Rwanda inatumia mfumo wake wa ulinzi wa angani, Iron Dome

Mkuu uwe unajisemea wewe kama wewe hapa humuwakilishi mtu
 
Kwamba Tanzania imeshiriki kulinda amani Zanzibar kama sehemu ya AMISOM?.
Wewe ni mpuuzi Upuuzwe.
 
Rwanda ni social media military force wanapenda sana matangazo wanataka wajue Tanzania hapana hutaijua , nyie mliozea kuijtangaza kwenye media ni jeshi la media hilo
 
Mkuu acha kamba
 
Vipi kuhusu ufisadi
 
Rwanda ni waoga sana wanatumia mitandao ya kijamii kijitisha wenyewe mara uwakute Insta wanajitangaza RDF mara Wapi sijui wapi weledi huwezi fanya hivyo huo wote woga na kutaka kuwaaminisha watu uongo wao
 
Hovyooo kawadanganye wasiojua watakuelewa
 
Rwanda hawana iron Dome systems labda wanamifumo ya kawaida.
 
Sio kweli kuwa na mitambo hiyo
 
Chengdu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…