Rwanda inatumia mfumo wake wa ulinzi wa angani, Iron Dome

Rwanda inatumia mfumo wake wa ulinzi wa angani, Iron Dome

Sema Watanzania wanaoenda kujisifia, kwanini unadhani Tanzania ina ndege za kivita bora kuliko DRC? Mbona jeshi lao limeshindwa mikononi mwa JKWT, na Jeshi la Afrika Kusini limetii? Hao ni jeshi za FARDC, BURUNDI, SAMDRc, na wazalendo wote

Angalia video hapo
Sasa Rwanda sisi watatufanya nini?

Mnapigana na kubwa jinga Congo ambayo dhaifu tangu enzi za Che Guevara ambaye madhaifu aliyoyatoa kuhusu Congo ndiyo bado yapo mpaka leo.

Rwanda si inapigana na kubwa jinga hapo? Rwanda ni wa kawaida sana! Hawana lolote special na ni watu wa propaganda.

Jana wametapakaza kuonyesha ADS kufanya ni za kwao kwenye mitandano kumbe wame screenshot za Morroco huko!
 
Hio Iron Dome ilipitaje bila TPA au Mombasa Port kujua
Rwanda ni jeshi la propaganda. Nguvu yqo kubwa ndiyo imejikita huko!

Wanataka watengeneze hofu ya kisaikolojia kwa majirani zake ili watishike. Ila ni wa kawaida sana.

Ni kama walivyojenga kisaikolojia kwa kutumia mitandao kuwa Rwanda pazuri pana maisha mazuri kumbe hakuna lolote!

Wanawake zao ukiwapa mchele tu unalala nao. Wana maisha magumu kuliko watanzania.
 
Kama Tanzania ikivamiwa leo itaanguka kama bua la muhindi kwasababu majority ya wananchi hawako na serikali yao!
Nyerere alifanikiwa kumpiga Amini kwasababu alikuwa anaungwa mkono na wananchi!
Samia haungwi mkono na wengi kwa sababu ya kuuza maliasili za nchi kwa waarabu bila ridhaa ya wenye mali na pia siasa zake za kuua wapinzani!

Nenda Mtwara kaangalie kinachofanyika huko! Au nenda kaulize raia wa huko nini Jwtz wanafanya.
 
Kama Tanzania ikivamiwa leo itaanguka kama bua la muhindi kwasababu majority ya wananchi hawako na serikali yao!
Nyerere alifanikiwa kumpiga Amini kwasababu alikuwa anaungwa mkono na wananchi!
Samia haungwi mkono na wengi kwa sababu ya kuuza maliasili za nchi kwa waarabu bila ridhaa ya wenye mali na pia siasa zake za kuua wapinzani!
Kimsingi ikifika stage kundi kubwa la raia linaiona serikali kama sio sehemu yao ujuwe nchi inakuwa iko kwenye hatari sana.

Yani raia wanachuki na serikali ilioko madarakani kiasi kwamba hata likitokea baya hawatajishughulisha. Watasema acha iangushwe tu. Hali hio inakuwa mbaya sana.
 
Kimsingi ikifika stage kundi kubwa la raia linaiona serikali kama sio sehemu yao ujuwe nchi inakuwa iko kwenye hatari sana.

Yani raia wanachuki na serikali ilioko madarakani kiasi kwamba hata likitokea baya hawatajishughulisha. Watasema acha iangushwe tu. Hali hio inakuwa mbaya sana.
Na ndiyo maana wazee wa CCM wenye akili walitaka Lissu awe Mwenyekiti wa Chadema ili CCM automatically vilaza wapungue.

Kwa sababu ukiwa punguani huwezi kumjibu Lissu.
 
