Msonjo
JF-Expert Member
- Oct 13, 2019
- 1,356
- 2,342
تعلمت العربي من وين يا موكيتي؟[emoji23]Hahaha [emoji23] ngoja nipambane kuitranslate kuwa kingereza , maana hakuna kwa English ipo kiarabu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
تعلمت العربي من وين يا موكيتي؟[emoji23]Hahaha [emoji23] ngoja nipambane kuitranslate kuwa kingereza , maana hakuna kwa English ipo kiarabu tu
Usipaniki , relax na u debate , ila usiige uongo was ndugu zako Kwa katika imaniKama hukuelewa maana usitafute elimu hapa.Kasome mwenyewe huko nje halafu uje hapa kujadilliana.
Hili suala halikubaliki, kisheria na kiakili.Kama ni kweli kwamba haya mambo ya vipaaza sauti yameanza huko Asia mwaka 1930 then hili si jambo la kiimani, ni jambo la kiteknolojia and hence tufikirii nje ya box; je miaka hi karne ya 21 bado tunalazimika kuwaamsha watu ambao sio IMANI yetu? Kuna simu za mkononi, zina alarms, kwanini tusitumie hizo? Najua Waislamu hawatumii sana sana instead wanaangalia zaidi jua so kila baada ya miezi mitatu jua linabadirisha style ya kuchomoza na kuzama, haiwezekani kwa mfano miezi 3 ya mwanzoni mwa mwaka tukatangaziana misikitini kwamba kipindi hiki muda sala ni saa fulani then uka set muda kwenye simu zetu? Tubadirike
Omanتعلمت العربي من وين يا موكيتي؟[emoji23]
Hivi Kumbe huwa unatralslate mwenyewe kutoka kiarabu kuja kingereza, huwa unatumia google au unajua kiarabu?Usipaniki , relax na u debate , ila usiige uongo was ndugu zako Kwa katika imani
Omani imefanya nini jibu swali, kama umeelewa Kumbe ndio maana unatuvurugia dini yetu.Oman
Peleka Google hizi halafu uje kudanganya watu hapa.Usipaniki , relax na u debate , ila usiige uongo was ndugu zako Kwa katika imani
Mostly natumia translation za waislamu wenyewe ila nyingi wanadanganya Sana , mfano vitabu vingi vya tafsir kwenye English wameondoa maneno mengi mno ,Hivi Kumbe huwa unatralslate mwenyewe kutoka kiarabu kuja kingereza, huwa unatumia google au unajua kiarabu?
Naona nimeshajua tatizo linapoanzia.
لذلك تقلب معاني النصوص، يا موكيتي كدا ما كويس
الكلام دا ما منطقي!!!
Kuna vya kuigaSafi sana Rwanda tuige
Kama hajaelewa wewe ndie hauelewi umeuliza nini?Omani imefanya nini jibu swali, kama umeelewa Kumbe ndio maana unatuvurugia dini yetu.
Yaani unatafsiri hadithi kwa google!!!
و الله كسرت معانا
Hapana,usimkasikie mwenzio,mwache tumpe Elimu bado ana tongo za macho..Kama hukuelewa maana usitafute elimu hapa.Kasome mwenyewe huko nje halafu uje hapa kujadilliana.
Kwahiyo umetumia google kutafsiri?Kama hajaelewa wewe ndie hauelewi umeuliza nini?
Tumwachie sasa huyo Allah afanye kazi kuliko kufanya vitendo vya jinai vya kigaidi.
Kuonyesha msisitizo kuwa google haijui inachokifanya.Hahaha [emoji23] ngoja nipambane kuitranslate kuwa kingereza , maana hakuna kwa English ipo kiarabu tu
Lipi sasa lisilokubalika? Marufuku ya Kagame au pendekezo langu!?Hili suala halikubaliki, kisheria na kiakili.
Ukija swala la Mungu kwa wakristo elewa kwanza wakristo Mungu wao yupoje , unavyo andika nakuona mjinga flaniHapana,usimkasikie mwenzio,mwache tumpe Elimu bado ana tongo za macho..
Bado anaamini kuwa Binaadamu aliekatwa govi siku nane baada ya kuzaliwa ni MUNGU
Bado anaamini binadamu aliewekwa msalabani akasulubiwa bila ya kujihami ni MUNGU
Bado anaamini mtu aliekuwa tumboni kwa mwanamke kwa miezi tisa ni MUNGU
Huyu jamaa kachanganyikiwa usimkasirikie,anahitaji elimu
Wewe acha kupoteza mda wakoKuonyesha msisitizo kuwa google haijui inachokifanya.
Hebu weka tafsiri yako ya kiswahili hapa, halafu tuone kama kweli huwa unajua kutafsiri au unaboronga tu.View attachment 2196944View attachment 2196945
Allah alijiuliza inakuwaje awe na mtotoHapana,usimkasikie mwenzio,mwache tumpe Elimu bado ana tongo za macho..
Bado anaamini kuwa Binaadamu aliekatwa govi siku nane baada ya kuzaliwa ni MUNGU
Bado anaamini binadamu aliewekwa msalabani akasulubiwa bila ya kujihami ni MUNGU
Bado anaamini mtu aliekuwa tumboni kwa mwanamke kwa miezi tisa ni MUNGU
Huyu jamaa kachanganyikiwa usimkasirikie,anahitaji elimu
Vyote maana vinapingana na sheria za kiislamu.Lipi sasa lisilokubalika? Marufuku ya Kagame au pendekezo langu!?
Nakushukuru kwa ushauri.Hapana,usimkasikie mwenzio,mwache tumpe Elimu bado ana tongo za macho..
Bado anaamini kuwa Binaadamu aliekatwa govi siku nane baada ya kuzaliwa ni MUNGU
Bado anaamini binadamu aliewekwa msalabani akasulubiwa bila ya kujihami ni MUNGU
Bado anaamini mtu aliekuwa tumboni kwa mwanamke kwa miezi tisa ni MUNGU
Huyu jamaa kachanganyikiwa usimkasirikie,anahitaji elimu