Rwanda inatumia mfumo wake wa ulinzi wa angani, Iron Dome

Rwanda inatumia mfumo wake wa ulinzi wa angani, Iron Dome

Mbona hao jamaa hawajakaa kijeshi, Ni kama vile masela wa mtaani.

Hicho kidude sio Antenna kweli?

Hiyo video ni Real lakini sio rwanda hapo, hizo sound wameingizia tu.

Vitu vya msingi vya kijeshi haviwezi kuchezewa na Matozi wa mtaani.
Hata mimi nimecheki ila sijaona maaskari wala silaha hapo.
Halafu mabomu ya kutoka nchi moja kwenda nyingine utarusha kwa mkono kweli kama unavyorusha jiwe kumpiga kunguru,hii hainiingii akilini
 
Yeah, Uganda wanazo chache, ila wakiwa na pilot wazuri sisi wenye J7 za kichina sioni tukitoboa kwenye dog fights hata wakiamua kufanya ground attack pia.

Sidhani kama tutafika huko kwenye j17 anytime soon. Pale ngerengere naona zimepark j7 za mchina tu.. i doubt if we do we have anyother vari

Mkuu sidhani kama ethics zinakataza kutaja aina na models za fighters na air defenses tulizonazo.

Nadhani kutaja location na mbinu inaweza ikawa mbaya ..ila model za ndege, au vitu kama submarines kama zipo au hazipo sioni kama ni kinyume cha ethics.

Yeah, Uganda wanazo chache, ila wakiwa na pilot wazuri sisi wenye J7 za kichina sioni tukitoboa kwenye dog fights hata wakiamua kufanya ground attack pia.

Sidhani kama tutafika huko kwenye j17 anytime soon. Pale ngerengere naona zimepark j7 za mchina tu.. i doubt if we do we have anyother variant?
Mimi najua kwa ukanda wa Africa mshariki na kati jwtz ni jeshi bora kulinganisha na majeshi ya majirani in term ya nidhamu lakin ukiongelea vifaa yawezekana hatupo vizuri.

vita huamuliwa na morali ya mpiganaji na mbinu nasikia during 1978 Uganda army was using more advanced fighter jet Mig 23 meanwhile jwtz was using mig 21 lakin matokeo hayakuwa mazuri kwa uganda. My point is unaweza ukawa na wanafunzi wawili mmoja wa shule ya kata na mwingne anasoma best equiped school Kama fedha lakin maajabu huwa inatokea mwanafunzi wa kata aka score vizuri kuzid huyu mwingine it depend on how determined you are to win a battle.

Ukirudi katika mada sidhani Kama rwanda wan iron dome defensive system koz ni system ambayo siyo popular bado ni mpya I believe it's classified siyo kila mtu anaweza Ku I access

Joke: mungu wa vita huwa ana na na ya kuwasilisha haki kiuelewa tu Kagame na Rwanda yake anaweza tu kupambana na Burundi pekee kwa east Africa the rest wata mdunda Hana opponent wa kumshinda
 
This is all war Kagame won, it seem Rwandan can not stay 3years without attending direct combat in, their soldiers has more experience that TANZANIA due to tanzania has not engaged is direct combat since 1980 instead of peacekeeping, where the peacekeeping missions is to stay between to fighting parties, instead of direct combat.

1. Rwandan GENOCIDE (1990–1994)
Region: Rwanda
Involved:
- Rwanda: The Rwandan rebellions led by Paul Kagame
- Government forces: The Rwandan Armed Forces (FAR) loyal to President Juvénal Habyarimana that orepared genocide to kill tutsi in Rwanda.
Allies:
- Kagame : The Ugandan People’s Defence Force (UPDF) under Yoweri Museveni from Uganda
- FAR: France, which supported the Habyarimana government
Outcome: Rwanda won, overthrowing the government, ending the genocide, and establishing an Rwandan Army-led government.

