MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Nguluwe = Nguruwe. Shenzi weweHata hapo Tanzania wewe uko wapi? Ulaya Nguruwe hana thamani, ni nyama yenye bei ya chini kuliko zote upo Malawi nini??? Umaskini tu ndio unamfanya mbongo afiklie kuwa nguluwe ni mtamu.
🤣🤣View attachment 2639065
Mipango inaendelea kuwezesha shule kujumuisha nyama ya nguruwe katika ratiba ya chakula nchini Rwanda kama njia ya kutokomeza utapiamlo, Olivier Kamana, Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo na Rasilimali Wanyama amenukuliwa na gazeti la New Time nchini humo akisema.
"Tunaziomba shule kuanzisha miradi ya ufugaji wa nguruwe ili kuweza kumudu nyama ya nguruwe," alisema.
Mnamo mwaka wa 2019, mpango wa lishe shuleni ulitekelezwa katika shule za sekondari (zinazosaidiwa na serikali na za serikali) huku wanafunzi 680,000 wakipokea ruzuku ya Serikali ya chakula cha shule.
Takwimu za hivi karibuni zinaonesha kuwa shule za msingi na sekondari ziliongezeka kutoka 2,877 mwaka 2017 hadi 2,963.
Mnamo 2021, Rwanda ilizalisha tani 185,989 za nyama. Idadi ya nguruwe imeongezeka kutoka 989,000 mnamo 2012 hadi takriban milioni 1.5 mnamo 2021.
Nchi hiyo iilizalisha wastani wa tani 23,000 za nyama ya nguruwe kwa katika mwaka 2019 na inalenga kuongeza uzalishaji wa nyama hiyo hadi kufikia tani 68,000 ifikapo 2024.
“Tunashughulikia mpango wa kutumia vyanzo mbadala vya protini kulisha mifugo badala ya mahindi. Hii itasaidia kuongeza idadi ya wafugaji wa nguruwe na uzalishaji wa nguruwe,” Kamana alisema.
---
NB. Afya haina dini
Jaribu kuelewa nguruwe amekatazwa kuliwa tu! Ila ana haki zake km wanyama wengine.shule ndogo ndio shida mimi nimeshuhudia dakitari wa mifugo wasilamu wengi tuh wana kagua nyama za nguruwe wanawakata meno, kuhasi na kuwatibu bila shida yoyote wala hawamchukii nguruwe tena wanafuga na nguruwe kabisa lakini sijda ziko usoni
Toa neno tupone [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Doctor ww hapa tukae upande gani? Wa huyu Bibi Faiza au Wa Rwanda??Nkundwe Sr Ukorofi huo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji112]
Tusipowala watapunguaje acha ecosystem ifanye kazi yake. Leo jioni nagonga nusu na ndizi mbili tusiburuzane kwenda peponi ukienda wewe inatosha!Hata wakristo wenye kuifata biblia hawali nguruwe.
Ukiiona mijitu inakula nguruwre ujuwe hiyo ni mikafiri tu.
Nkundwe Sr sitaki ukorofiiii 🤣🤣🤣👋🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Toa neno tupone [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Doctor ww hapa tukae upande gani? Wa huyu Bibi Faiza au Wa Rwanda??
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Ndio maana nkakuambia Mungu alitakasa kila mnyama achana na Agano la kale nimekupa mistari sasa hapo nini huelewiHapo ushajijibu mwenyewe "" ulichokitakasa",
Nguruwe wapi katakaswa? Au huku ndiko kutakaswa kwenyewe:
Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
8 Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.
Teh teh Doctor mzima muoga unaogopa kisomo nini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Nkundwe Sr sitaki ukorofiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji112][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maneenah walah ntaresit
Kwani wewe huamini Mungu?Ndio maana nkakuambia Mungu alitakasa kila mnyama achana na Agano la kale nimekupa mistari sasa hapo nini huelewi
Mutah daughter, Koran imesema ukiwa na uitaji kula , apo wameona Kuna uitajiHata wakristo wenye kuifata biblia hawali nguruwe.
Ukiiona mijitu inakula nguruwre ujuwe hiyo ni mikafiri tu.
Hata wakristo wenye kuifata biblia hawali nguruwe.Tusipowala watapunguaje acha ecosystem ifanye kazi yake. Leo jioni nagonga nusu na ndizi mbili tusiburuzane kwenda peponi ukienda wewe inatosha!
Safi...View attachment 2639065
Mipango inaendelea kuwezesha shule kujumuisha nyama ya nguruwe katika ratiba ya chakula nchini Rwanda kama njia ya kutokomeza utapiamlo, Olivier Kamana, Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo na Rasilimali Wanyama amenukuliwa na gazeti la New Time nchini humo akisema.
