Rwanda: Vifo vilivyotokana na makombola kutoka DRC vyaongezeka

Rwanda: Vifo vilivyotokana na makombola kutoka DRC vyaongezeka

Marie Antoinette

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
426
Reaction score
412
Kutokana na vita vinavyoendelea mashariki mwa DRC,tarehe 26 na 27 January 2025, watu 5 nchini Rwanda walipoteza maisha kutokana na risasi na makombola yaliyotua nchini Rwanda, mjini Rubavu unaopakana na Goma, na kusababisha vifo vya watu 5 nyumba na majengo ya shule vikiharibika.

Kwenye mkutano wa maraisi wa nchi za Afrika mashariki, raisi wa Rwanda Paul Kagame, aliahidi kutolifumbia macho jambo hilo, na kwamba atajibu mapigo, akisema hilo bado linafuatiliwa.
Tangazo la serikali leo tarehe tatu, baada ya tathmini ya maafa yaliyotokana na mabomu hayo, limebainisha kuwa mpaka sasa , watu 15 ndo wamepoteza maisha. Huku jumla ya watu 160 wakijeruhiwa, badhi wamesharuhusiwa na kurudi majumbani kwao, na wengine 6 hali zao zikiwa ni mbaya. Nyuma na shule vilivyohalibika, tangazo hilo limesema vina thamani ya faranga za Rwanda milioni 150.
 
1738589405520.jpg
 
Kutokana na vita vinavyoendelea mashariki mwa DRC,tarehe 26 na 27 January 2025, watu 5 nchini Rwanda walipoteza maisha kutokana na risasi na makombola yaliyotua nchini Rwanda, mjini Rubavu unaopakana na Goma, na kusababisha vifo vya watu 5 nyumba na majengo ya shule vikiharibika.

Kwenye mkutano wa maraisi wa nchi za Afrika mashariki, raisi wa Rwanda Paul Kagame, aliahidi kutolifumbia macho jambo hilo, na kwamba atajibu mapigo, akisema hilo bado linafuatiliwa.
Tangazo la serikali leo tarehe tatu, baada ya tathmini ya maafa yaliyotokana na mabomu hayo, limebainisha kuwa mpaka sasa , watu 15 ndo wamepoteza maisha. Huku jumla ya watu 160 wakijeruhiwa, badhi wamesharuhusiwa na kurudi majumbani kwao, na wengine 6 hali zao zikiwa ni mbaya. Nyuma na shule vilivyohalibika, tangazo hilo limesema vina thamani ya faranga za Rwanda milioni 150.
Hahahaa, kwahiyo hataki tena kuvamia DRC kwa kificho, anataka aenda wazi wazi sasa
 
Hizo ni stray bullets na motar au zilikuwa zimelengwa kwa makusudi kwenye ardhi ya Rwanda.
Inavosemekana. Kwa waandishi wa habari waliofika zilipokuwa silaha zilizokuwa zikimimina risasi na makombola, na kwa taarifa za nyaraka zinazoonesha mpango wa DRC kuivamia Rwanda, ni kwamba haikuwa bahati mbaya, walikusudia(FARDC,Wazalengo, FDLR,SADC na Burundi)
 
Kutokana na vita vinavyoendelea mashariki mwa DRC,tarehe 26 na 27 January 2025, watu 5 nchini Rwanda walipoteza maisha kutokana na risasi na makombola yaliyotua nchini Rwanda, mjini Rubavu unaopakana na Goma, na kusababisha vifo vya watu 5 nyumba na majengo ya shule vikiharibika.