Comparison ya Wanajeshi wa Rwanda na Tanzania

Wanajeshi wa Rwanda:

1. Idadi ya Jeshi: 45,000 wanajeshi wa kudumu, na 30,000 wa akiba.
2. Shughuli za Jeshi: Jeshi, Jeshi la Anga, Jeshi Maalum, Polisi wa Jeshi, na Akiba.
3. Mafunzo: Mafunzo makali, hasa katika ulinzi wa amani na vita dhidi ya magaidi. Wanajeshi wa Rwanda ni hodari katika mbinu za kisasa za kivita.
4. Ushiriki katika Ulinzi wa Amani: Wanajeshi wa Rwanda wanahusika sana katika DRC na Jamhuri ya Afrika ya Kati.
5. Vifaa vya Kivita: Vifaa vya kisasa ikiwa ni pamoja na silaha za China kama Yitian SAMs, magari ya kivita kutoka Ufaransa, na helikopta za Ufaransa.
6. Jeshi Maalum: Jeshi la Maalum la Rwanda linajulikana kwa vita dhidi ya magaidi, kufanya operesheni za siri, na kuhamasisha harakati za kijamii.
7. Mikakati ya Kikanda: Rwanda ina madhumuni ya kijeshi ya kuimarisha usalama wa kanda, hasa katika DRC na Mikoa ya Maziwa Makuu.
8. Vita vya Karibuni: Imeshiriki katika vita vya DRC, na operesheni dhidi ya M23. Inajulikana kwa operesheni zake za haraka na ufanisi.
9. Muungano wa Kimataifa: Inashirikiana na Ufaransa, China, na African Union katika masuala ya usalama na ulinzi wa amani.
10. Bajeti ya Jeshi: Bajeti ya $105 milioni (2021), ikijikita katika uimarishaji wa uwezo wa kijeshi na operesheni za ulinzi wa amani.
11. Madhumuni ya Umma na Nia ya Jeshi: Jeshi la Rwanda linatambulika kama jeshi lenye ufanisi, linalojulikana kwa mbinu za kisasa za kivita na operesheni za usalama katika kanda.

Wanajeshi wa Tanzania:

1. Idadi ya Jeshi: 27,000 wanajeshi wa kudumu, na 65,000 wa akiba.
2. Shughuli za Jeshi: Jeshi, Jeshi la Anga, Jeshi la Majini, na Wanajeshi wa Akiba.
3. Mafunzo: Mafunzo ya msingi, hasa katika ulinzi wa mipaka na vita vya msituni. Wana uzoefu mdogo wa vita vya karibu na matumizi ya mbinu za kisasa.
4. Ushiriki katika Ulinzi wa Amani: Wanajeshi wa Tanzania wanashiriki katika Darfur, Somalia, na Zanzibar kama sehemu ya AMISOM.
5. Vifaa vya Kivita: Vifaa vya kivita vya zamani vikiwemo SAM za Soviet na Shenyang F-7 (China), pamoja na silaha za mizinga ya Russia.
6. Jeshi Maalum: Jeshi la Maalum la Tanzania linatumiwa katika ulinzi wa ndani na vita vya msituni, lakini lina uzoefu mdogo katika operesheni za kisasa.
7. Mikakati ya Kikanda: Tanzania ina mikakati ya kujilinda na ina athari kubwa katika usalama wa kanda hasa kwenye EAC na AMISOM.
8. Vita vya Karibuni: Tanzania imeshiriki katika operesheni za amani katika Darfur, Somalia, na Zanzibar.
9. Muungano wa Kimataifa: Inashirikiana na China na African Union katika masuala ya amani na usalama.
10. Bajeti ya Jeshi: Bajeti ya $560 milioni (2021), inazingatia ulinzi wa mipaka na usalama wa ndani.
11. Madhumuni ya Umma na Nia ya Jeshi: Jeshi la Tanzania linatambulika kwa ulinzi wa ndani na mikataba ya amani katika kanda, ingawa lina uzoefu mdogo wa operesheni za kivita.