2. First Congo War (1996–1997)
Region: Democratic Republic of Congo (DRC)
Involved:
- Rwanda: The Rwandan Army
- DRC Government: The regime of Mobutu Sese Seko
Allies:
- Rwandan Army: Uganda, Burundi, and various rebel groups in the DRC (e.g., the Alliance of Democratic Forces for the Liberation of Congo - AFDL)
- Mobutu: China and France (providing support to Mobutu’s government)
Outcome: Rwanda won, overthrowing Mobutu and installing Laurent-Désiré Kabila as the new president.

3. Second Congo War (1998–2003)
Region: Democratic Republic of Congo (DRC)
Involved:
- Rwanda: The Rwandan Army
- Uganda: The Uganda People’s Defence Force (UPDF)
- DRC Government: Joseph Kabila’s regime
Allies:
- Rwandan Army: Uganda, Burundi, and various rebel factions (e.g., RCD-Goma, M23)
- DRC: Zimbabwe, Angola, Namibia, and Chad (sending military support to Kabila’s government)
Outcome: Rwanda won strategically by supporting rebel groups. The war ended with a peace agreement, and Joseph Kabila took power in DRC.

4. Rwandan-Ugandan Conflict (1998–2003)
Region: Rwanda and Uganda (border regions)
Involved:
- Rwanda: The Rwandan Army
- Uganda: The Uganda People's Defence Force (UPDF)
Allies:
- Rwandan Army: Congolese rebel groups (as in the Second Congo War)
- UPDF: Congolese rebel groups allied with Uganda
Outcome: No clear winner, but tensions were resolved, and relations between Rwanda and Uganda were normalized.

5. M23 Rebellion (2012–2013)
Region: Eastern DRC (North Kivu)
Involved:
- Rwanda: The Rwandan military supported the M23 rebel group
- M23: Mainly Tutsi ethnic fighters who had previously served in the Rwandan Army
- DRC Government: The Congolese army (FARDC)
Allies:
- M23: Indirect support from Rwanda and Uganda (Rwanda’s involvement was largely covert)
- DRC: United Nations peacekeepers, including MONUSCO
Outcome: The M23 was defeated by the DRC army with the help of UN peacekeepers, although Rwanda's indirect support had strategic value for Rwanda.

6. Central African Republic (CAR) (2013–Present)
Region: Central African Republic (CAR)
Involved:
- Rwanda: The Rwandan peacekeepers were deployed to support the CAR government
- CAR Government: The regime of President François Bozizé
Allies:
- Rwanda: French forces (as part of Operation Sangaris)
- CAR: International peacekeeping forces, including the African Union (AU) and the United Nations
Outcome: Rwanda's military has played a peacekeeping role, stabilizing the region and preventing further escalation.

7. Mozambique (2021–Present)
Region: Northern Mozambique (Cabo Delgado)
Involved:
- Rwanda: The Rwandan Defence Force (RDF)
- Islamist insurgents: The Ahlu Sunnah Wa-Jama (ASWJ) group, linked to ISIS
Allies:
- Rwanda: after Southern African Development Community (SADC) FAILED including South Africa and Zimbabwe, supporting peacekeeping efforts in Mozambique
Outcome: Rwanda won, after SADC failed and they playing a key role in recapturing insurgent-held areas and stabilizing the region that was captured with rebellian more and more years

Tanzania’s military primarily operates in peacekeeping missions and doesn’t actively align with militias or rebel groups.
Unajua kuna shida ya hata kufikiri tu propaganda na vita havitengani mind that it is a matter of security hakuna anaweza ku judge war outcome by looking at statistics you only can predict but is just prediction
 
Tulia wewe, supa pawa mpya isti afrika kazaliwa, mtoto mdogo kaanza kucheza mechi za ligi kuu
Wewee nanga tulia Rwanda wanapenda kujianikia sana hawana lolote wana SAM ( Surfcae to AIr Missile outdated na MIM23 mifumo dhaifu mno katika nyanja za jinsi ya kuzuia shambulio kwa wakati na umekosa updated modern technology dhaifu mno wamepitwa hata na Uganda
 
Bombe zinazotupwa na DRC kuelekea Rwanda, kwenye Gisenyi, karibu na mpaka wa Congo, Rwanda inatumia mfumo wake wa ulinzi wa angani, Iron Dome, kuharibu mabomu hayo angani kabla hayajafika ardhini na kugonga lengo."

