Rwanda kuwa ya pili EAC kurusha satellite baada ya Kenya

Rwanda kuwa ya pili EAC kurusha satellite baada ya Kenya

Upumbavu, sasa unaponda teknolojia yote inayohusiana na satellites kisa majungu yako dhidi ya Rwanda? Huo sio ukichaa kweli? Rwanda wanafanya mambo yao kulingana na malengo yao, sio ya nchi jirani. Wao ni kansa kwenu nyie wanyonge, ambao huwa mnawakuza na kuwaogopa. Rwanda na Kagame wao hawana ubabe wowote mbele ya nchi ya Kenya. Ndio maana huwa tunatangulia sisi kisha wao wanafata.

Huku mgambo wa Somalia wasiokuwa hata na viatu wanawachakaza vibaya mno. Waijaribu TZ waone kama hatutaifuta kwenye ramani ya Africa. Mnapenda sifa za kipumbavu.
 
Huku mgambo wa Somalia wasiokuwa hata na viatu wanawachakaza vibaya mno. Waijaribu TZ waone kama hatutaifuta kwenye ramani ya Africa. Mnapenda sifa za kipumbavu.
Kwahivyo ugaidi ndio unahalalisha hoja yako kwamba satellites hazina umuhimu wowote?
 
Unarushaje satellite huku NJAA INAUMA?

Full kupiga miayo na kutafuna nzige. Haha.

Na mungu kawasaidia kawaletea manzige kutoka jangwani myatafune vizuri.

Maisha ni kula na kushiba. Ukiwa maskini una njaa njaa unakuwa bwege tu.
 
It's called Priorities. Limeni mpunguze njaa huko.
Satellites ni priority moja kubwa sana kwa kila nchi kote duniani. Alafu zina manufaa makubwa kwenye sekta ya kilimo pia. Kwahivyo hoja yako hiyo ya kupunguza njaa ni null and void. Shirikisha ubongo jombaa, ili uibuke na hoja zenye mashiko.
 
Satellites ni priority moja kubwa sana kwa kila nchi kote duniani. Alafu zina manufaa makubwa kwenye sekta ya kilimo pia. Kwahivyo hoja yako hiyo ya kupunguza njaa ni null and void. Shirikisha ubongo jombaa, ili uibuke na hoja zenye mashiko.
Unarushaje satellite huku unaumwa njaa unajamba jamba upepo?
 
Unarushaje satellite huku unaumwa njaa unajamba jamba upepo?
Hamna akili nyie viumbe bila teknolojia, kwenye nyakati hizi, huwezi ukayatatua matatizo. Yanayowakumba wananchi ndani ya nchi yeyote ile kote duniani.
Kwa taarifa yenu Kenya inazidi kurusha satellite zingine angani. Kenya: Country Planning More Satellite Launches for Outer Space Exploration

Alafu vyuo vikuu vitano nchini Kenya tayari vimerusha 'model' satellite zao angani. Satellite hizo zimetengenezwa na wanafunzi wenyewe. Wakinuia kuzitumia kwenye 'disaster management', yaani kuzuia maaafa wakati wa majanga na kwenye kilimo pia, 'crop management'. Kenya inazidi kukuza 'capacity' na utaalamu kwenye teknolojia hiyo nchini. Kenya Space Agency Launches Five Model Satellites - Space in Africa
 
Hamna akili nyie viumbe, bila teknolojia, kwenye nyakati hizi huwezi ukayatatua matatizo. Yanayowakumba wananchi ndani ya nchi yeyote ile kote duniani.
Kwa taarifa yenu Kenya inazidi kurusha satellite zingine angani.

Alafu vyuo vikuu vitano nchini Kenya tayari vimerusha 'model' satellite zao angani. Satellite hizo zimetengenezwa na wanafunzi wenyewe.
Hizo satellite uchwara zinawasaidiaje kuepuka kujamba jamba upepo kunakosababishwa na njaa?
 
