Rwanda kuwa ya pili EAC kurusha satellite baada ya Kenya

Rwanda kuwa ya pili EAC kurusha satellite baada ya Kenya

Ramani haisaidii kitu hapa, wewe usipojua uhusiano wa maendeleo ya uchumi na uchummi huo kutumika kukidhi mahitaji muhimu ya wananchi, mahitaji kama madawa, chakula nk, basi wewe ni zuzu.

Mnashindwaje kununua chakula kukabiliana na njaa kila mwaka na huku mnadai Uchumi na maendeleo yenu ni makubwa???

Kumbuka sisi hatudai kuwa uchumi wetu ni mkubwa kuliko ninyi, swali ni hili kwanini KILA MWAKA mfe njaaaaaa na pesa ya kuchezea kurusha satellite mnayo ??!, au kwa ukabila wenu mnawaona hao wanaokufa njaa sio kenyans??🤣 nyie mna mambo ya ajabu sana.

Vote for Wajackoya ili aanzishe uchumi wa kijani (weed) for food.🤣

Baada ya huyo kuonyesha mnavyotia aibu kwa kuweka ramani kabisa ya madini, kuna huyu pia anaeleza laana ya umaskini inavyozidi kuwatesa, bado nashauri muache kula albino Tanzania bado ni nchi maskini sana
 
Sasa kama sampuli ya wananchi wenyewe ni ya ovyo, kama hawa hapa kwenye uzi. Ambao wanajua kwamba kazi ya satellite ni ya kuchungulia tu majirani. Ujamaa buana! 😄 Viongozi wenu nao wataona kweli umuhimu wa vitu kama hivyo?

Sijui kuhusu satelite ya Rwanda, ila ya Kenya ni ya kiutafiti. Chombo kama hicho kingewafaa sana maanake kina manufaa chungu nzima, hasa kwenye sekta ya KILIMO. Kupitia utafiti na data ambazo zinaokotwa kuhusu pattern za mvua, kubadilika kwa mazingira, uvamizi wa vitu kama nzige na 'fall army worm' n.k. Vitu ambavyo huwa vinaathiri sana uzalishaji kwenye sekta ya kilimo.

Elimu yenu na kukosa exposure zinawakwaza sana jombaa. Ndio maana hadi vitu vinavyohusiana na sayansi vinaishia tu kuhusishwa na ushabiki maandazi na wa kisiasa.


Satellite ya Rwanda ni "surveillance sat" ni "spy sat" sio kwa ajili weather forecasting au communication purposes, na hiyo ni msaada kutoka kwa mabeberu kwani Rwanda kama ilivyo haina sababu ya maana na haiwezi kurusha satellite huko angani.

Mabeberu wapo hivi; wanapokuwa na shida ya kitu fulani kwa njia rahisi basi hutafuta njia ili kitu hicho wakipate kwa gharama yoyote, Rwanda anahusika sana na instabilities huko mashariki ya congo ambako kuna madini nk, M23 ni Rwanda creation ili kuleta social unrest ili watu waendelee kupora natural resources huko Congo kwa ajili ya hao mabeberu na ndio maana Rwanda ni jeuri sana kwani mabeberu wanamlinda na anawategemea sana wao, kumbuka Jonas Savimbi case ya diamond huko kabinda, Rwanda ni malignant cancer in East Africa region.
 
Baada ya huyo kuonyesha mnavyotia aibu kwa kuweka ramani kabisa ya madini, kuna huyu pia anaeleza laana ya umaskini inavyozidi kuwatesa, bado nashauri muache kula albino Tanzania bado ni nchi maskini sana


Huwezi nyumbani kwako watoto wako wanakufa njaa halafu wewe unatoka nje na kutamba kwa jirani zako eti; unalo gari na nguo za thamani kuliko wao ilhali majirani zako watoto wao hawana hivyo vitu isipokuwa watoto wao hushiba kwa chakula.🤣

Shibisha kwanza watoto wako ndipo ukawatambie jirani zako.


Wajackoya oyeeee, Green economy oyeeee🤣🤣
 
Sasa kama sampuli ya wananchi wenyewe ni ya ovyo, kama hawa hapa kwenye uzi. Ambao wanajua kwamba kazi ya satellite ni ya kuchungulia tu majirani. Ujamaa buana! [emoji1] Viongozi wenu nao wataona kweli umuhimu wa vitu kama hivyo?

