Rwanda kuanza kutumia nguruwe kama mlo mashuleni

Saafi sana aisee yaani umenifanya hadi mesikia njaa ghafla

 
Hata wakristo wenye kuifata biblia hawali nguruwe.

Ukiiona mijitu inakula nguruwre ujuwe hiyo ni mikafiri tu.
Usitupangie Biblia ilishatutaarifu kwamba

Matendo ua Mitume 10:
11 Akaona mbingu zimefunguka na kitu kama nguo kubwa kikishushwa duniani kwa ncha zake nne. 12Ndani yake walikuwepo aina zote za wanyama wenye miguu minne, nao watambaao nchini, na ndege wa angani. 13Ndipo sauti ikamwambia “Petro, ondoka, uchinje na ule.”
14 Petro akajibu, “La hasha Bwana! Sijawahi kamwe kula kitu chochote kilicho najisi.”
15 Ile sauti ikasema naye mara ya pili, “Usikiite najisi kitu chochote Mungu alichokitakasa.”
 
Kwa ule utamu wa kitimoto itoshe tu kusema dikteta Kagame anaupiga mwingi. Lishe bora itafanya vijana wawe na akili mingi. Hata hapa Tanzania waanzishe hiyo kitu.
Hata hapo Tanzania wewe uko wapi? Ulaya Nguruwe hana thamani, ni nyama yenye bei ya chini kuliko zote upo Malawi nini??? Umaskini tu ndio unamfanya mbongo afiklie kuwa nguluwe ni mtamu.
 
Hata wakristo wenye kuifata biblia hawali nguruwe.

Ukiiona mijitu inakula nguruwre ujuwe hiyo ni mikafiri tu.
Acha habari zako Dada wewe,mimi muislamu pure,swala tano kabisa ila huniambii kitu juu ya kitimoto
 
Hapo ushajijibu mwenyewe "" ulichokitakasa",

Nguruwe wapi katakaswa? Au huku ndiko kutakaswa kwenyewe:

Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
8 Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.
 
Hakika, wewe umejawa na Roho Mtakatifu, kwa mamlaka yangu, nakuagiza ukapate safari lager kumi hapo kwenye duka la mangi
 
Kwa sie vegetarians itakuwaje?
 
Wawe wanaweka kaugali kadogo nyama nyingi ili waifaidi vizuri.
Hatari sana ......
 
Uislam umekataza kumla nguruwe ba wapo wenye kukufuru wanakula.
kwa sababu zipi hasa kama ni magonjwa tayari tumeyadhibiti ,shida nini watoto wasipate lishe bora inayozagaa bure. unafikiri kipi kitakukuta ahera iwapo ukapoteza maisha kwa utapia mlo ilihali nyama ya nguruwe ipo ya kutosha
 
Hata hapo Tanzania wewe uko wapi? Ulaya Nguruwe hana thamani, ni nyama yenye bei ya chini kuliko zote upo Malawi nini??? Umaskini tu ndio unamfanya mbongo afiklie kuwa nguluwe ni mtamu.
Unaugua wendawazimu? Kuna sehemu nimeandika HAPO? PUMBAVU SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…