Tetesi: Rwanda nyuma ya kufukuzwa Shyrose!

Tetesi: Rwanda nyuma ya kufukuzwa Shyrose!

Mleta uzi amechanganyikiwa, Rwanda na vikao vya ccm wapi na wapi? Upuuzi mtupu.
 
Si lazima apewe muda ajieleze....kama nchi ama serikali iliyoko madarakani inaona hafai basi anapigwa stop. Asipokubali matokeo aende mahakamani kuishitaki serikali.
Huu ndo utawala tunaopiga vita.
 
Muda wake umepita kivipi.si angepewa nafasi ajieleze mbona wakina chenge mpaka leo wapo bungeni. Acheni double standard nyie
Hawa ndio wanyarwanda wenyewe, hawawezi kusema kwa nini shyrose muda umepita lakini makongoro na kimbisa wawe bado wakati wote waliingia pamoja.
 
Ametumikia vipindi vya kutosha apumzike na wengine wajaribu. After all nothing new they are just dealing with hardcopy issues only rather than soft issues like democracy integration. ,politics etc
Katumikia vipindi vingapi?
 
Huu ndo utawala tunaopiga vita.


Basi huelewi siasa, ile Tanzania ya miaka 30 iliyopita ilikuwa haina rais na ndiyo maana ulizoea kuona vitu vya kijinga vinafanywa, yet...watu walibisha na sikushangai wewe kubisha kila kitu. Ukikuwa utanielewa nina maana gani. Kipindi hatuna rais, mtu alikuwa anaiba milioni 10, inaundwa tume ya uchunguzi ya milioni 200 kuchunguza milioni 10 ziliibiwaje, na watu walishangilia tume kuundwa. Viongozi walikuwa wanapongezana kuchaguliwa kwenye tume ya ufujaji because walijuwa wanakwenda kula tu na kuongeza nyumba ndogo.
 
Basi huelewi siasa, ile Tanzania ya miaka 30 iliyopita ilikuwa haina rais na ndiyo maana ulizoea kuona vitu vya kijinga vinafanywa, yet...watu walibisha na sikushangai wewe kubisha kila kitu. Ukikuwa utanielewa nina maana gani. Kipindi hatuna rais, mtu alikuwa anaiba milioni 10, inaundwa tume ya uchunguzi ya milioni 200 kuchunguza milioni 10 ziliibiwaje, na watu walishangilia tume kuundwa. Viongozi walikuwa wanapongezana kuchaguliwa kwenye tume ya ufujaji because walijuwa wanakwenda kula tu na kuongeza nyumba ndogo.
1. Inahusiana vipi na mada?
2. Vipi kuhusu ununuzi wa meli mbovu na kugawa nyumba za serikali kwa vimada?
 
Huyu Bi mdashi kama Magufuli kamkataa ujue kuna biashara iliyo pigwa marufuku na Paul Makonda kufanyika ndani ya jiji la Dar es Salaam ndiyo aliyokuwa anaifanya huyu bi.mdangala sasa Magufuli kasha mshtukia kitambo kamkata ndiyo maana mnamuona analia lia

Ni upuuzi wa kiwango cha lami kuihusisha na Rwanda kwenye hii ishu!!

Na Magufuli hatompangia kazi yoyote, akaendee kutafuna mjani

Alikuwa hajui kama Magu anafanya kazi na usalama alifikiri hatamshtukizia aendelee na upuuzi wake!

-I'm Sign out
 
Huyu Bi mdashi kama Magufuli kamkataa ujue kuna biashara iliyo pigwa marufuku na Paul Makonda kufanyika ndani ya jiji la Dar es Salaam ndiyo aliyokuwa anaifanya huyu bi.mdangala sasa Magufuli kasha mshtukia kitambo kamkata ndiyo maana mnamuona analia lia

Ni upuuzi wa kiwango cha lami kuihusisha na Rwanda kwenye hii ishu!!

Na Magufuli hatompangia kazi yoyote, akaendee kutafuna mjani

Alikuwa hajui kama Magu anafanya kazi na usalama alifikiri hatamshtukizia aendelee na upuuzi wake!

-I'm Sign out
Kwa hiyo muuza unga adhabu yake ni kukatwa jina bila mjadala? Nonsense. Hao usalama wa magu si ndio wale wa kuvamia shilawadu na kumtisha Nape? Nonsense again.
 