Sijui kuhusu satelite ya Rwanda, ila ya Kenya ni ya kiutafiti. Chombo kama hicho kingewafaa sana maanake kina manufaa chungu nzima, hasa kwenye sekta ya KILIMO. Kupitia utafiti na data ambazo zinaokotwa kuhusu 'pattern' za mvua, kubadilika kwa mazingira, uvamizi wa vitu kama nzige, 'fall army worm' n.k. Vitu ambavyo huwa vinaathiri sana uzalishaji kwenye sekta ya kilimo. Satellite zinatumika hadi kufanya 'exploration', ya madini ya aina yote chini ya ardhi.

Elimu yenu na kukosa exposure zinawakwaza sana jombaa. Ndio maana hadi masuala ya kisayansi kama haya, yanaishia tu kuhusishwa na ushabiki maandazi, tena wa kisiasa.

Umeandika neno Kilimo Kwa herufi kubwa,
Halfu ukaandika na nano nzige,
Nimecheka sana aisee
Nchi inajinasibu kurusha satellite kwa hisani ya Japan halafu inategemea food donations.
Kilichonichekesha zaidi ni vile mlideal na nzige miezi kibao wakati Huku kwetu ilikuwa ni zoezi la wiki tu . Is that nano satellite from Japan really helping you ?
Kweli kuwa mkunya ni Laana [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Huwezi nyumbani kwako watoto wako wanakufa njaa halafu wewe unatoka nje na kutamba kwa jirani zako eti; unalo gari na nguo za thamani kuliko wao ilhali majirani zako watoto wao hawana hivyo vitu isipokuwa watoto wao hushiba kwa chakula.🤣

Shibisha kwanza watoto wako ndipo ukawatambie jirani zako.


Wajackoya oyeeee, Green economy oyeeee🤣🤣

Kuna hii nyingine nilianzisha huku ya mataifa maskini yaliyozongwa na madeni, hebu waza umaskini huo mlio nawo na madeni yote hayo, muache nyama za albino laana itapungua Mataifa maskini yanayozongwa na mikopo. Hivi majirani hizi hela mlizifanyia nini cha kuonekana?
 
Kuna hii nyingine nilianzisha huku ya mataifa maskini yaliyozongwa na madeni, hebu waza umaskini huo mlio nawo na madeni yote hayo, muache nyama za albino laana itapungua Mataifa maskini yanayozongwa na mikopo. Hivi majirani hizi hela mlizifanyia nini cha kuonekana?
Kuna hii nyingine nilianzisha huku ya mataifa maskini yaliyozongwa na madeni, hebu waza umaskini huo mlio nawo na madeni yote hayo, muache nyama za albino laana itapungua Mataifa maskini yanayozongwa na mikopo. Hivi majirani hizi hela mlizifanyia nini cha kuonekana?


I say, Vote for Wajackoya as he has invented a solution to finish the ever recurring and annually increasing hunger disaster in your country. Wake up.

Harambeeeee Green economy!!!, Hoyeee green economy for Kenyans, it is over.
 
I say, Vote for Wajackoya as he has invented a solution to finish the ever recurring and annually increasing hunger disaster in your country. Wake up.

Harambeeeee Green economy!!!, Hoyeee green economy for Kenyans, it is over.

Kuna huyu dah nimesoma hadi nikaingiwa na huruma sana, ila ndio hivyo mchawi wenu ni laana ya ulaji wa albino
 
Kuna hii nyingine nilianzisha huku ya mataifa maskini yaliyozongwa na madeni, hebu waza umaskini huo mlio nawo na madeni yote hayo, muache nyama za albino laana itapungua Mataifa maskini yanayozongwa na mikopo. Hivi majirani hizi hela mlizifanyia nini cha kuonekana?


Are you turning blind eyes to this👇🏻??!

Screenshot_20220717-125551.png
 
Kuna huyu dah nimesoma hadi nikaingiwa na huruma sana, ila ndio hivyo mchawi wenu ni laana ya ulaji wa albino

Hapa ndio Wakenya mnapoonekana Zombies kwani hamuwezi kutamba kwamba mnayo maendeleo wakati 3.5 milion of your people suffers rom hunger!!!, sasa ni maendeleo gani hayo kwa faida ya ya nani?? Au ni kwa faida ya mabepari wachache wanaomiliki huo utajiri wa kiuchumi??!!---- Idiots.