Muhtasari:

  • Wanajeshi wa Rwanda ni wajanja katika mbinu za kisasa za kivita, haswa kutokana na uzoefu wao mkubwa katika vita dhidi ya magaidi, ulinzi wa amani, na operesheni za siri. Vifaa vyao ni vya kisasa, wakiwemo silaha za China na helikopta za Ufaransa.
  • Wanajeshi wa Tanzania, ingawa wanajulikana kwa ulinzi wa ndani na vita vya msituni, wanatofautiana na Rwanda kwa kuwa hawana uzoefu mkubwa katika vita vya karibu na mbinu za kisasa. Vifaa vyao vikiwemo SAM za Soviet na Shenyang F-7, ni vya zamani zaidi.

Kwa ujumla, wanajeshi wa Rwanda wana uwezo bora wa kijeshi na uzoefu mkubwa katika vita vya kisasa, wakati wanajeshi wa Tanzania wanajulikana kwa ulinzi wa mipaka na mikataba ya amani.
AI itakuuwa We fala
 
This is all war Kagame won, it seem Rwandan can not stay 3years without attending direct combat in, their soldiers has more experience that TANZANIA due to tanzania has not engaged is direct combat since 1980 instead of peacekeeping, where the peacekeeping missions is to stay between to fighting parties, instead of direct combat.

1. Rwandan GENOCIDE (1990–1994)
Region: Rwanda
Involved:
- Rwanda: The Rwandan rebellions led by Paul Kagame
- Government forces: The Rwandan Armed Forces (FAR) loyal to President Juvénal Habyarimana that orepared genocide to kill tutsi in Rwanda.
Allies:
- Kagame : The Ugandan People’s Defence Force (UPDF) under Yoweri Museveni from Uganda
- FAR: France, which supported the Habyarimana government
Outcome: Rwanda won, overthrowing the government, ending the genocide, and establishing an Rwandan Army-led government.

2. First Congo War (1996–1997)
Region: Democratic Republic of Congo (DRC)
Involved:
- Rwanda: The Rwandan Army
- DRC Government: The regime of Mobutu Sese Seko
Allies:
- Rwandan Army: Uganda, Burundi, and various rebel groups in the DRC (e.g., the Alliance of Democratic Forces for the Liberation of Congo - AFDL)
- Mobutu: China and France (providing support to Mobutu’s government)
Outcome: Rwanda won, overthrowing Mobutu and installing Laurent-Désiré Kabila as the new president.

3. Second Congo War (1998–2003)
Region: Democratic Republic of Congo (DRC)
Involved:
- Rwanda: The Rwandan Army
- Uganda: The Uganda People’s Defence Force (UPDF)
- DRC Government: Joseph Kabila’s regime
Allies:
- Rwandan Army: Uganda, Burundi, and various rebel factions (e.g., RCD-Goma, M23)
- DRC: Zimbabwe, Angola, Namibia, and Chad (sending military support to Kabila’s government)
Outcome: Rwanda won strategically by supporting rebel groups. The war ended with a peace agreement, and Joseph Kabila took power in DRC.

4. Rwandan-Ugandan Conflict (1998–2003)
Region: Rwanda and Uganda (border regions)
Involved:
- Rwanda: The Rwandan Army
- Uganda: The Uganda People's Defence Force (UPDF)
Allies:
- Rwandan Army: Congolese rebel groups (as in the Second Congo War)
- UPDF: Congolese rebel groups allied with Uganda
Outcome: No clear winner, but tensions were resolved, and relations between Rwanda and Uganda were normalized.

5. M23 Rebellion (2012–2013)
Region: Eastern DRC (North Kivu)
Involved:
- Rwanda: The Rwandan military supported the M23 rebel group
- M23: Mainly Tutsi ethnic fighters who had previously served in the Rwandan Army
- DRC Government: The Congolese army (FARDC)
Allies:
- M23: Indirect support from Rwanda and Uganda (Rwanda’s involvement was largely covert)
- DRC: United Nations peacekeepers, including MONUSCO
Outcome: The M23 was defeated by the DRC army with the help of UN peacekeepers, although Rwanda's indirect support had strategic value for Rwanda.