Tafuta msosi bwashee ule ushibe uache kujamba jamba upepo.

Satellites zinarushwa na walioshiba, sio MAHOHEHAHE kama KENYA.
Wewe endelea kuhangaika na shibe la tumbo lako moja, hapo ndipo ulipo. Mimi hapa nilipo nawaza na kufanya mambo makubwa zaidi ya hayo. Kama ni shibe ninajaza tumbo kadhaa kila siku ya wiki, sio langu tu. Tena nagharamia mahitaji yao mengine yote ya kimaisha juu yake.
 
Wewe endelea kuhangaika na shibe la tumbo lako moja tu, hapo ndipo ulipo. Mimi hapa nawaza na kufanya mambo makubwa zaidi ya hayo. Kama ni shibe ninajaza tumbo kadhaa kila siku ya wiki sio langu tu. Tena na gharamia zao zingine zote za kimaisha juu yake.
Wenzako wanatafuna nzige huko Nairobi nenda kawaokoe.

Hizi satellite zako uchwara haziwezi kuwasaidia.
 
Kuna huyu kajaribu kueleza nini sababu za Tanzania kueteseka kwenye umaskini, nimeona umechangia hapo eti sience and tchnology ndio suluhu, wala hiyo sio, mkiacha nyama za albino laana itapungua Kwanini nchi za Afrika ikiwemo Tanzania bado maskini licha ya kupokea Misaada na Mikopo ya mamilioni ya Fedha kutoka nchi zilizoendelea? - Part I


Wewe unatakiwa utulize akili yako kwani inaonekana umetawaliwa na ushabiki (fanatism) badala ya rational.

Huyo jamaa mada yake inasema ; "kwanini nchi za KIAFRIKA haziendelei, ikiwemo Tz, licha ya kupewa misaada??",--- sasa kwani kenya sio nchi ya kiafrika kiasi kwamba usiingize katika kundi la nchi zisizokuwa na maendeleo licha ya kupewa misaada??!, au Kenya haipewi misaada??

Umeshupalia juu ya Albino, sasa nikuulize; je hilo sakata la Albino lilianza lini??, na kabla halijaanza ni uchumi upi kati ya Tz na Kenya ulikuwa mkubwa??, je, hivi sasa Sakata hilo la Albino bado lipo??, je hivi sasa baada ya sakata hilo ni uchumi upi mkubwa kati ya Tz na Kenya??.

Ninachotaka kukufundisha ni hiki kwamba maendeleo ya kiuchumi katika Tz hayahusiani na sakata la kinyama la mauaji ya Albino kwani jambo hilo lilikuwa ni jambo la kihalifu lisilohusiana kabisa na maendeleo ya uchumi na jambo hilo lilianza na limeshatokomezwa miaka kadhaa iliyopita, ninashangaa umeendelea kulishikilia bila mantiki yoyote isipokuwa ushabiki tu.

(1)---Mimi nimekupa somo lenye mantiki kwamba; Maendeleo ya kiuchumi ya nchi ni lazima yanufaishe umma (wananchi), kama nchi itakuwa na uchumi mkubwa lakini uchumi huo kwa namna yoyote ukashindwa kutumiwa kusaidia kustawisha umma basi uchumi huo ni useless, uchumi unajengwa na umma, serikali inaendesha uchumi kwa ajili ya kuletea umma maendeleo nk,.

