Tetesi: Rwanda nyuma ya kufukuzwa Shyrose!

Maoni mazuri
 
Kikao hujadili na sio mwenyekiti kubwata "huyu sitaki hata kumsikia..." halafu ishu inafungwa. Kikwete alijadiliwa na maamuzi yalikuwa kweli ni ya kikao.
Unao huo ushahidi au porojo tu
 
Mkuu kwani term limit ya EALA ni miaka mingapi na shyrose anayo mingapi?
The EALA representatives hold office for five years and are eligible for re-election once for a further term of five years. Take an example of Mzee Adam Kimbisa, if he is re-elected by the National Assembly.
 
Wengine waliondolewa kwa sababu au vigezo zilizojadiliwa, na sio mwenyekiti single handedly. Najua wewe una mahaba na Rwanda as well.
 
The EALA representatives hold office for five years and are eligible for re-election once for a further term of five years. Take an example of Mzee Adam Kimbisa, if he is re-elected by the National Assembly.
shyrose ana miaka mingapi? Mbona to the best of my recollection aliingia na Kimbisa na Makongoro? i stand to be corrected.
 
shyrose ana miaka mingapi? Mbona to the best of my recollection aliingia na Kimbisa na Makongoro? i stand to be corrected.
Mitano. Re-election hufuata mchakato kama wa mwanzo. Wakati huu hakupenya kwenye mchakato. Aendelee na mambo mengine, vyeo ni temporary (nakubaliana na Rais Magufuli)
 
Unao huo ushahidi au porojo tu
ushahidi wa mwenyewe na wa kimazingira upo. Huwezi kumkata incumbent bila kuonyesha alivyofeli kwenye vigezo. Just like haiwezekani kumkata magu 2020 kama utakavyowakata wanaoanza mwanzo, kwa kuwa huyu ulishampitisha for the first tem, maana yake alishakidhi vigezo vya mwanzo, hivyo kumkata inabidi uthibitishe kuwa vile vigezo alivyokuwa navyo sasa hana tena.
 
Tunazungumzia muda wa uongozi, si zama. Muda wake kama Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ukiisha, ataondoka madarakani. CHADEMA wataongozwa na Katiba yao.
muda wa Mbowe umepita anaongoza chama kimabavu awaachie wengine Mbowe hana jipya
 
Wengine waliondolewa kwa sababu au vigezo zilizojadiliwa, na sio mwenyekiti single handedly. Najua wewe una mahaba na Rwanda as well.
Sina mahaba na Rwanda
wala siichukii Rwanda
lakini lazima kuwe na ukweli nasi chuki binafsi
wew nakusoma sana humu jf
kabla sijajiunga
unachuki kubwa na serikali ya Rwanda
ila unaipenda rwanda maana wewe ni mnyarwanda
 
Hivi hamjui kuwa rais wetu ana asili ya rwanda na huenda baadhi ndugu zake wa damu bado wako huko. Kumbuka kagame ndiye aleyempa semina elekezi baada ya kuapishwa ndio maana maamuzi yake ni ya kikagamekagame
 
Si mmalizane wenyewe na huyo Dikteta wenu. Hata mkija kulialia hapa JF, sisi tunawasaidieje?
 

Haha ndio maana mnaliali
mlikuwa na 100%
 
Mitano. Re-election hufuata mchakato kama wa mwanzo. Wakati huu hakupenya kwenye mchakato. Aendelee na mambo mengine, vyeo ni temporary (nakubaliana na Rais Magufuli)
1. Nashukuru kwanza tumekubaliana kuwa kuwa ishu sio term limits.
2. Tukija kwenye mchakato mbona alishapita kwenye hatua za mwanzo za kupigiwa kura na kufikia top 4? Amekatwa at the last stage ambayo kikao kinakaa na kujadili waliopitishwa. According to waliopo ndani ni kuwa mkuu aliamua kuskip jina lake altogether akidai "hataki hata kumsikia, hataki mjadala kwenye jina hili...." How is this fair? Hii haina tofauti na majina ya mfukoni ya kikwete kweney kumkata lowassa. Na ndio sababu huwezi kukwepa uhusiano wa mkuu na Rwanda katika hili.
 
Hivi hamjui kuwa rais wetu ana asili ya rwanda na huenda baadhi ndugu zake wa damu bado wako huko. Kumbuka kagame ndiye aleyempa semina elekezi baada ya kuapishwa ndio maana maamuzi yake ni ya kikagamekagame
Mamuzi ya kikagamekagame kila mtu anayaona.
 
Top 4 alifikaje wakati wamepitishwa 12? Jiongeze, acha kuamini viblog uchwara
 
Sina mahaba na Rwanda
wala siichukii Rwanda
lakini lazima kuwe na ukweli nasi chuki binafsi
wew nakusoma sana humu jf
kabla sijajiunga
unachuki kubwa na serikali ya Rwanda
ila unaipenda rwanda maana wewe ni mnyarwanda
....hiyo line huwa mnaipenda kweli ya kuwa mlisoma threads zangu kabla hamjajiunga. Sijui ni watu wangapi huwa mnawasoma na kuwakariri kabla hamjajiunga. So for 7 years unamsoma jmali ila ukajiunga 2015! Okay.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…