Kwenye mkutano wa maraisi wa nchi za Afrika mashariki, raisi wa Rwanda Paul Kagame, aliahidi kutolifumbia macho jambo hilo, na kwamba atajibu mapigo, akisema hilo bado linafuatiliwa.
Tangazo la serikali leo tarehe tatu, baada ya tathmini ya maafa yaliyotokana na mabomu hayo, limebainisha kuwa mpaka sasa , watu 15 ndo wamepoteza maisha. Huku jumla ya watu 160 wakijeruhiwa, badhi wamesharuhusiwa na kurudi majumbani kwao, na wengine 6 hali zao zikiwa ni mbaya. Nyuma na shule vilivyohalibika, tangazo hilo limesema vina thamani ya faranga za Rwanda milioni 150.
Aonje utamu wa vita ndani ya ardhi yake
 
Kutokana na vita vinavyoendelea mashariki mwa DRC,tarehe 26 na 27 January 2025, watu 5 nchini Rwanda walipoteza maisha kutokana na risasi na makombola yaliyotua nchini Rwanda, mjini Rubavu unaopakana na Goma, na kusababisha vifo vya watu 5 nyumba na majengo ya shule vikiharibika.

Kwenye mkutano wa maraisi wa nchi za Afrika mashariki, raisi wa Rwanda Paul Kagame, aliahidi kutolifumbia macho jambo hilo, na kwamba atajibu mapigo, akisema hilo bado linafuatiliwa.
Tangazo la serikali leo tarehe tatu, baada ya tathmini ya maafa yaliyotokana na mabomu hayo, limebainisha kuwa mpaka sasa , watu 15 ndo wamepoteza maisha. Huku jumla ya watu 160 wakijeruhiwa, badhi wamesharuhusiwa na kurudi majumbani kwao, na wengine 6 hali zao zikiwa ni mbaya. Nyuma na shule vilivyohalibika, tangazo hilo limesema vina thamani ya faranga za Rwanda milioni 150.
Hawa ndo mnawaita sijui waiziraeli my ass🤣🤣🤣🤣

Nilistaajabu kusikia wanamfumo wa makombora unaitwa IRON DOME🤣🤣🤣🤣🤣hawa watu wanashida sana.
 
Kutokana na vita vinavyoendelea mashariki mwa DRC,tarehe 26 na 27 January 2025, watu 5 nchini Rwanda walipoteza maisha kutokana na risasi na makombola yaliyotua nchini Rwanda, mjini Rubavu unaopakana na Goma, na kusababisha vifo vya watu 5 nyumba na majengo ya shule vikiharibika.

Kwenye mkutano wa maraisi wa nchi za Afrika mashariki, raisi wa Rwanda Paul Kagame, aliahidi kutolifumbia macho jambo hilo, na kwamba atajibu mapigo, akisema hilo bado linafuatiliwa.
Tangazo la serikali leo tarehe tatu, baada ya tathmini ya maafa yaliyotokana na mabomu hayo, limebainisha kuwa mpaka sasa , watu 15 ndo wamepoteza maisha. Huku jumla ya watu 160 wakijeruhiwa, badhi wamesharuhusiwa na kurudi majumbani kwao, na wengine 6 hali zao zikiwa ni mbaya. Nyuma na shule vilivyohalibika, tangazo hilo limesema vina thamani ya faranga za Rwanda milioni 150.
Uvamizi wa Rwanda/M23 huko Goma umesababisha raia wa Drc wapatao 700 kupoteza maisha.

Uhalifu wa kivita huu


Yoda
 
Facts about DRC conflict:

One, there are almost 8 million people in Kivu. 5 million are Bantu Congolese, 3 million are Hutu Refugees and 70,000 are Tutsi Congolese, or Nyamlenges.

Second, there are almost 7000 Tutsi Soldiers in FARDC, loyal to the government of Kinshasa which is fighting against M23. So this is beyond mere ethnic tension.

Third, many FDLR members were recruited by RPA under General Kayumba Nyamwasa and were integrated within the Rwandese Armed Forces. So General Kagame is lying when saying FDLR are Génocidaires hellbent of slaughtering Tutsis.

This conflict is not about FARDC against Nyamlenges, or RPA against FDLR, it's about Greed, Power and Control of Congolese wealth which is critical to the coming industrial revolution.

Tsishikedi is being propped up by the Chinese who want to get mineral concessions, while Kagame is being propped up by US, Israel and the UK. In the next few years, things will get pretty bad for both Rwanda and DRC.​
 
Back
Top Bottom