Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Can schedule the fight between you two, how 'bout that? #Che Mittoga vs Maulaga59
We sema tu about about.

Ungeanza kumwonya ndugu yako kwa kuanza kuongea maneno ya vitisho.

Utadhani kuna watu anawatawala.

Tumeona matukio mengi tu vikundi vya Kiislamu vinawakamata Wakristo na kuwalazimisha kusilimu au kuwachinja.

Tukio la mwaka 2015 la Chuo Kikuu cha Garissa Kenya magaidi wa Kiislamu waliwatenga Wanafunzi wa Kikristo na kuwaua, na kuwaacha Wakiislamu. Baadhi ya Magaidi hao walikuwa ni Watanzania.

ISIS, Al-qaida, Bokoharam nao wanafanya sana matukio kama hayo na kuna Watanzania.

Tunajua chuki kali isiyo na huruma hata chembe, iliyomo ktk baadhi ya Waislamu dhidi ya Ukristo na Wakristo.

Chukua matukio ya kuchomwa shule za Kikristo na Makanisa hapa kwetu TZ na Tindikari za Zanzibar.

Chukua Magaidi waliofichwa ktk jamii za Kiislamu za Mkuranga, Kilwa na Rufiji, na kufanya uhalifu mkubwa. Wakiwemo Watanzania.

Tukio la Kulipua Ubarozi wa Marekani hapa nchini lili ratibiwa na Mtanzania pia wa Dini hiyo hiyo ya Religion of Peace.

Hasira za kuchoma mabucha ya Nguruwe.
Vurugu za Mbagala nk.

Mnayakumbuka maneno ya chuki na kuhamasisha vurugu ya viongozi wenu Mashehe wa Uamsho.

Sikumbushi vurugu ila mjue kumbukukumbu zinahifadhiwa na kuchukuliwa kwa tahadhari kubwa.

Wakristo tungekuwa dhaifu hatunge baki salama leo. Ama tungesilimishwa kwa nguvu au kuchinjwa na Waislamu wanaojifanya wana Siasa kali.

Madhira yaliyo wakuta Waislamu wa Afrika ya Kati kwa Anti Baraka na wale wa India kwa Wahindu, ni shauri ya chokochoko kama hizi na vitisho vya kizembe kama anachofanya huyu Mujahidina.

Mwisho wali ishia kulia lia na kuomba huruma na kukimbilia kwa hao hao walio wafanyia fujo.

Jinga kabisa.
 
Mwanzo ulikuja kwa kasi na shazi la maneno.Sasa naona umebanwa na umeishiwa,
Sijabanwa chochote, Mokiti ameniwekea qoute ya Yohanne..ndio nikamjibu kuwa mimi sijui chochote kumhusu Yohana
 
Unathibisha Umar na yeye alikuwa anapewa Koran na Allah,
ujinga wako bado ni mkubwa kuhusu Allah s.w. Nadhani unamfananisha na miungu yenu isiyokuwa na uwezo wa chochote. Qur'an ilishushwa kwa Mtume Muhammad s.a,w na maneno yote ni yake mwenyewe.Hata Mtume s.a.w hakuweza kuongeza neno.Jibril alikuwa yuko makini kuisikiliza kila baada ya kuteremshwa.Ingekuwa kuna maneno ya Umar r.a basi angetaja jina lake humo na kusifia ushujaa wake.Na kama ni maneno ya Muhammad s.a.w basu angeingiza majina ya mama na babu zake lakini badala yake akataja na kusifia majina ya mama yake Yesu a.s na mke wa Firauni.
Maneno aliyotamka Ummar r.a na yakawemo kwenye Qur'an itakuwa alitamkishwa na Mwenyezi Mungu kwa hekima anazojuwa mwenyewe S.W. Nani alieyekufundisha kulia na kutafuta ziwa la mama ulipozaliwa.Jee una uchaguzi katika hayo.
 
Ndio uislamu ni dini ya hekma, lakini hukmu zake huwa haziendeshwi kwa rai namna hiyo.

Ulichosema ambacho wanafanya baadhi ya waadhini/mashekhe sio sahihi, maana wanazidisha, pia walivyofanya Rwanda nacho sio sahihi maana wamekataza kabisa.

Kinachatakiwa ni kati na kati

Kama kuna palipo zaidi, basi papunguzwe, lakini sio kukataza kabisa, kufanya hivyo lengo litakuwa halifikiwi.
Adhana ya kutumia visa sauti sio sahihi,hii technologia ni ya hivi karibuni

Mtume Muhammad angelikuwa anaishi na sisi katika karne hii basi sifikirii kama angelitumia Vipaza sauti kwa Adhana hasa ya Asubuhi ..

