Tetesi: Rwanda nyuma ya kufukuzwa Shyrose!

Tetesi: Rwanda nyuma ya kufukuzwa Shyrose!

Hakuna haja ya kudhanidhani, Shyrose amemaliza muda wake na apumzike. Siasa ni zamu kwa zamu. Na kila zama ina watu wake

Mtaalam, shida ni moja tuu. Jinsi suala lake lilivyo kuwa handled. Mwenyekiti kutumia mabavu kuwa "huyo sitaki hata kumjadili" ndio yote haya yanajitokeza.
Shy rose atakumbukwa kwa mengi ikiwemo kusisitiza kwake matumizi ya lugha ya kiswahili mpaka jambo hilo kupitishwa. Alistahili kuheshimiwa japo kidogo kwa kumjadili na hata asipopita ndio hiyo kauli yako ingepata nguvu.
 
mbeleko ya kura nyingi?
....kamuite mwenyewe hapa anaijua vizuri mbeleko iliyombeba,maana wewe ni mpambe tu!
..alikatwa Lowassa,itakuwa Shyrose???
....hiyo ndo siasa,
.asante na kwaheri!
 
....kamuite mwenyewe hapa anaijua vizuri mbeleko iliyombeba,maana wewe ni mpambe tu!
..alikatwa Lowassa,itakuwa Shyrose???
....hiyo ndo siasa,
.asante na kwaheri!
kama wewe unayeleta habari za mbeleko huwezi kuthibitisha hoja zako basi tuishie hapo.
 
Bora Rwanda wana nafuu ingawa ni utawala wa kiimla lakini uchumi uko imara tofauti na huyu wa huku.Utawala wa kimla huku uchumi......
wahamiaji haramu waliojazana bongo wanatafuta nini? Uchumi wa Rwanda ni hadithi tu. Huko hakuna vyombo vya habari zaidi ya vya serikali, vilivyopo vyote ni vya makada. hakuna uhuru wa habari. Kama unabisha njoo huku ujione maisha ya wananchi halafu linganisha na bongo. Tofauti yake ni usiku na mchana. Acheni kuchotwa akili.
 
Mtaalam, shida ni moja tuu. Jinsi suala lake lilivyo kuwa handled. Mwenyekiti kutumia mabavu kuwa "huyo sitaki hata kumjadili" ndio yote haya yanajitokeza.
Shy rose atakumbukwa kwa mengi ikiwemo kusisitiza kwake matumizi ya lugha ya kiswahili mpaka jambo hilo kupitishwa. Alistahili kuheshimiwa japo kidogo kwa kumjadili na hata asipopita ndio hiyo kauli yako ingepata nguvu.
Ametumia mabavu kwa sababu hakuna sababu yenye mashiko ya kumkata. Sababu ni huu urafiki wake na Kagame. Kama mtu ana makosa ya kutosha kumkata angeweka wazi na angekatwa tu kama kawaida.
 
1. sio professional ni profession.
2. Aliingia kwa utaratibu, anatakiwa atoke kwa utaratibu as well. Na ni nani huyo aliyetoka? Lemutuz?
ok nlikua cjui kumbe ni profession......MKUU UNATOA POVU na bado...acha dozi ikuingie.......huo uliomtoa ndo utaratibu wa kuwatoa watu kama yye
 
Jamani hakuna alo wahi kuwa mbunge milele, mbona mwenzie Nape ametolewa uwaziri juzi na akaishia kushukuru tu!? Ndio maisha hayo huwez kuwa sehemu moja milele, she should get over with it, and move on. Nothing is permanent in this world.
Shy hakuzaliwa akiwa mbunge atulie sasa ubunge umeisha na ni wa muda tu
Zile nafasi kumi (za wabunge wateule) za rais nadhani bado hazizaisha kwa wanawake. Akiendelea kulalamika atakosa vyote.
 
Nyie mnaetuletea hzo Sababu zisizokua na msingi mnajambo lenu,, acha awe mwingne sio Lazma yeye tu
 
Huu utawala wa sasa hauna tofauti na Rwanda


Shyrose muda wake umepita, lazima waje wabunge wengine. Tanzania ilibidi iwe na rais mkali anayekemea ujinga kwa nguvu zake zote kama huyu aliye madarakani sasa. Wapuuzi ndiyo wanapiga kelele kwani walizoea kujitawala wenyewe. Nchi ikiwa haina rais kwa kipindi cha miaka 30 kama tulivyokuwa sie kabla ya Magufuli, wananchi wake wanakuwa hawajitambui na hujifanyia vitu watakavyo wao, wakiamrishwa wanatokwa na povu na kutaka kujiua kama walivyo wengi hapa nchini hivi sasa.
 
Acha UBASHITE-Fafafa tumia kichwa.
(Ukimaliza tuambie umemaliza sekondary gani na Mwaka gani (BASHITE)).
 
Kabla ya EALA alikuwa anafanya nini? Hebu achangamke na mambo mengine fasts basi
 
Ametumikia vipindi vya kutosha apumzike na wengine wajaribu. After all nothing new they are just dealing with hardcopy issues only rather than soft issues like democracy integration. ,politics etc
 
Shyrose muda wake umepita, lazima waje wabunge wengine. Tanzania ilibidi iwe na rais mkali anayekemea ujinga kwa nguvu zake zote kama huyu aliye madarakani sasa. Wapuuzi ndiyo wanapiga kelele kwani walizoea kujitawala wenyewe. Nchi ikiwa haina rais kwa kipindi cha miaka 30 kama tulivyokuwa sie kabla ya Magufuli, wananchi wake wanakuwa hawajitambui na hujifanyia vitu watakavyo wao, wakiamrishwa wanatokwa na povu na kutaka kujiua kama walivyo wengi hapa nchini hivi sasa.
Muda wake umepita kivipi.si angepewa nafasi ajieleze mbona wakina chenge mpaka leo wapo bungeni. Acheni double standard nyie
 
Hakuna haja ya kudhanidhani, Shyrose amemaliza muda wake na apumzike. Siasa ni zamu kwa zamu. Na kila zama ina watu wake
Kosa hilo ndilo lililomfanya kikwete amchukue kobe amtie baharini akidhani atafanana na kasa. Weledi hauna zama
 
Tatizo sio kutolewa tatizo ni AMETOLEWA KWA STYLE IPI!?? wachangia mada tambueni hilo kwanza then ndo m-comment.
 
Muda wake umepita kivipi.si angepewa nafasi ajieleze mbona wakina chenge mpaka leo wapo bungeni. Acheni double standard nyie


Si lazima apewe muda ajieleze....kama nchi ama serikali iliyoko madarakani inaona hafai basi anapigwa stop. Asipokubali matokeo aende mahakamani kuishitaki serikali.
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Hamna kitu, kupebda title tuu ndio kuna msumbua.
Ngoja aisome namba
Mi nadhani itoshe tu kusema, Shyrose Bhanji ni mtanzania kama walivyo watanzania wengine, ametimiza wajibu wake kwa Taifa lake sasa ni zamu ya watanzania wengine kutoa michango yao,kama jinsi alivyoachwa mtu mwingine akachaguliwa yeye hivyo hivyo anapaswa kuona ni wakati muafaka kwa mtanzania mwingine, kutoa mchango wake, isiwe sasa ama kwake yeye mwenyewe au wapashkuna wengine kujaza maneno meengi kana kwamba hakuna watu wengine Tanzania ila ni Shy-rose Bhanji peke yake.
 
Back
Top Bottom