(2)----Tunajua na kutambua kuwa Kenya ni nchi yenye uchumi mkubwa EA, lakini inasikitisha na kuhuzunisha tunapona ndugu zetu Wakenya wanakufa kwa njaa kila mwaka licha ya uchumi wa nchi yao kuwa mkubwa!!!, je serikali unashindwa kutenga bajeti kila mwaka kukabiliana na janga la njaa??!! au hao wanaokufa sio watu??!, au ni watu wa tabaka la chini??, au ndio tribalism in action ??!, semeni tujue!!, ---kumbuka hakuna hitaji la muhimu kuliko yote katika maisha ya binadamu kama chakula, sasa tunashangaa iweje Uchumi mkubwa usiweze kuzibiti njaa??!!, huku Tz tunahadithiwa, baada ya vita vya kagera (Tz vs Uganda) uchumi wa Tz uliporomoka vibaya sana, bidhaa muhimu zote kupatikana ilikuwa ni shida kubwa lakini Nyerere alihakikisha hakuna Mtz atakaye kufa njaa zama hizo na ndipo mahindi ya njano (Yanga) kutoka marekani yakaingia na kwa kiasi kikubwa yalisaidia sana kukabiliana na tatizo la njaa lililokuwa linatunyemelea, Nyerere alichukua hatua hizo kama kiongozi mwenye dhamira na dhamana ya kulinda uhai wa watu wake, sasa kulikoni ndugu zetu wakenya??!!---3.5 million people kila mwaka (routinely) hukumbwa na njaa na matokeo yake ni utapiamlo nk, licha ya Uchumi wenu mkubwa huku wakati huo huo mkijisifia kurusha satellite, kujenga flyovers, SGR kwa gharama kubwa nk!!,

(3)---Kama Tz imeweza kukabiliana na mauaji ya kinyama ya Albino na kuyatokomeza kabisa, mauaji dhidi ya ubinadamu, basi nimatumaini yetu Kenya nayo kila mwaka itakuwa ikiweka initiatives za kukabiliana na baa la njaa (njaa ni janga dhidi ya ubinadmu), for good ili jambo hilo liwe ni historia kwa vizazi vijavyo sio vya Kenya tu baki vya wana E Africans kwa ujumla na hapo ndipo locals and internationals media HEADLINES za aina hii zitakoma👇🏻

Screenshot_20220718-204150.png
 
Wewe unatakiwa utulize akili yako kwani inaonekana umetawaliwa na ushabiki (fanatism) badala ya rational.

Huyo jamaa mada yake inasema ; "kwanini nchi za KIAFRIKA haziendelei, ikiwemo Tz, licha ya kupewa misaada??",--- sasa kwani kenya sio nchi ya kiafrika kiasi kwamba usiingize katika kundi la nchi zisizokuwa na maendeleo licha ya kupewa misaada??!, au Kenya haipewi misaada??

Umeshupalia juu ya Albino, sasa nikuulize; je hilo sakata la Albino lilianza lini??, na kabla halijaanza ni uchumi upi kati ya Tz na Kenya ulikuwa mkubwa??, je, hivi sasa Sakata hilo la Albino bado lipo??, je hivi sasa baada ya sakata hilo ni uchumi upi mkubwa kati ya Tz na Kenya??.

Ninachotaka kukufundisha ni hiki kwamba maendeleo ya kiuchumi katika Tz hayahusiani na sakata la kinyama la mauaji ya Albino kwani jambo hilo lilikuwa ni jambo la kihalifu lisilohusiana kabisa na maendeleo ya uchumi na jambo hilo lilianza na limeshatokomezwa miaka kadhaa iliyopita, ninashangaa umeendelea kulishikilia bila mantiki yoyote isipokuwa ushabiki tu.

(1)---Mimi nimekupa somo lenye mantiki kwamba; Maendeleo ya kiuchumi ya nchi ni lazima yanufaishe umma (wananchi), kama nchi itakuwa na uchumi mkubwa lakini uchumi huo kwa namna yoyote ukashindwa kutumiwa kusaidia kustawisha umma basi uchumi huo ni useless, uchumi unajengwa na umma, serikali inaendesha uchumi kwa ajili ya kuletea umma maendeleo nk,.

