inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Not nyerere, tanganyika was already a massive ethnic cocktail,with that 125 tribesRegardless, many of them became Tanganyikans after independence. As of now, it's futile to distinguish some Nyamwezi and Sukuma from Tutsi. Nyerere made sure Tanzania becomes one massive ethnic cocktail.
Sasa wewe,unaweza sema wazaram wa bagamoyo,kibaha na mkuranga na kisarawe hawaongei lugha moja!?..wewe ni mwehuWewe ni mbishi tu halafu unajipa likes unajipamba na ID zako nyingine.
Hujui chochote kuhusu Wasumbwa nimekuuliza kuhusu lugha ya Kisumbwa na Kinyamwezi ni moja?!
Umeshindwa kunijibu umebakia kurukaruka huku na kule.
Hujui chochote zaidi ya copy and paste kwenye hiyo issue ya Kabila la Wasumbwa.
Abhasumbwa tuimanye kubhusere...๐hichi ni Kinyamwezi?!
SADC doesn't need even have to send conventional forces to DRC, all they have to do is,SADC sio wajinga waivamie Rwanda japo wanajua chanzo Cha mgogoro ni Rwanda
Kwenye hili la Wasumbwa nimekuvua suruwali kwahiyo tafadhali chutama ficha aibu yako.Sasa wewe,unaweza sema wazaram wa bagamoyo,kibaha na mkuranga na kisarawe hawaongei lugha moja!?..wewe ni mwehu
Leonel Ateba
Wasumbwa hawana majina bhudodi,bhugumba,bhudotela?..salam yao ikoje na ni watu wa eneo gani?Kwenye hili la Wasumbwa nimekuvua suruwali kwahiyo tafadhali chutama ficha aibu yako.
Unakosea bro๐Leonel Ateba
Not nyerere, tanganyika was already a massive ethnic cocktail,with that 125 tribes
NakuongezeaKwenye hili la Wasumbwa nimekuvua suruwali kwahiyo tafadhali chutama ficha aibu yako.
Ukifatilia kwa karibu, utagundua ukabila ni kisingizio tu. Pale kuna ubavu wa watu wazito,wasiotaka kuonekana, wanaojikinga kwenye ukuta wa watu furani, wao wasionekane, ila ndo wanakoleza moto kwa masrahi yao. Kuanzia watu binafsi, makampuni na mataifa.
Mfano hai: siku za nyuma ulisikia Umoja wa Ulaya ukitaka kuipa serikali ya Rwanda,msaada wa Euro milioni 22. Msaada huu, ulikuwa tu kwa ajili ya jeshi lililopo Mozambique. Badhi ya nchi zikagoma usitolewe, badhi zikasisitiza utolewe. Ikasemekana: Uingeleza ilikuwa na dili lake la wakimbizi haramu, ilitakiwa inyenyekee. Ufaransa, wana mradi wa Gesi huko, na jeshi la Rwanda ndo linalousimamia. Raisi wa ufaransa huyo huyo, ndo anaesimama mbele za umati wa watu na kudai Rwanda iondoe majeshi yake. Apple, kampuni ya mmarekani. Sasa hivi yeye na raisi ni pete na kidole. MAdini ya Congo, ndo hayo hayo yanayomuingizia. Je,afunge kiwanda? Raisi huyo unadhani ana undugu na mwafrika? Kila aliyepo kule, yupo kimasrahi tu.
Haha.. Wikipedia ndio source yako mimi wasumbwa ni wajomba na ninaongea lugha ya kisumbwa.Nakuongezea
Umeona wikipedia tu!?..tuambie wewe bukombe,geita ambayo zamani ilikua mkoa wa mwanza,wanaongea lugha gani!?Haha.. Wikipedia ndio source yako mimi wasumbwa ni wajomba na ninaongea lugha ya kisumbwa.
Somehow unaonekana kama umechanganyikiwa au unataka kunuchanganya mimi๐Umeona wikipedia tu!?..tuambie wewe bukombe,geita ambayo zamani ilikua mkoa wa mwanza,wanaongea lugha gani!?
Abazinza twemanye, tulibache!...Wewe ni mbishi tu halafu unajipa likes unajipamba na ID zako nyingine.
Hujui chochote kuhusu Wasumbwa nimekuuliza kuhusu lugha ya Kisumbwa na Kinyamwezi ni moja?!
Umeshindwa kunijibu umebakia kurukaruka huku na kule.
Hujui chochote zaidi ya copy and paste kwenye hiyo issue ya Kabila la Wasumbwa.
Abhasumbwa tuimanye kubhusere...๐hichi ni Kinyamwezi?!
Uchanganyikiwe na nini!?..wakati upo kwenu Rwanda,geita(ambako kuna wasumbwa) ilikua wilaya ndani ya mkoa wa mwanza,ndani ya mkoa wa mwanza wakati huo lugha ilikua moja tu,kisukuma(kinyamwezi) isipokua huko ilikokua ikipakana na maraSomehow unaonekana kama umechanganyikiwa au unataka kunuchanganya mimi๐
Mbona zile ID zako nyingine unajifanya smart na mwenye kuelewa mambo lakini hii unakuwa kama waluwalu fulani hivi?
๐ ๐ Swali nimekuuliza hutaki kunijibu nimekuvua suruali kama unabusara chutama.Uchanganyikiwe na nini!?..wakati upo kwenu Rwanda,geita(ambako kuna wasumbwa) ilikua wilaya ndani ya mkoa wa mwanza,ndani ya mkoa wa mwanza wakati huo lugha ilikua moja tu,kisukuma(kinyamwezi) isipokua huko ilikokua ikipakana na mara
Hebu nisalimie kisumbwa๐ ๐
Wanazo mkuuCongo inabidi wapewe drone kupambana na hii vita
Wanashindwaje kuwaangamiza hawa M23?Wanazo mkuuView attachment 3225034