Tetesi: Rwanda nyuma ya kufukuzwa Shyrose!

Kwani anamkataba wa kudumu kuwa mgombea/mbunge?

Aende akajiajiri aache kulia lia
 
KILA CHENYE MWAZNZO KINA MWISHO HATA WASIRA ALIKUWA MBUNGE SASA HIVI NI MKILIMA
 
Huo ni uzushi tu
hatutaweza kukubaliana katika hili kwa kuwa vikao hivi huwa havina taarifa za wazi ambazo ni rasmi. Tufanye hivi ili tufunge mjadala. Naomba kuuliza swali personal kidogo.
Unaamini au huamini taarifa kuwa majina ya wagombea top 5 wa CCM yaliletwa mfukoni? Najua hakuna relation lakini ukijibu hili utakuwa pia umemaliza na swali la kama Shyrose amekatwa kwa kutumia process halali.
 
....hiyo line huwa mnaipenda kweli ya kuwa mlisoma threads zangu kabla hamjajiunga. Sijui ni watu wangapi huwa mnawasoma na kuwakariri kabla hamjajiunga. So for 7 years unamsoma jmali ila ukajiunga 2015! Okay.
Nikuambie kuwa sisomi threads zako tu
michango yako sana
kuna hawa watu murutongore ,mchambawima1 nawengineo
mlikuwa mkibishana sana kuhusu Interahamwe
elewa hivyo
wewe unachuki na serikali ya Rwanda sana
huna jema kutoka kwa Pk
 
Natamani wanaosoma namba waongezeke mara 100 zaidi ya sasa, ili 2020 wapiga debe upande wa pili tuwe wengi
 
Huo pia ni uzushi. Amini taarifa rasmi tu, utaumiza kichwa chako kwa habari za kizushi.
 
Hakuna haja ya kudhanidhani, Shyrose amemaliza muda wake na apumzike. Siasa ni zamu kwa zamu. Na kila zama ina watu wake
Petro mselewa nimesoma ulichokiandika sasa tujiulize kwani lazima yeye tu ndio awe mbunge? Pili hivi kila anayekatwa kwenye chama lazima a it we kujieleza kwanini asikatwe? Chadema, ACT, na CUF wamefanya hiyo michakato swali ni je walioomba wote kwenye teuzi za kivyama ndio waliopata na kama hawakupata wote je wakati chama kinawakata kwenye mchakato huo wale waliokosa wameitwa kuhojiwa ? Je maelezo ya sababu zako za Rwanda na ndoa yana ithibati yoyote au unahisi tu ndugu yangu MOO PALMO? Wewe ni mwanasheria mbobevu tena mwenye uwezo hasaa sasa kale "kaprinciple no evidence no right to speak " naomba kaaply kwako mdogo wangu.
 
Hilo ndio swali. lakini huyu alikuwa haanzi mwanzo alikuwa anatetea kiti chake kama makongoro na kimbisa. Hivi inawezekana Magufuli kukatwa jina ndani ya CCM 2020? Term limit ya EALA ni miaka 10.
Team limit ni 5 years renewable sasa kashamaliza miaka yake
 
Classmate wangu Kiba mzaire, kwanza nakusalimu. Pili, nashukuru kwa kukubaliana kuwa Shyrose akubali kilichotokea na afanye mambo mengine. Wa kuwa Mbunge wa Afrika Mashariki si yeye tu. Na afahamu pia kuwa kila chama cha siasa kina 'udikteta' katika kuamua kwa kulinda maslahi yake. Hakuna pasipo na ubabe hasa katika kuamua. Ajifunze kukubali matokeo na kujipanga upya. Hapo anaharibu zaidi. Jumong hapa!
 
Kikao kina maana yake, haya ni maamuzi ya mwenyekiti yaliyovaa koti la kikao.
Lakini mwenyekiti ndio kiongozi wa kikao
Sasa kama wajumbe mwisho walikunaliana na mwenyekiti
Labda kama useme wajumbe walishinikizwa na mwenyekiti kukubaliana naye
Kama hivyo ndivyo basi kuna mapungufu mahala
 
upuuzi tu unaandika. nenda ukalewe huko na shyrazi wako, nonsense.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…