6. Central African Republic (CAR) (2013–Present)
Region: Central African Republic (CAR)
Involved:
- Rwanda: The Rwandan peacekeepers were deployed to support the CAR government
- CAR Government: The regime of President François Bozizé
Allies:
- Rwanda: French forces (as part of Operation Sangaris)
- CAR: International peacekeeping forces, including the African Union (AU) and the United Nations
Outcome: Rwanda's military has played a peacekeeping role, stabilizing the region and preventing further escalation.

7. Mozambique (2021–Present)
Region: Northern Mozambique (Cabo Delgado)
Involved:
- Rwanda: The Rwandan Defence Force (RDF)
- Islamist insurgents: The Ahlu Sunnah Wa-Jama (ASWJ) group, linked to ISIS
Allies:
- Rwanda: after Southern African Development Community (SADC) FAILED including South Africa and Zimbabwe, supporting peacekeeping efforts in Mozambique
Outcome: Rwanda won, after SADC failed and they playing a key role in recapturing insurgent-held areas and stabilizing the region that was captured with rebellian more and more years

Tanzania’s military primarily operates in peacekeeping missions and doesn’t actively align with militias or rebel groups.
 
DRC hata vijana under 18 wanaitesa, MONUSCO inalinda amani haipigani.

Rwanda inabebwa na PR na kuweka emphasis kwenye small operations, ila hawana mabavu ya kupigana full blown war na nchi yenye utengamano kama Tanzania.

Rwanda wao ndio kabisa hata bajeti ya fighter jets hawana hawajawahi kuwa nazo. Wa kawaida hao kuwa na fujo hakumaanishi una nguvu.
Rwanda ya sasa sio Ile ya mwaka 2000.... angalia kazi zao hapo Msumbiji na CAR zinajieleza.
 
Kimsingi ikifika stage kundi kubwa la raia linaiona serikali kama sio sehemu yao ujuwe nchi inakuwa iko kwenye hatari sana.

Yani raia wanachuki na serikali ilioko madarakani kiasi kwamba hata likitokea baya hawatajishughulisha. Watasema acha iangushwe tu. Hali hio inakuwa mbaya sana.
Samia anaipeleka nchi huko kwa kuua watu wenye mawazo tofauti na yake kwa kuwatumia hao watu wake “ wasiojulikana!”
 
Comparison ya Wanajeshi wa Rwanda na Tanzania

Wanajeshi wa Rwanda:

1. Idadi ya Jeshi: 45,000 wanajeshi wa kudumu, na 30,000 wa akiba.
2. Shughuli za Jeshi: Jeshi, Jeshi la Anga, Jeshi Maalum, Polisi wa Jeshi, na Akiba.
3. Mafunzo: Mafunzo makali, hasa katika ulinzi wa amani na vita dhidi ya magaidi. Wanajeshi wa Rwanda ni hodari katika mbinu za kisasa za kivita.
4. Ushiriki katika Ulinzi wa Amani: Wanajeshi wa Rwanda wanahusika sana katika DRC na Jamhuri ya Afrika ya Kati.
5. Vifaa vya Kivita: Vifaa vya kisasa ikiwa ni pamoja na silaha za China kama Yitian SAMs, magari ya kivita kutoka Ufaransa, na helikopta za Ufaransa.
6. Jeshi Maalum: Jeshi la Maalum la Rwanda linajulikana kwa vita dhidi ya magaidi, kufanya operesheni za siri, na kuhamasisha harakati za kijamii.
7. Mikakati ya Kikanda: Rwanda ina madhumuni ya kijeshi ya kuimarisha usalama wa kanda, hasa katika DRC na Mikoa ya Maziwa Makuu.
8. Vita vya Karibuni: Imeshiriki katika vita vya DRC, na operesheni dhidi ya M23. Inajulikana kwa operesheni zake za haraka na ufanisi.
9. Muungano wa Kimataifa: Inashirikiana na Ufaransa, China, na African Union katika masuala ya usalama na ulinzi wa amani.
10. Bajeti ya Jeshi: Bajeti ya $105 milioni (2021), ikijikita katika uimarishaji wa uwezo wa kijeshi na operesheni za ulinzi wa amani.
11. Madhumuni ya Umma na Nia ya Jeshi: Jeshi la Rwanda linatambulika kama jeshi lenye ufanisi, linalojulikana kwa mbinu za kisasa za kivita na operesheni za usalama katika kanda.