Basi huelewi siasa, ile Tanzania ya miaka 30 iliyopita ilikuwa haina rais na ndiyo maana ulizoea kuona vitu vya kijinga vinafanywa, yet...watu walibisha na sikushangai wewe kubisha kila kitu. Ukikuwa utanielewa nina maana gani. Kipindi hatuna rais, mtu alikuwa anaiba milioni 10, inaundwa tume ya uchunguzi ya milioni 200 kuchunguza milioni 10 ziliibiwaje, na watu walishangilia tume kuundwa. Viongozi walikuwa wanapongezana kuchaguliwa kwenye tume ya ufujaji because walijuwa wanakwenda kula tu na kuongeza nyumba ndogo.
Mbona unaongea pumba mkuu nipe mfano hata mmoja wa hiyo hoja yako
 
Mtaalam, shida ni moja tuu. Jinsi suala lake lilivyo kuwa handled. Mwenyekiti kutumia mabavu kuwa "huyo sitaki hata kumjadili" ndio yote haya yanajitokeza.
Shy rose atakumbukwa kwa mengi ikiwemo kusisitiza kwake matumizi ya lugha ya kiswahili mpaka jambo hilo kupitishwa. Alistahili kuheshimiwa japo kidogo kwa kumjadili na hata asipopita ndio hiyo kauli yako ingepata nguvu.
Mkuu,malalamiko baada ya maamuzi hayasaidii wala hayakuwahi kusaidia. Kulalamika ni kuharibu zaidi. Atakosa utakosa uteuzi wowote. Hakuna chama cha siasa ambacho hakina udikteta kwenye kuamua. Wenyeviti wa vikao huwa na nguvu kubwa
 
1. Inahusiana vipi na mada?
2. Vipi kuhusu ununuzi wa meli mbovu na kugawa nyumba za serikali kwa vimada?


Nilikuwa najibu hoja ya mlengwa, vipi povu mkuu? Ungeelewa mlengwa kasema nini wala usingekuja hapa kunijibu bila ya kujichamba. Vitu vizuri havihitaji haraka, rudi tu chooni kamalizie haja yako.
 
Yaani kila kinachofanyika Tanzania... Rwanda inahusishwa.. Acheni kutafuta Kik na Rwanda ile siyo levo yetu
 
Hii habari si njema kwa usalama wa nchi ya Tanzania.Lazima tujikague ndani ya mifumo ya usalama kwani isijekuwa wapo watu wenyedhamana wanatumika na nchi nyingine.Kamati kuu ya CCM hebu jiridhisheni na watendaji wa serikali na mkiona kasoro mshaurini Rais achukue hatua.
 
Basi huelewi siasa, ile Tanzania ya miaka 30 iliyopita ilikuwa haina rais na ndiyo maana ulizoea kuona vitu vya kijinga vinafanywa, yet...watu walibisha na sikushangai wewe kubisha kila kitu. Ukikuwa utanielewa nina maana gani. Kipindi hatuna rais, mtu alikuwa anaiba milioni 10, inaundwa tume ya uchunguzi ya milioni 200 kuchunguza milioni 10 ziliibiwaje, na watu walishangilia tume kuundwa. Viongozi walikuwa wanapongezana kuchaguliwa kwenye tume ya ufujaji because walijuwa wanakwenda kula tu na kuongeza nyumba ndogo.
Kama sasa hivi huo wizi haufanyiki,ufisadi haufanyiki,makusanyo yakodi yameongezeka, rushwa hamna mbona maisha yamezidi kuwa magumu kuliko kipindi cha kikwete ambacho mambo haya yote yalikuwa yanafanyika na watu tulikuwa tunapanda ndege kila wiki? Mwambieni huyo babu kipara akamuulize kikwete alikuwa anapata wapi pesa.
 
Nilikuwa najibu hoja ya mlengwa, vipi povu mkuu? Ungeelewa mlengwa kasema nini wala usingekuja hapa kunijibu bila ya kujichamba. Vitu vizuri havihitaji haraka, rudi tu chooni kamalizie haja yako.
We unadai kulikuwa hakuna serikali miaka 30 halafu unataka nikuache? Nakutuma india ukatibiwe mwezi mzima!
 
Back
Top Bottom