Screenshot_20220717-134019.png
 
MK254 Nahisi wewe ni moja wa hao Kenyans wanotaabika na njaa ya kila siku kwani upeo wa akili yako haupo sawa.👇🏻

Screenshot_20220717-134850.png
 
Kuna huyu dah nimesoma hadi nikaingiwa na huruma sana, ila ndio hivyo mchawi wenu ni laana ya ulaji wa albino


Hadi akili yako ikukae sawa na ujue kwamba nyie sio masikini wa akili tu bali ni masikini wa utu na watu wenu wengi ni masikini na utajiri wenu unamilikiwa na mabepari wachache wenye roho za kinyama, hawajui njaa za watu.👇🏻

Screenshot_20220717-135454.png
 
Kuna huyu dah nimesoma hadi nikaingiwa na huruma sana, ila ndio hivyo mchawi wenu ni laana ya ulaji wa albino


Hii ndio athari za ukabila na uchoyo mliyokuwa nao, angalia hivi Kenya yote alikosekana mtu au mwanamke wa ku ADOPT mtoto hadi Mbwa ajitokeze kuwafundisha nyie Wakenya jinsi ya kuadopt watoto??!, huyo mama alitupa watoto sababu ya njaa na shida zingine, mbwa akajitokeza kulea watoto, masikini inatia uchungu kwelikweli, halafu mtu anavimba mashavu na povu linamtoka mdomoni akidai eti; "sisi tumeendelea sana tumerusha satellite" 🤣🤣

Screenshot_20220717-140147.png
 
Kuna huyu dah nimesoma hadi nikaingiwa na huruma sana, ila ndio hivyo mchawi wenu ni laana ya ulaji wa albino


Njaa mbaya sana ikizidi, mnaona jinsi mtu akishikwa.na njaa anachoweza kufanya, tena hamuogopi hata Mungu na ndio maana kaamua kuleta vurugu kanisani na kumpiga padre.🤣🤣


View attachment 2293883

Mwanaume aliyechanganyikiwa akili (mwehu), amevamia kanisani wakati misa ikiendelea na kumpiga padri kisha kupora biblia.

Video ya tukio hilo imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ambapo taarifa zinaeleza kuwa limetokea Kisumu nchini Kenya katika kanisa moja la Kikatoliki.
 
MK254 ---- Hatua za haraka zahitajika kuokoa maisha ya Wakenya 3.5 milions kutokana na njaa.

Au Wewe huoni jambo hilo??--- unakuja hapa kuturingishia na kasetelite kako kamoja umlikopewa msaada na mabeberu eti mnajidai na nyie mmeendelea!!🤣, kama mmeendelea, je America, Japan ,Germany na nchi za Ulaya wasemeje??.

Ondoeni njaa kwanza nchini mwenu ndipo uje tujadili mambo ya satellite nk..

Screenshot_20220717-142229.png
 
Huu uzi ushajadiliwa sana hapa: Rwanda inarusha Satelaiti ya Kijeshi. Je, Tuko Salama? Moderator fanya kuziunga.

Rwanda wanataka satellite for communication purposes, "The minister noted that Rwanda is in talks with a host of nations to help develop its space capabilities in possible deals that will potentially add impetus to the country’s Information and Communication Technology (ICT) ambitions"

Satellites za nchi nyingi duniani ni kwaajili ya mawasiliano in other words satellites nyingi ni minara ya mawasiliano tu.

"Communications satellites are used for television, telephone, radio, internet, and other applications. As of 1 January 2021, there are 2,224 communications satellites in Earth orbit."

Kenya Wana satellite nini kimebadilika? Hali yao ya usalama inazidi kuwa mbaya kila siku.

Zimbabwe Wana satellite inewasaidia nini kama hata mlo mmoja kwa siku unawashinda?

Ethiopia wana satellite kwaajili ya mambo ya kilimo ila ndo nchi inayoongoza kufa kwa njaa.

Djibouti nao wapo in plans za kuwa na satellite ila ni choka mbaya.

Ni vyema kuwekeza kwenye utaalam ila satellite sio kipaumbele. I'd rather have maji safi na salama kila kona, barababara nzuri, SGR, umeme wa uhakika na chakula kabla ya kuamua kutapanya pesa unnecessarily.
 
Huu uzi ushajadiliwa sana hapa: Rwanda inarusha Satelaiti ya Kijeshi. Je, Tuko Salama? Moderator fanya kuziunga.