"Tunaziomba shule kuanzisha miradi ya ufugaji wa nguruwe ili kuweza kumudu nyama ya nguruwe," alisema.
Mnamo mwaka wa 2019, mpango wa lishe shuleni ulitekelezwa katika shule za sekondari (zinazosaidiwa na serikali na za serikali) huku wanafunzi 680,000 wakipokea ruzuku ya Serikali ya chakula cha shule.
Takwimu za hivi karibuni zinaonesha kuwa shule za msingi na sekondari ziliongezeka kutoka 2,877 mwaka 2017 hadi 2,963.
Mnamo 2021, Rwanda ilizalisha tani 185,989 za nyama. Idadi ya nguruwe imeongezeka kutoka 989,000 mnamo 2012 hadi takriban milioni 1.5 mnamo 2021.
Nchi hiyo iilizalisha wastani wa tani 23,000 za nyama ya nguruwe kwa katika mwaka 2019 na inalenga kuongeza uzalishaji wa nyama hiyo hadi kufikia tani 68,000 ifikapo 2024.
“Tunashughulikia mpango wa kutumia vyanzo mbadala vya protini kulisha mifugo badala ya mahindi. Hii itasaidia kuongeza idadi ya wafugaji wa nguruwe na uzalishaji wa nguruwe,” Kamana alisema.
---
NB. Afya haina dini
Kwa kiswahili tafadhali bi abdoolInna'Allah ma'a swabirin.
Nguruwe analiwa na wayahudi?Hata wakristo wenye kuifata biblia hawali nguruwe.
Ukiiona mijitu inakula nguruwre ujuwe hiyo ni mikafiri tu.
. Sikushangai, wewe hata nyama ya mtu utakula tu.
Ya mtu sili. Msimamo wangu anayetaka kula ale asimlazimishe asiyetaka. Hivyo hivyo asiyetaka asimbughuzi anayetaka. Case closed. Kutwa kutusimanga kwani nakula kwenye tumbo la mtu.Hata wakristo wenye kuifata biblia hawali nguruwe.
Ukiiona mijitu inakula nguruwre ujuwe hiyo ni mikafiri tu.
. Sikushangai, wewe hata nyama ya mtu utakula tu.
Big up Rwanda, mmefanya jambo la maana sana. Mungu azidi kuwabariki kulisha Watoto wenu chakula kilicho bora.View attachment 2639065
Mipango inaendelea kuwezesha shule kujumuisha nyama ya nguruwe katika ratiba ya chakula nchini Rwanda kama njia ya kutokomeza utapiamlo, Olivier Kamana, Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo na Rasilimali Wanyama amenukuliwa na gazeti la New Time nchini humo akisema.
"Tunaziomba shule kuanzisha miradi ya ufugaji wa nguruwe ili kuweza kumudu nyama ya nguruwe," alisema.
Mnamo mwaka wa 2019, mpango wa lishe shuleni ulitekelezwa katika shule za sekondari (zinazosaidiwa na serikali na za serikali) huku wanafunzi 680,000 wakipokea ruzuku ya Serikali ya chakula cha shule.
Takwimu za hivi karibuni zinaonesha kuwa shule za msingi na sekondari ziliongezeka kutoka 2,877 mwaka 2017 hadi 2,963.
Mnamo 2021, Rwanda ilizalisha tani 185,989 za nyama. Idadi ya nguruwe imeongezeka kutoka 989,000 mnamo 2012 hadi takriban milioni 1.5 mnamo 2021.
Nchi hiyo iilizalisha wastani wa tani 23,000 za nyama ya nguruwe kwa katika mwaka 2019 na inalenga kuongeza uzalishaji wa nyama hiyo hadi kufikia tani 68,000 ifikapo 2024.
“Tunashughulikia mpango wa kutumia vyanzo mbadala vya protini kulisha mifugo badala ya mahindi. Hii itasaidia kuongeza idadi ya wafugaji wa nguruwe na uzalishaji wa nguruwe,” Kamana alisema.
---
NB. Afya haina dini
Haswaa, sasa kuwapikia wanafunzi wote nguruwe siyo kuwalazimisha kula nguruwe?Ya mtu sili. Msimamo wangu anayetaka kula ale asimlazimishe asiyetaka. Hivyo hivyo asiyetaka asimbughuzi anayetaka. Case closed. Kutwa kutusimanga kwani nakula kwenye tumbo la mtu.