==================================

The bombs being thrown by DRC towards Rwanda, in Gisenyi, close to the Congo border, are being destroyed by Rwanda's air defense system, Iron Dome, in the sky before they land and hit the target.

Anza mwenyewe kujibeba mapema kama umetumwa basi sawa nadhani ungeishia ulipofikia tu basi
 
Halafu nimegundua kuna watu wanatumwa kuchokonoa hoja labda tungeachana hayo mambo mabaya sana wajameni vIbaya dunia duara, milima haikutani , shimo la koboko sio zuri, ngedere halali shimoni amina tubarikiwe kwa raha zetu
 
Nilichogundua tangu kifo cha mwendazake mzee wetu mpendwa habari za kupromote Rwanda zimekua zikiletwa sana humu hasa na watu kama sita (6) hivi humu sijui kuna nn labda hao watu sita (6) wajitafakari labda kwanza wana nn hasa hasa kwann labda kwannn vipindi hivi twendeni shambani tunafuga kuku wa mayai nyie kazi yenu hiyo hiyo
 
Wewe unafikiri moja ya kazi ya MI ndani ya jeshi (JWTZ) ni nini kazi ya MI ndani
Watu wachache sana ndo wanajua nini kazi ya MI...huwezi wasikia au kuwaona hovyo kama suti nyeusi....
 
Comparison ya Wanajeshi wa Rwanda na Tanzania

Wanajeshi wa Rwanda:

1. Idadi ya Jeshi: 45,000 wanajeshi wa kudumu, na 30,000 wa akiba.
2. Shughuli za Jeshi: Jeshi, Jeshi la Anga, Jeshi Maalum, Polisi wa Jeshi, na Akiba.
3. Mafunzo: Mafunzo makali, hasa katika ulinzi wa amani na vita dhidi ya magaidi. Wanajeshi wa Rwanda ni hodari katika mbinu za kisasa za kivita.
4. Ushiriki katika Ulinzi wa Amani: Wanajeshi wa Rwanda wanahusika sana katika DRC na Jamhuri ya Afrika ya Kati.
5. Vifaa vya Kivita: Vifaa vya kisasa ikiwa ni pamoja na silaha za China kama Yitian SAMs, magari ya kivita kutoka Ufaransa, na helikopta za Ufaransa.
6. Jeshi Maalum: Jeshi la Maalum la Rwanda linajulikana kwa vita dhidi ya magaidi, kufanya operesheni za siri, na kuhamasisha harakati za kijamii.
7. Mikakati ya Kikanda: Rwanda ina madhumuni ya kijeshi ya kuimarisha usalama wa kanda, hasa katika DRC na Mikoa ya Maziwa Makuu.
8. Vita vya Karibuni: Imeshiriki katika vita vya DRC, na operesheni dhidi ya M23. Inajulikana kwa operesheni zake za haraka na ufanisi.
9. Muungano wa Kimataifa: Inashirikiana na Ufaransa, China, na African Union katika masuala ya usalama na ulinzi wa amani.
10. Bajeti ya Jeshi: Bajeti ya $105 milioni (2021), ikijikita katika uimarishaji wa uwezo wa kijeshi na operesheni za ulinzi wa amani.
11. Madhumuni ya Umma na Nia ya Jeshi: Jeshi la Rwanda linatambulika kama jeshi lenye ufanisi, linalojulikana kwa mbinu za kisasa za kivita na operesheni za usalama katika kanda.