Misikiti mingine huwa na Vipaza sauti venye kiwango kikubwa sana (db) ya kupiga kelele kiasi ambacho kijiji kizima kinaamka..

Wako wanaofikiri kuwa kila kelele zikizidi ndio wanapata dhawabu nyingi,😂..

Mtume aliwahi kuwaambia wafuasi wake kuwa wanaposali wasali kimya kimya, wapokwenda kwenye Nchi isiyokuwa ya kiislamu wasali kimya kimya,..hiyo ndio busara ya dini yetu

kumbuka kuwa Tanzania sio Nchi ya Kiislam..Waislam tunatakiwa tuwaheshimu wengine wasiokuwa Waislam

Serikali ilete sheria yakutotumia vipaza sauti kwenye miskiti...Ameen
 
We sema tu about about.

Ungeanza kumwonya ndugu yako kwa kuanza kuongea maneno ya vitisho.

Utadhani kuna watu anawatawala.

Tumeona matukio mengi tu vikundi vya Kiislamu vinawakamata Wakristo na kuwalazimisha kusilimu au kuwachinja.

Tukio la mwaka 2015 la Chuo Kikuu cha Garissa Kenya magaidi wa Kiislamu waliwatenga Wanafunzi wa Kikristo na kuwaua, na kuwaacha Wakiislamu. Baadhi ya Magaidi hao walikuwa ni Watanzania.

ISIS, Al-qaida, Bokoharam nao wanafanya sana matukio kama hayo na kuna Watanzania.

Tunajua chuki kali isiyo na huruma hata chembe, iliyomo ktk baadhi ya Waislamu dhidi ya Ukristo na Wakristo.

Chukua matukio ya kuchomwa shule za Kikristo na Makanisa hapa kwetu TZ na Tindikari za Zanzibar.

Chukua Magaidi waliofichwa ktk jamii za Kiislamu za Mkuranga, Kilwa na Rufiji, na kufanya uhalifu mkubwa. Wakiwemo Watanzania.

Tukio la Kulipua Ubarozi wa Marekani hapa nchini lili ratibiwa na Mtanzania pia wa Dini hiyo hiyo ya Religion of Peace.

Hasira za kuchoma mabucha ya Nguruwe.
Vurugu za Mbagala nk.

Mnayakumbuka maneno ya chuki na kuhamasisha vurugu ya viongozi wenu Mashehe wa Uamsho.

Sikumbushi vurugu ila mjue kumbukukumbu zinahifadhiwa na kuchukuliwa kwa tahadhari kubwa.

Wakristo tungekuwa dhaifu hatunge baki salama leo. Ama tungesilimishwa kwa nguvu au kuchinjwa na Waislamu wanaojifanya wana Siasa kali.

Madhira yaliyo wakuta Waislamu wa Afrika ya Kati kwa Anti Baraka na wale wa India kwa Wahindu, ni shauri ya chokochoko kama hizi na vitisho vya kizembe kama anachofanya huyu Mujahidina.

Mwisho wali ishia kulia lia na kuomba huruma na kukimbilia kwa hao hao walio wafanyia fujo.

Jinga kabisa.
Hizo porojo na michezo ya kuigiza ya Marekani imepitwa na wakati.Watu wote duniani sasa wanajuwa kuwa hizo taasisi na habari zao ni uzushi mkubwa.Ndio utaona baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu sasa kule Iraq wamejitambua na kuwa maadui namba moja wa Marekani.Hali ni hiyo hiyo Afghanistan na Pakistan.Hawadanganyiki tena.Na sisi huku kwetu vile vile hatudanganyiki na hadithi za Alshabaab na ISIS.
 
