Rwanda: Vifo vilivyotokana na makombola kutoka DRC vyaongezeka

Rwanda: Vifo vilivyotokana na makombola kutoka DRC vyaongezeka

Regardless, many of them became Tanganyikans after independence. As of now, it's futile to distinguish some Nyamwezi and Sukuma from Tutsi. Nyerere made sure Tanzania becomes one massive ethnic cocktail.​
Not nyerere, tanganyika was already a massive ethnic cocktail,with that 125 tribes
 
Wewe ni mbishi tu halafu unajipa likes unajipamba na ID zako nyingine.

Hujui chochote kuhusu Wasumbwa nimekuuliza kuhusu lugha ya Kisumbwa na Kinyamwezi ni moja?!

Umeshindwa kunijibu umebakia kurukaruka huku na kule.

Hujui chochote zaidi ya copy and paste kwenye hiyo issue ya Kabila la Wasumbwa.

Abhasumbwa tuimanye kubhusere...👈hichi ni Kinyamwezi?!
Sasa wewe,unaweza sema wazaram wa bagamoyo,kibaha na mkuranga na kisarawe hawaongei lugha moja!?..wewe ni mwehu
 
SADC sio wajinga waivamie Rwanda japo wanajua chanzo Cha mgogoro ni Rwanda
SADC doesn't need even have to send conventional forces to DRC, all they have to do is,

First, recognize the FDLR as an international political organization that protects inalienable rights of Hutus who are persecuted by Kagame's regime.

Second, you train and arm them to the teeth. Currently, there are 3 million Hutu refugees in Kivu and all over DRC. Owing to the animosity they bear against Kagame's regime, they'll be a fine recruitment ground for anti-Kagame forces.

Thirdly, in terms of logistics M23 and RPA cannot reach Kinshasa without using the routes of Angola and Zambia. During the First Congo War of 1997, Rwandese Forces reached Kinshasa because President Chiluba allowed Kagame and Kabila a free passage.

If FDLR is armed, it means it can freely operate and establish bases all over SADC zone including Zambia, Angola and Tanzania, which would mean M23 will be clobbered from three directions.

General Kagame is using a proxy, which gives him a plausible deniability. The best way is to launch a scathing war of attrition which would make sure a huge chunk of Kivu is ungovernable, and kill as many M23 as possible sending them back to Rwanda in body bags.

If bodies of Rwandese children pile up en masse then Kagame will be compelled reconsider his policies on DRC. The same way it was done in 2013-2014. MUNISCO gutted out the M23, by killing as many as they can forcing Kagame to reconsider.

No talk, bludgeoning force only.​
 
Sasa wewe,unaweza sema wazaram wa bagamoyo,kibaha na mkuranga na kisarawe hawaongei lugha moja!?..wewe ni mwehu
Kwenye hili la Wasumbwa nimekuvua suruwali kwahiyo tafadhali chutama ficha aibu yako.
 
Not nyerere, tanganyika was already a massive ethnic cocktail,with that 125 tribes
With an ethnic cocktail, I meant the Social Engineering pioneered by Nyerere. Despite everything wrong with CCM, Tanzania has managed to be a cohesive society for more than 60 years. Just imagine an Arab Mullato from the Isles of Zanzibar is our President, and nobody cares much.

In Tanzania, there are Hutus and Tutsi, yet they don't behave like Leprechauns of Burundi and Rwanda who bathe in diabolical chauvinism. The Nyarubanja Tenure (Enfranchisement) Act of 1965 played a pivotal role abolishing Feudalism in West parts of Tanzania.​
 

Attachments

  • Screenshot_2025-02-04-13-19-28-059.jpg
    Screenshot_2025-02-04-13-19-28-059.jpg
    196.1 KB · Views: 2
Ukifatilia kwa karibu, utagundua ukabila ni kisingizio tu. Pale kuna ubavu wa watu wazito,wasiotaka kuonekana, wanaojikinga kwenye ukuta wa watu furani, wao wasionekane, ila ndo wanakoleza moto kwa masrahi yao. Kuanzia watu binafsi, makampuni na mataifa.​

Mfano hai: siku za nyuma ulisikia Umoja wa Ulaya ukitaka kuipa serikali ya Rwanda,msaada wa Euro milioni 22. Msaada huu, ulikuwa tu kwa ajili ya jeshi lililopo Mozambique. Badhi ya nchi zikagoma usitolewe, badhi zikasisitiza utolewe. Ikasemekana: Uingeleza ilikuwa na dili lake la wakimbizi haramu, ilitakiwa inyenyekee. Ufaransa, wana mradi wa Gesi huko, na jeshi la Rwanda ndo linalousimamia. Raisi wa ufaransa huyo huyo, ndo anaesimama mbele za umati wa watu na kudai Rwanda iondoe majeshi yake. Apple, kampuni ya mmarekani. Sasa hivi yeye na raisi ni pete na kidole. MAdini ya Congo, ndo hayo hayo yanayomuingizia. Je,afunge kiwanda? Raisi huyo unadhani ana undugu na mwafrika? Kila aliyepo kule, yupo kimasrahi tu.
Rwandese Forces went to Cabo Delgado to run errands for French Multinational Corporations which have vested interests in Mozambique energy reserves. It was smart for Tanzania not to be heavily involved in a mercantile war.​
 
Haha.. Wikipedia ndio source yako mimi wasumbwa ni wajomba na ninaongea lugha ya kisumbwa.
Umeona wikipedia tu!?..tuambie wewe bukombe,geita ambayo zamani ilikua mkoa wa mwanza,wanaongea lugha gani!?
 
Umeona wikipedia tu!?..tuambie wewe bukombe,geita ambayo zamani ilikua mkoa wa mwanza,wanaongea lugha gani!?
Somehow unaonekana kama umechanganyikiwa au unataka kunuchanganya mimi😂

Mbona zile ID zako nyingine unajifanya smart na mwenye kuelewa mambo lakini hii unakuwa kama waluwalu fulani hivi?
 
Wewe ni mbishi tu halafu unajipa likes unajipamba na ID zako nyingine.

Hujui chochote kuhusu Wasumbwa nimekuuliza kuhusu lugha ya Kisumbwa na Kinyamwezi ni moja?!

Umeshindwa kunijibu umebakia kurukaruka huku na kule.

Hujui chochote zaidi ya copy and paste kwenye hiyo issue ya Kabila la Wasumbwa.

Abhasumbwa tuimanye kubhusere...👈hichi ni Kinyamwezi?!
Abazinza twemanye, tulibache!...
 
Somehow unaonekana kama umechanganyikiwa au unataka kunuchanganya mimi😂

Mbona zile ID zako nyingine unajifanya smart na mwenye kuelewa mambo lakini hii unakuwa kama waluwalu fulani hivi?
Uchanganyikiwe na nini!?..wakati upo kwenu Rwanda,geita(ambako kuna wasumbwa) ilikua wilaya ndani ya mkoa wa mwanza,ndani ya mkoa wa mwanza wakati huo lugha ilikua moja tu,kisukuma(kinyamwezi) isipokua huko ilikokua ikipakana na mara
 
Uchanganyikiwe na nini!?..wakati upo kwenu Rwanda,geita(ambako kuna wasumbwa) ilikua wilaya ndani ya mkoa wa mwanza,ndani ya mkoa wa mwanza wakati huo lugha ilikua moja tu,kisukuma(kinyamwezi) isipokua huko ilikokua ikipakana na mara
🙌 😆 Swali nimekuuliza hutaki kunijibu nimekuvua suruali kama unabusara chutama.
 
Back
Top Bottom