Wanajeshi wa Tanzania:

1. Idadi ya Jeshi: 27,000 wanajeshi wa kudumu, na 65,000 wa akiba.
2. Shughuli za Jeshi: Jeshi, Jeshi la Anga, Jeshi la Majini, na Wanajeshi wa Akiba.
3. Mafunzo: Mafunzo ya msingi, hasa katika ulinzi wa mipaka na vita vya msituni. Wana uzoefu mdogo wa vita vya karibu na matumizi ya mbinu za kisasa.
4. Ushiriki katika Ulinzi wa Amani: Wanajeshi wa Tanzania wanashiriki katika Darfur, Somalia, na Zanzibar kama sehemu ya AMISOM.
5. Vifaa vya Kivita: Vifaa vya kivita vya zamani vikiwemo SAM za Soviet na Shenyang F-7 (China), pamoja na silaha za mizinga ya Russia.
6. Jeshi Maalum: Jeshi la Maalum la Tanzania linatumiwa katika ulinzi wa ndani na vita vya msituni, lakini lina uzoefu mdogo katika operesheni za kisasa.
7. Mikakati ya Kikanda: Tanzania ina mikakati ya kujilinda na ina athari kubwa katika usalama wa kanda hasa kwenye EAC na AMISOM.
8. Vita vya Karibuni: Tanzania imeshiriki katika operesheni za amani katika Darfur, Somalia, na Zanzibar.
9. Muungano wa Kimataifa: Inashirikiana na China na African Union katika masuala ya amani na usalama.
10. Bajeti ya Jeshi: Bajeti ya $560 milioni (2021), inazingatia ulinzi wa mipaka na usalama wa ndani.
11. Madhumuni ya Umma na Nia ya Jeshi: Jeshi la Tanzania linatambulika kwa ulinzi wa ndani na mikataba ya amani katika kanda, ingawa lina uzoefu mdogo wa operesheni za kivita.

Muhtasari:

  • Wanajeshi wa Rwanda ni wajanja katika mbinu za kisasa za kivita, haswa kutokana na uzoefu wao mkubwa katika vita dhidi ya magaidi, ulinzi wa amani, na operesheni za siri. Vifaa vyao ni vya kisasa, wakiwemo silaha za China na helikopta za Ufaransa.
  • Wanajeshi wa Tanzania, ingawa wanajulikana kwa ulinzi wa ndani na vita vya msituni, wanatofautiana na Rwanda kwa kuwa hawana uzoefu mkubwa katika vita vya karibu na mbinu za kisasa. Vifaa vyao vikiwemo SAM za Soviet na Shenyang F-7, ni vya zamani zaidi.

Kwa ujumla, wanajeshi wa Rwanda wana uwezo bora wa kijeshi na uzoefu mkubwa katika vita vya kisasa, wakati wanajeshi wa Tanzania wanajulikana kwa ulinzi wa mipaka na mikataba ya amani.
Kwa takwimu hizi mkuu, unamaanisha wanajeshi wote JWTZ wakiingia uwanja wa mkapa hawaujazi hata nusu?
 
Bombe zinazotupwa na DRC kuelekea Rwanda, kwenye Gisenyi, karibu na mpaka wa Congo, Rwanda inatumia mfumo wake wa ulinzi wa angani, Iron Dome, kuharibu mabomu hayo angani kabla hayajafika ardhini na kugonga lengo."

==================================

The bombs being thrown by DRC towards Rwanda, in Gisenyi, close to the Congo border, are being destroyed by Rwanda's air defense system, Iron Dome, in the sky before they land and hit the target.

Kitu wengi hawakijui Rwanda taifa dhaifu sana kama hawapati usingizi kwa kuwaogopa Wanamgambo wa Kiburi FDLR wanaotaka kuingia Kigali na kuing'oa Serikali ya Kandamizi ya Kigaidi ya Kagame
 
Jeshi la Tanzania liko mpakani mwa Rwanda na DRC, wakikaguliwa na polisi wa kawaida kabla ya kurejea nyumbani Tanzania. Hii ilitokea baada ya M23 kuteka jiji lote la Goma, na wakaacha silaha zao zote mikononi mwa M23.
 

Attachments

  • IMG_2127.png
    IMG_2127.png
    1.6 MB · Views: 1
Back
Top Bottom