hizi Sukhoi hata Congo zipo lakini ona wanavyohenyeshwa na Wahuni wa M23
 
Usiwadharau aisee...

Umeona wanavyoitesa Drc na vikosi vya Monusco.
Hakuna kitu kama hicho!

Hawa Monusco ndiyo wanawalinda M23 kwa kiasi kikubwa mpaka raia wa Congo wanawalalamikia wazi wazi!

Congo ni kubwa jinga, ni nchi dhaifu. Rwanda inaonekana hatari kwa sababu ya Congo dhaifu.

Rwanda tukiingia nao vitani hata usiku huu kesho tunanywea chai ikulu ya Kagame.

Yaani vita imeshaisha.
 
Usiwadharau aisee...

Umeona wanavyoitesa Drc na vikosi vya Monusco.
DRC hata vijana under 18 wanaitesa, MONUSCO inalinda amani haipigani.

Rwanda inabebwa na PR na kuweka emphasis kwenye small operations, ila hawana mabavu ya kupigana full blown war na nchi yenye utengamano kama Tanzania.

Rwanda wao ndio kabisa hata bajeti ya fighter jets hawana hawajawahi kuwa nazo. Wa kawaida hao kuwa na fujo hakumaanishi una nguvu.
 
Back
Top Bottom