Rwanda inatumia mfumo wake wa ulinzi wa angani, Iron Dome

Rwanda inatumia mfumo wake wa ulinzi wa angani, Iron Dome

Wanazo chache, last time i checked zilikuwa 6. Nadhani walikosa hela ya kuongeza order kubwa kufanya squadrons kadhaa.
Walikosea kununua ndege zinawazidi kimo, wataishia kuwa nazo kwa namba chache kiasi kwamba hazina msaada kivile. Wangenunua kama JF-17 zingesaidia, hata sisi JF-17 natamani tuwe nazo.
Yeah, Uganda wanazo chache, ila wakiwa na pilot wazuri sisi wenye J7 za kichina sioni tukitoboa kwenye dog fights hata wakiamua kufanya ground attack pia.

Sidhani kama tutafika huko kwenye j17 anytime soon. Pale ngerengere naona zimepark j7 za mchina tu.. i doubt if we do we have anyother variant?
 
Hakuna anaemiliki Iron Dome africa shekhe...ni Myahudi na Mmarekani ambae nae kauziwa units mbili pekee
Screenshot_20250128-233355.jpg
 
Iron dome hao wanarusha wamevaa kandambili?na hapo wanaulizana tunaitupa vipi.
Hao wanakijiji wanaweza kupigana vita hao.
Iron dome inatupwa toka nyumba ya udongo.
Congo ni wajinga sanaa, wana uwezo kukifurusha hiyo kanchi dk 2 tu wamelala.
 
Bwana mdogo, ethics tu wengine zinatubana. Ila hujui chochote!
Mkuu sidhani kama ethics zinakataza kutaja aina na models za fighters na air defenses tulizonazo.

Nadhani kutaja location na mbinu inaweza ikawa mbaya ..ila model za ndege, au vitu kama submarines kama zipo au hazipo sioni kama ni kinyume cha ethics.
 
Mkuu sidhani kama ethics zinakataza kutaja aina na models za fighters na air defenses tulizonazo.

Nadhani kutaja location na mbinu inaweza ikawa mbaya ..ila model za ndege, au vitu kama submarines kama zipo au hazipo sioni kama ni kinyume cha ethics.
Kwa ufupi fahamu tupo vizuri!

Kelele za mitandaoni ni kawaida ya mtanzania kuongea.
 
Kwa ufupi fahamu tupo vizuri!

Kelele za mitandaoni ni kawaida ya mtanzania kuongea.
Hata Wacongoman wanasema jeshi lao liko vizuri..hakuna anae admit jeshi lake liko weak.

Kutuaminisha uzuri wa jeshi, tuletee facts. Uganda wa Sukhoi 30 wala hawajazifanya siri. Kwao ni jambo la kawaida. Sisi tuna J7 variant ya Mig 21. Na ndizo tunazoziona, unasemaje tuko vizuri
 
Yeah, Uganda wanazo chache, ila wakiwa na pilot wazuri sisi wenye J7 za kichina sioni tukitoboa kwenye dog fights hata wakiamua kufanya ground attack pia.

Sidhani kama tutafika huko kwenye j17 anytime soon. Pale ngerengere naona zimepark j7 za mchina tu.. i doubt if we do we have anyother variant?
Tuna Chinese J-7G na old Soviet relics, Mig-21 Fishbed. Nina mashaka na airworthiness ya Mig-21 maana zimekula chumvi na ukizalimisha kuzitumia baada ya overhaul utaua sana marubani. Na J-7 ni copy ya Mig-21.

Huhitaji kuwa na rubani mzuri ukiwa na Su-30 variant yoyote anapigana na J-7, rubani kiazi kuliko wote kwenye mafunzo anaweza kipiga hicho kindege bila kuumiza kichwa.

Mig-21 na J-7 zina RCS kubwa hivyo zitaonekana haraka kwa Sukhoi, hazina powerful radars kwahiyo zitaonwa kabla hazijaona adui. Variant ya J-7 inayojitahidi inabeba PL-7 AAM ambayo maximum range ni 14km tu (sababu radar haioni mbali), wakati Su-30 inaweza ona mbali na AAM yake ya range fupi ni 40km, zipo za zaidi ya 100km ila najua Uganda hawawezi uziwa.

Injini ya J-7 ni moja na haina nguvu kama twin engines za Sukhoi kwahiyo turn rate, speed, climb rate ya Su-30 ni kubwa alafu ina g 9+ ambazo hata rubani mara nyingi huwa hamudu kufika.
Kwenye dogfight J-7 haiambulii kitu, vilevile autocanon ya Mig ina nguvu zaidi.