Maneno aliyotamka Ummar r.a na yakawemo kwenye Qur'an itakuwa alitamkishwa na Mwenyezi Mungu kwa hekima anazojuwa mwenyewe S.W. Nani alieyekufundisha kulia na kutafuta ziwa la mama ulipozaliwa.Jee una uchaguzi katika hayo.
Mbona maneno mengi alafu point ile ile , Umar kama amepata inspiration kutoka kwa Allah unathibitisha na yeye ni mtume
Kwa hiyo mna mitume wawili Umar na Muhammad,
 
Samahani iwapo hayo maneno yalikuja kwako kimakosa.Wewe muda wote nakupongeza kwa kazi nzuri ya kumbana huyo Mokiti.
Unamsifia mtu muongo, anajitetea kwa kucheza mchezo wa dhaif na Sahih, ila chamoto amekipata
 
Mbona maneno mengi alafu point ile ile , Umar kama amepata inspiration kutoka kwa Allah unathibitisha na yeye ni mtume
Kwa hiyo mna mitume wawili Umar na Muhammad,
Tumia akili yako vizuri utaona hiyo point yangu.Wewe ni kafiri muovu lakini bado ni kiumbe cha Mwenyezi Mungu unaishi kwa mipango yake.Unaweza ukapanga jambo na likawa kama hivyo kwa sababu Allah amekusikia na akakubalia hata kama hutaki kumshukuru. Iwapo mtu muovu kama wewe inakuwa hivyo.Kipi kinakushangaza kwa swahaba muaminifu kama Ummar r.a kutamkishwa maneno na Mwenyezi Mungu halafu ikawa ni aya katika Qur'an. Ukiondoa maneno machache hayo ya Ummar unajuwa Qur'an ina maneno mangapi ambayo huyo Sayyidna Ummar aliyosoma kwa uaminifu muda wote wa maisha yake na yawezekana hakupata maana yake kamili na hakuwez kubadili neno hata moja na pia hakuweza kuchagua cha kusoma na kuacha kusoma kwa kuwa hajui maana yake,
 
Mtunzi wa adhana ni Umar , Allah ka copy kutoka kwake, sio adhana tu Umar ana verse kazitunga kwenye Koran
Kaka kasome uzuri uufahamu Uislam,Quran na Omar Wapi na Wapi,Adhana na Omar wapi wapi..

Mtu wa mwanzo kuadhini alikuwa sahaba Bilal,huyu alikuwa mtu mweusi(Muafrika)kutokana na uzuri wa Sauti yake Mtume Muhammad alimchagua kufanya hivyo

Bilal vile vile aliongeza baadhi ya verse kama vile "Asalat hairun minal naour" maana yake ni "Sala ni bora kuliko usingizi"..

Dini ya Kiislam ni dini bora,haina ubaguzi,sio kama dini ya Paulo, Masaint wote ni watu Weupe..

So,Wakumlaumu sio Omar mlaumu Bilal..😎
 
Tumia akili yako vizuri utaona hiyo point yangu.Wewe ni kafiri muovu lakini bado ni kiumbe cha Mwenyezi Mungu unaishi kwa mipango yake.Unaweza ukapanga jambo na likawa kama hivyo kwa sababu Allah amekusikia na akakubalia hata kama hutaki kumshukuru. Iwapo mtu muovu kama wewe inakuwa hivyo.Kipi kinakushangaza kwa swahaba muaminifu kama Ummar r.a kutamkishwa maneno na Mwenyezi Mungu halafu ikawa ni aya katika Qur'an. Ukiondoa maneno machache hayo ya Ummar unajuwa Qur'an ina maneno mangapi ambayo huyo Sayyidna Ummar aliyosoma kwa uaminifu muda wote wa maisha yake na yawezekana hakupata maana yake kamili na hakuwez kubadili neno hata moja na pia hakuweza kuchagua cha kusoma na kuacha kusoma kwa kuwa hajui maana yake,
Kazi yangu ilikuwa kuthibitisha Koran inameneno kutoka kwa Umar , walikuja ndugu zako wakabisha sana ila mwisho wa siku wote mmekubali kwamba koran inamaneno kutoka kwa Umar tena verse za muhimu sana leo hii wanawake wanava hijab sababu ya Umar , mnasali kuelekea jiwe sababu umar,
nimeshamaliza kazi
 
Kaka kasome uzuri uufahamu Uislam,Quran na Omar Wapi na Wapi,Adhana na Omar wapi wapi..

Mtu wa mwanzo kuadhini alikuwa sahaba Bilal,huyu alikuwa mtu mweusi(Muafrika)kutokana na uzuri wa Sauti yake Mtume Muhammad alimchagua kufanya hivyo

Bilal vile vile aliongeza baadhi ya verse kama vile "Asalat hairun minal naour" maana yake ni "Sala ni bora kuliko usingizi"..

Dini ya Kiislam ni dini bora,haina ubaguzi,sio kama dini ya Paulo, Masaint wote ni watu Weupe..

