Rwanda kuanza kutumia nguruwe kama mlo mashuleni

Rwanda kuanza kutumia nguruwe kama mlo mashuleni

Mambo ya miiko katika chakula au vyakula fulani ni desturi au taratibu za jamii fulani hvyo basi kila jamii izingatie miiko yake . Kutokula nguruwe hizo ni desturi au taratibu za watu wa masharik ya kati uko. Cc tuna taratibu zetu na tuko vzuri hatutaki kulazimishwa. Mfano hao waarabu hawawezi kuwaambia et Wachina au wajapn wasile nguruwe ahhhahh watachekwa san. Na kama waarabu wangekuwa kila kitu sawa na smart wasingewategemea makafir kwenye mambo mengi ikiwemo technologia. Yaan kafir ndo anaongoza kwa technologia na kila kitu na wengne wako vizur na maandiko ya kale ahuhuhuhhhh
 
Ukiona mtawala anaanza kuwalazimisha watu kwenda kinyume na dini zao elewa kuwa siku zake zinahesabika.
Bibi kwani umelazimishwa wewe......Wanyarwanda na wahaya na wanyambo na wahima na wanyankole na waganda na wabangu bangu kula nguruwe ni asili yetu......Hayo mambo ya arab naization peleka kwenu huko..
 
Mambo ya miiko katika chakula au vyakula fulani ni desturi au taratibu za jamii fulani hvyo basi kila jamii izingatie miiko yake . Kutokula nguruwe hizo ni desturi au taratibu za watu wa masharik ya kati uko. Cc tuna taratibu zetu na tuko vzuri hatutaki kulazimishwa. Mfano hao waarabu hawawezi kuwaambia et Wachina au wajapn wasile nguruwe ahhhahh watachekwa san. Na kama waarabu wangekuwa kila kitu sawa na smart wasingewategemea makafir kwenye mambo mengi ikiwemo technologia. Yaan kafir ndo anaongoza kwa technologia na kila kitu na wengne wako vizur na maandiko ya kale ahuhuhuhhhh
Mkuu umeshanijibia bibi Faiza Fox.
 
Mimi ni Muislam. Tumejaaliwa makabika na lugha ili tujuwane tu, mbora kati yetu ni mcha Mungu.
Sometimes una hoja nzuri ila mda mwnngne unapuyanga ila inatakiwa ujue kwamba wew kuelewa na kuikubali miiko na makatazo ya kiarabu haimaniishi ni lazma kila mmoja awe na mtazamo kama wako. Mfano kwa mm Arabs ni dhaifu mno kinachowabeba ni mafuta yao tu tena kafir ndio kawashikia akili
 
Hata wakristo wenye kuifata biblia hawali nguruwe.

Ukiiona mijitu inakula nguruwre ujuwe hiyo ni mikafiri tu.
Bíblia ni kitabu cha tamaduni za wayahudi
........Sasa sisi tufuate tamaduni za kigeni za nini????? Kafiri ni wewe na tamaduni zenu za kiarabu
 
Sometimes una hoja nzuri ila mda mwnngne unapuyanga ila inatakiwa ujue kwamba wew kuelewa na kuikubali miiko na makatazo ya kiarabu haimaniishi ni lazma kila mmoja awe na mtazamo kama wako. Mfano kwa mm Arabs ni dhaifu mno kinachowabeba ni mafuta yao tu tena kafir ndio kawashikia akili
Mkuu upo sahii
 
Hakuna haijuae kesho si yeye wala wewe , ila yeye ni mpitaji wa mipango sio kibwegebwege , juzi kafungia makanisa 78 yasio na usajili na wachungaji wasio na degree ya theolojia wote kawafuta na makanisa yao kayafungilia mbali.....
Uyu mzee ndo mana anabarikiwa sana. Sasahivi kila mtu akiamka anataka kuwa mchungaji
 
La haraka haraka kichwani ni "swine flu" Elewa kuwa siku hizi dunia kiganjani, unaweza kumtumia chatgpt:

Swine can carry a variety of diseases that can be transmitted to humans. Some of the diseases associated with swine include ringworm, erysipelas, leptospirosis, streptococcosis, campylobacterosis, salmonellosis, cryptosporidiosis, giardiasis, balantidiasis, infection with pathogenic E. coli, and brucellosis¹.
Bibi sisi sio waarabu na hatuna haja na tamaduni zao
 
Bíblia ni kitabu cha tamaduni za wayahudi
........Sasa sisi tufuate tamaduni za kigeni za nini????? Kafiri ni wewe na tamaduni zenu za kiarabu
Mkuu huyo bibi ana matatizo ya kiakili alisema tulete sharia wakamjibu aweke kwenye familia yake mtoto akiiba awe ana chinja sijui alishatekeleza hilo. Leo tena anasema kafiri. Kafiri ni yeye na baba yake huoni hilo?
 
Back
Top Bottom