Rwanda wanataka satellite for communication purposes, "The minister noted that Rwanda is in talks with a host of nations to help develop its space capabilities in possible deals that will potentially add impetus to the country’s Information and Communication Technology (ICT) ambitions"

Satellites za nchi nyingi duniani ni kwaajili ya mawasiliano in other words satellites nyingi ni minara ya mawasiliano tu.

"Communications satellites are used for television, telephone, radio, internet, and other applications. As of 1 January 2021, there are 2,224 communications satellites in Earth orbit."

Kenya Wana satellite nini kimebadilika? Hali yao ya usalama inazidi kuwa mbaya kila siku.

Zimbabwe Wana satellite inewasaidia nini kama hata mlo mmoja kwa siku unawashinda?

Ethiopia wana satellite kwaajili ya mambo ya kilimo ila ndo nchi inayoongoza kufa kwa njaa.

Djibouti nao wapo in plans za kuwa na satellite ila ni choka mbaya.

Ni vyema kuwekeza kwenye utaalam ila satellite sio kipaumbele. I'd rather have maji safi na salama kila kona, barababara nzuri, SGR, umeme wa uhakika na chakula kabla ya kuamua kutapanya pesa unnecessarily.
Kwamba satellites sio miundo mbinu pia, sawa na mabarabara na hiyo SGR uliyoitaja? Umetaja kwamba zinatumika kwenye mawasiliano. Kuna hadi wizara ambayo inaitwa Transport and Communication, yaani Usafiri na Mawasiliano na ICT juu yake.

Alafu unajaribu kutushawishi kwamba satellites sio kipaumbele, labda kwenu. Kama mnaona sifa kutumia satellites za wengine ni sawa. Ila nakuhakikishia kwamba ndani ya miaka kama mitano hivi inayowadia hata nyie pia mtaiga. Lazima kwa ushamba wenu utasikia mnaanda hafla moja kubwa ya uzinduzi wa kurusha uongo angani. Alafu viongozi wenu watakata utepe kwa mbwembwe nyingi, wakiwaringia kwamba wamewaletea nyie wanyonge maendeleo. Bure kabisa.
 
Satellite ya Rwanda ni "surveillance sat" ni "spy sat" sio kwa ajili weather forecasting au communication purposes, na hiyo ni msaada kutoka kwa mabeberu kwani Rwanda kama ilivyo haina sababu ya maana na haiwezi kurusha satellite huko angani.

Mabeberu wapo hivi; wanapokuwa na shida ya kitu fulani kwa njia rahisi basi hutafuta njia ili kitu hicho wakipate kwa gharama yoyote, Rwanda anahusika sana na instabilities huko mashariki ya congo ambako kuna madini nk, M23 ni Rwanda creation ili kuleta social unrest ili watu waendelee kupora natural resources huko Congo kwa ajili ya hao mabeberu na ndio maana Rwanda ni jeuri sana kwani mabeberu wanamlinda na anawategemea sana wao, kumbuka Jonas Savimbi case ya diamond huko kabinda, Rwanda ni malignant cancer in East Africa region.
Upumbavu, sasa unaponda teknolojia yote inayohusiana na satellites kisa majungu yako dhidi ya Rwanda? Huo sio ukichaa kweli? Rwanda wanafanya mambo yao kulingana na malengo yao, sio ya nchi jirani. Wao ni kansa kwenu nyie wanyonge, ambao huwa mnawakuza na kuwaogopa. Rwanda na Kagame wao hawana ubabe wowote mbele ya nchi ya Kenya. Ndio maana huwa tunatangulia sisi kisha wao wanafata.
 
Kwamba satellites sio miundo mbinu pia, sawa na mabarabara na hiyo SGR uliyoitaja? Umetaja kwamba zinatumika kwenye mawasiliano. Kuna hadi wizara ambayo inaitwa Transport and Communication, yaani Usafiri na Mawasiliano na ICT juu yake.

Alafu unajaribu kutushawishi kwamba satellites sio kipaumbele, labda kwenu. Kama mnaona sifa kutumia satellites za wengine ni sawa. Ila nakuhakikishia kwamba ndani ya miaka kama mitano hivi inayowadia hata nyie pia mtaiga. Lazima kwa ushamba wenu utasikia mnaanda hafla moja kubwa ya uzinduzi wa kurusha uongo angani. Alafu viongozi wenu watakata utepe kwa mbwembwe nyingi, wakiwaringia kwamba wamewaletea nyie wanyonge maendeleo. Bure kabisa.

It's called Priorities. Limeni mpunguze njaa huko.
 
Back
Top Bottom