(2)----Tunajua na kutambua kuwa Kenya ni nchi yenye uchumi mkubwa EA, lakini inasikitisha na kuhuzunisha tunapona ndugu zetu Wakenya wanakufa kwa njaa kila mwaka licha ya uchumi wa nchi yao kuwa mkubwa!!!, je serikali unashindwa kutenga bajeti kila mwaka kukabiliana na janga la njaa??!! au hao wanaokufa sio watu??!, au ni watu wa tabaka la chini??, au ndio tribalism in action ??!, semeni tujue!!, ---kumbuka hakuna hitaji la muhimu kuliko yote katika maisha ya binadamu kama chakula, sasa tunashangaa iweje Uchumi mkubwa usiweze kuzibiti njaa??!!, huku Tz tunahadithiwa, baada ya vita vya kagera (Tz vs Uganda) uchumi wa Tz uliporomoka vibaya sana, bidhaa muhimu zote kupatikana ilikuwa ni shida kubwa lakini Nyerere alihakikisha hakuna Mtz atakaye kufa njaa zama hizo na ndipo mahindi ya njano (Yanga) kutoka marekani yakaingia na kwa kiasi kikubwa yalisaidia sana kukabiliana na tatizo la njaa lililokuwa linatunyemelea, Nyerere alichukua hatua hizo kama kiongozi mwenye dhamira na dhamana ya kulinda uhai wa watu wake, sasa kulikoni ndugu zetu wakenya??!!---3.5 million people kila mwaka (routinely) hukumbwa na njaa na matokeo yake ni utapiamlo nk, licha ya Uchumi wenu mkubwa huku wakati huo huo mkijisifia kurusha satellite, kujenga flyovers, SGR kwa gharama kubwa nk!!,

(3)---Kama Tz imeweza kukabiliana na mauaji ya kinyama ya Albino na kuyatokomeza kabisa, mauaji dhidi ya ubinadamu, basi nimatumaini yetu Kenya nayo kila mwaka itakuwa ikiweka initiatives za kukabiliana na baa la njaa (njaa ni janga dhidi ya ubinadmu), for good ili jambo hilo liwe ni historia kwa vizazi vijavyo sio vya Kenya tu baki vya wana E Africans kwa ujumla na hapo ndipo locals and internationals media HEADLINES za aina hii zitakoma👇🏻

View attachment 2295828

Kuna huyu anasema umaskini wenu ni wa kujichagulia, ila mimi nasema umaskini wenu ni muache kuwatesa na kuchinja albino ili laana iwatoke, muache maushirikina
 
Kuna huyu anasema umaskini wenu ni wa kujichagulia, ila mimi nasema umaskini wenu ni muache kuwatesa na kuchinja albino ili laana iwatoke, muache maushirikina



"KENYA IS IN THE BEST 10"

Screenshot_20220719-093906.png
 
Kuna huyu anasema umaskini wenu ni wa kujichagulia, ila mimi nasema umaskini wenu ni muache kuwatesa na kuchinja albino ili laana iwatoke, muache maushirikina
Mtakula nzige hadi lini?
 
Tatizo ni kuishi maisha ya mashindano ndo inawagarimu Wakenya...Kila cku wanajitahidi kushindana na kujionyesha wao ndo wao lakini wanajikuta wanaangukia pua....
 
Kuna huyu anahoji kwanini idadi ya maskini imeongezeka Tanzania, ila mimi nashauri tatizo lenu liko pale pale uchinjaji na ulaji wa binadamu aina ya albino, ndio laana yenu Kwanini idadi ya watu maskini imeongezeka Tanzania?


Kweli nyani ni nyani tu huwa haoni kundule. Hebu niambie na nyinyi huu umaskini wenu umetokana na laana gani??--- sio laana ya ukabila wa kiuchumi??, kama umaskini ni laana basi nyie mmelaanika zaidi kwani njaa pia inawapiga kila mwaka, hebu angalia sababu za umaskini wenu plus njaa hapo chini👇🏻

Screenshot_20220720-072525.png
 
Back
Top Bottom