Kwenye ground attack ndio kabisa Su-30 ina option nyingi za rockets, free fall bombs, smart munitions, air to surface missiles sababu ina carrying capacity kubwa.

Range yake pia kubwa. Na hizi hazitakiwi zilinganishwe, moja ni kama second generation, nyingine fourth generation.
 
Pale wauza ubuyu wanavyogeuka wataalamu wa mambo ya usalama ghafla baada ya kushabikia nchi mojawapo vitani.

Iron Dome ni mfumo wa Israel na hauuzwi, especially kuuzwa kwa nchi hoehae kama Rwanda. Rwanda haina anti missile system, wala DRC haijarusha missiles bali shells. Kwahiyo hakuna interception yoyote imefanywa na Rwanda.

Rwanda wanapenda propaganda na kujivimbisha. Ni kanchi kenye jeshi ambalo hata kuipiga Uganda haliwezi ila kelele nyingi.
Nilikuwa natafuta comment yako kwenye hizi mambo.

Nielimishe kidogo mkuu, shell na missile tofauti nin
 
Tuna Chinese J-7G na old Soviet relics, Mig-21 Fishbed. Nina mashaka na airworthiness ya Mig-21 maana zimekula chumvi na ukizalimisha kuzitumia baada ya overhaul utaua sana marubani. Na J-7 ni copy ya Mig-21.

Huhitaji kuwa na rubani mzuri ukiwa na Su-30 variant yoyote anapigana na J-7, rubani kiazi kuliko wote kwenye mafunzo anaweza kipiga hicho kindege bila kuumiza kichwa.

Mig-21 na J-7 zina RCS kubwa hivyo zitaonekana haraka kwa Sukhoi, hazina powerful radars kwahiyo zitaonwa kabla hazijaona adui. Variant ya J-7 inayojitahidi inabeba PL-7 AAM ambayo maximum range ni 14km tu (sababu radar haioni mbali), wakati Su-30 inaweza ona mbali na AAM yake ya range fupi ni 40km, zipo za zaidi ya 100km ila najua Uganda hawawezi uziwa.

Injini ya J-7 ni moja na haina nguvu kama twin engines za Sukhoi kwahiyo turn rate, speed, climb rate ya Su-30 ni kubwa alafu ina g 9+ ambazo hata rubani mara nyingi huwa hamudu kufika.
Kwenye dogfight J-7 haiambulii kitu, vilevile autocanon ya Mig ina nguvu zaidi.

Kwenye ground attack ndio kabisa Su-30 ina option nyingi za rockets, free fall bombs, smart munitions, air to surface missiles sababu ina carrying capacity kubwa.

Range yake pia kubwa. Na hizi hazitakiwi zilinganishwe, moja ni kama second generation, nyingine fourth generation.
Mkuu anatuambia tuko vizuri....hoja nyepesi nyepesi bila kuzi backup na data.
 
Nilikuwa natafuta comment yako kwenye hizi mambo.

Nielimishe kidogo mkuu, shell na missile tofauti nin
Kwa lugha nyepesi, ni Kombora vs Mzinga.

Kombora/missile lina continuous propulsion kwa kutumia rocket au jet engine, baada ya kufyatuliwa, linamfumo wa ndani wa kuliendesha zaidi.

Mzinga/shell hii ni kama risasi kubwa. Mlipuko wa mwanzo wakati wa kufyatuliwa ndio unaoipa mwendo kuelekea kwenye target.
 
Kwa lugha nyepesi, ni Kombora vs Mzinga.

Kombora/missile lina continuous proportion kwa kutumia rocket au jet engine, baada ya kufyatuliwa, linamfumo wa ndani wa kuliendesha zaidi.

Mzinga/shell hii ni kama risasi kubwa. Mlipuko wa mwanzo wakati wa kufyatuliwa ndio unaoipa mwendo kuelekea kwenye target.
mito natumaini umeelewa
 
Kwa lugha nyepesi, ni Kombora vs Mzinga.

Kombora/missile lina continuous proportion kwa kutumia rocket au jet engine, baada ya kufyatuliwa, linamfumo wa ndani wa kuliendesha zaidi.

Mzinga/shell hii ni kama risasi kubwa. Mlipuko wa mwanzo wakati wa kufyatuliwa ndio unaoipa mwendo kuelekea kwenye target.
Asante nimekuelewa mkuu, tena umeeleza kwa lugha nyepesi hata sisi tusiowataalam tumeelewa
 
Back
Top Bottom