Wanajeshi wa Tanzania:

1. Idadi ya Jeshi: 27,000 wanajeshi wa kudumu, na 65,000 wa akiba.
2. Shughuli za Jeshi: Jeshi, Jeshi la Anga, Jeshi la Majini, na Wanajeshi wa Akiba.
3. Mafunzo: Mafunzo ya msingi, hasa katika ulinzi wa mipaka na vita vya msituni. Wana uzoefu mdogo wa vita vya karibu na matumizi ya mbinu za kisasa.
4. Ushiriki katika Ulinzi wa Amani: Wanajeshi wa Tanzania wanashiriki katika Darfur, Somalia, na Zanzibar kama sehemu ya AMISOM.
5. Vifaa vya Kivita: Vifaa vya kivita vya zamani vikiwemo SAM za Soviet na Shenyang F-7 (China), pamoja na silaha za mizinga ya Russia.
6. Jeshi Maalum: Jeshi la Maalum la Tanzania linatumiwa katika ulinzi wa ndani na vita vya msituni, lakini lina uzoefu mdogo katika operesheni za kisasa.
7. Mikakati ya Kikanda: Tanzania ina mikakati ya kujilinda na ina athari kubwa katika usalama wa kanda hasa kwenye EAC na AMISOM.
8. Vita vya Karibuni: Tanzania imeshiriki katika operesheni za amani katika Darfur, Somalia, na Zanzibar.
9. Muungano wa Kimataifa: Inashirikiana na China na African Union katika masuala ya amani na usalama.
10. Bajeti ya Jeshi: Bajeti ya $560 milioni (2021), inazingatia ulinzi wa mipaka na usalama wa ndani.
11. Madhumuni ya Umma na Nia ya Jeshi: Jeshi la Tanzania linatambulika kwa ulinzi wa ndani na mikataba ya amani katika kanda, ingawa lina uzoefu mdogo wa operesheni za kivita.

Muhtasari:

  • Wanajeshi wa Rwanda ni wajanja katika mbinu za kisasa za kivita, haswa kutokana na uzoefu wao mkubwa katika vita dhidi ya magaidi, ulinzi wa amani, na operesheni za siri. Vifaa vyao ni vya kisasa, wakiwemo silaha za China na helikopta za Ufaransa.
  • Wanajeshi wa Tanzania, ingawa wanajulikana kwa ulinzi wa ndani na vita vya msituni, wanatofautiana na Rwanda kwa kuwa hawana uzoefu mkubwa katika vita vya karibu na mbinu za kisasa. Vifaa vyao vikiwemo SAM za Soviet na Shenyang F-7, ni vya zamani zaidi.

Kwa ujumla, wanajeshi wa Rwanda wana uwezo bora wa kijeshi na uzoefu mkubwa katika vita vya kisasa, wakati wanajeshi wa Tanzania wanajulikana kwa ulinzi wa mipaka na mikataba ya amani.
Huu ni ushuzi
 
Usiwadharau aisee...

Umeona wanavyoitesa Drc na vikosi vya Monusco.
Drc inateswa sababu haina umoja within jeshi lao, kuna mgawanjiko.
Hao hao M23 wakipigwna na jeshi liko intact hawaendi mahali
 
Huhitaji kuwa na rubani mzuri ukiwa na Su-30
Tayari huko mambo yameanza kwenda mrama crew
1000355169.jpg
 
Back
Top Bottom