Kwa mara ya ngapi?Sasa mnamtaka Kagame atest mitambo sio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mara ya ngapi?Sasa mnamtaka Kagame atest mitambo sio?
Si nilikwambia vyuma vilitua Rwanda,ukadai stray bullet, mortar sijui makalio ganiHizo ni stray bullets na motar au zilikuwa zimelengwa kwa makusudi kwenye ardhi ya Rwanda.
Fido dido.. umenikumbusha mbali sana🤣Kwanini wasimtungue huyo Fidodido Kagame.
Kwasababu wewe uko huko unaweza ukawa unajua zaidi mimi ni Mtanzania mchangiaji wa JF.Si nilikwambia vyuma vilitua Rwanda,ukadai stray bullet, mortar sijui makalio gani
Vita vya mtandaoni raha sana. Kwa hiyo mtu anapigana vita, yeye anauwa kwake hawafi?Si nilikwambia vyuma vilitua Rwanda,ukadai stray bullet, mortar sijui makalio gani
Hii naikumbuka 1991Fido dido.. umenikumbusha mbali sana🤣
View attachment 3223873
Palestina wanawake na watoto ndio walikuwa wanatajwa sana kuuwawa na lsrael vipi congo katika hao 700 wanawake na watoto mbona hawatajwi au sio ndugu zetu kiimani nini? Na ile free Palestina siioni kwa wenzetu wacongo yaani hata wale jamaa wa middle east kimya kama aliwausu ila likija la kwao sisi weusi huku kulupu chupi mkononi na dera kulaani utafikiri shangingi limeibiwa buzi linavyo umia. Sisi tumelogwa sio bure. Mungu awasaidie na kuwa pambania wacongo man naumia sana wanavyo umia uku dunia ikiwa kimya na matamko ya hapa na pale bila hatua stahiki kuwaokoa.. Free congo
Nyamwezi People - History, Social, Culture, Demographics & MoreKwasababu wewe uko huko unaweza ukawa unajua zaidi mimi ni Mtanzania mchangiaji wa JF.
Next time usinifunze kuhusu Makabila ya Tanzania.
Nyamwezi People - History, Social, Culture, Demographics & More
Kula chuma hicho kuhusu wanyamwezi,wasumbwa ni wanyamwezi,unabishia hadi nyaraka za serikali,kunguni kweli
Ndiyo,na wapo wengi tu tabora,unamuona kagoma wa simba,ana damu ya kitusi, tabora nina ndugu wengi akina kagoma,watusiSo Tutsis were servants of the Nyamwezi. Dadekiii, 🤣🤣
Ndiyo,na wapo wengi tu tabora,unamuona kagoma wa simba,ana damu ya kitusi, tabora nina ndugu wengi akina kagoma,watusi
Ukiwa tabora watutsi wengi tu,wanafuga na kufanya kazi serikalini,hawali kuku wala mayaiI usually tell Tanzanians, Tutsis were an integral part of pre-colonial Tanzania. Some of them were subjects of Nyamwezi Confederacy, some Buha Empire and Some Bunyoro Kitara.
Ignorance is so cancerous.
Ukiwa tabora watutsi wengi tu,wanafuga na kufanya kazi serikalini,hawali kuku wala mayai
Siyo watanganyika bali walikua wakitoka kwao kwenda kufanya ushamba boy taboraSasa hii gibberish ya The Master Race huwa inatoka wapi, wakati ni mijitu ya hapahapa Tanganyika tu ?
Facts about DRC conflict:
One, there are almost 8 million people in Kivu. 5 million are Bantu Congolese, 3 million are Hutu Refugees and 70,000 are Tutsi Congolese, or Nyamlenges.
Wewe ni mbishi tu halafu unajipa likes unajipamba na ID zako nyingine.Kula chuma hicho kuhusu wanyamwezi,wasumbwa ni wanyamwezi,unabishia hadi nyaraka za serikali,kunguni
SADC sio wajinga waivamie Rwanda japo wanajua chanzo Cha mgogoro ni RwandaInavosemekana. Kwa waandishi wa habari waliofika zilipokuwa silaha zilizokuwa zikimimina risasi na makombola, na kwa taarifa za nyaraka zinazoonesha mpango wa DRC kuivamia Rwanda, ni kwamba haikuwa bahati mbaya, walikusudia(FARDC,Wazalengo, FDLR,SADC na Burundi)
Siyo watanganyika bali walikua wakitoka kwao kwenda kufanya ushamba boy tabora
Ukifatilia kwa karibu, utagundua ukabila ni kisingizio tu. Pale kuna ubavu wa watu wazito,wasiotaka kuonekana, wanaojikinga kwenye ukuta wa watu furani, wao wasionekane, ila ndo wanakoleza moto kwa masrahi yao. Kuanzia watu binafsi, makampuni na mataifa.Regardless, many of them became Tanganyikans after independence. As of now, it's futile to distinguish some Nyamwezi and Sukuma from Tutsi. Nyerere made sure Tanzania becomes one massive ethnic cocktail.