So,Wakumlaumu sio Omar mlaumu Bilal..😎
Bilal alipewa kazi ya kuita maana alikuwa mtumwa, na kazi ilikuwa kuamka asubuhi sana
Hadith
"When the Muslims arrived in AI-Madinah, they used to assemble for the Salat, and guess the time for it there was no one who called for it (the prayer). One day they discussed that and some of them said that they should use a bell like the bell the Christians use. Others said they should use a trumpet like the horn the Jews use. But Umar [bin Al-Khattab] said: 'Wouldn't it better if we had a man call for the prayer?'" He said: "So Muhammad said: 'O Bilal! Stand up and call for the Salat.'" Jami` at-Tirmidhi 190
 
Bilal alipewa kazi ya kuita maana alikuwa mtumwa, na kazi ilikuwa kuamka asubuhi sana
Hadith
"When the Muslims arrived in AI-Madinah, they used to assemble for the Salat, and guess the time for it there was no one who called for it (the prayer). One day they discussed that and some of them said that they should use a bell like the bell the Christians use. Others said they should use a trumpet like the horn the Jews use. But Umar [bin Al-Khattab] said: 'Wouldn't it better if we had a man call for the prayer?'" He said: "So Muhammad said: 'O Bilal! Stand up and call for the Salat.'" Jami` at-Tirmidhi 190
Mtut anayepewa jukumu la kuwaita watu wakubwa anakuwa amepewa cheo kikubwa kwa sababu watukufu wote wataitikia wito wake.Kwa maana hiyo kazi aliyopewa Bilal ilikuwa ni jukumu kubwa zaidi kuliko Utumwa.Zaidi ni kuwa Muda huo Bilal alipokuwa akiadhini alikuwa si mtumwa tena.Alikuwa ni mtu huru na alipewa heshima kubwa na waarabu wote wa Makkah.
 
Mtut anayepewa jukumu la kuwaita watu wakubwa anakuwa amepewa cheo kikubwa kwa sababu watukufu wote wataitikia wito wake.Kwa maana hiyo kazi aliyopewa Bilal ilikuwa ni jukumu kubwa zaidi kuliko Utumwa.Zaidi ni kuwa Muda huo Bilal alipokuwa akiadhini alikuwa si mtumwa tena.Alikuwa ni mtu huru na alipewa heshima kubwa na waarabu wote wa Makkah.
Bilal alikuwa mtumwa mpaka mwisho kwa muhammad , na alilia kabisa apewe uhuru na akanyimwa
 
Kazi yangu ilikuwa kuthibitisha Koran inameneno kutoka kwa Umar , walikuja ndugu zako wakabisha sana ila mwisho wa siku wote mmekubali kwamba koran inamaneno kutoka kwa Umar tena verse za muhimu sana leo hii wanawake wanava hijab sababu ya Umar , mnasali kuelekea jiwe sababu umar,
nimeshamaliza kazi
Umethibitisha kitu gani hapo.Sisi siku zote tukisoma asbabu nnuzuul za aya za Qur'an tunafundishana hivyo hivyo kuwa kuna aya katika Qur'an kuna maneno aliyotamka Ummar r.a lakini hatujasema kuwa ni maneno yake au aliyoyaingiza yeye katika Qur'an.Ni maneno ya Mwenyezi Mungu aliyoteremshiwa Muhammad s.a.w na yakawa kama yale aliyotamka Ummar r.a.
 
Umethibitisha kitu gani hapo.Sisi siku zote tukisoma asbabu nnuzuul za aya za Qur'an tunafundishana hivyo hivyo kuwa kuna aya katika Qur'an kuna maneno aliyotamka Ummar r.a lakini hatujasema kuwa ni maneno yake au aliyoyaingiza yeye katika Qur'an.Ni maneno ya Mwenyezi Mungu aliyoteremshiwa Muhammad s.a.w na yakawa kama yale aliyotamka Ummar r.a.
Ami says "Ummar r.a kutamkishwa maneno na Mwenyezi Mungu halafu ikawa ni aya katika Qur'an."

Unataka kubadili maneno Yako tuchukua Aya mapya tuache yale ya Umar kushushiwa Koran na Allah?
 
Tumia akili yako vizuri utaona hiyo point yangu.Wewe ni kafiri muovu lakini bado ni kiumbe cha Mwenyezi Mungu unaishi kwa mipango yake.Unaweza ukapanga jambo na likawa kama hivyo kwa sababu Allah amekusikia na akakubalia hata kama hutaki kumshukuru. Iwapo mtu muovu kama wewe inakuwa hivyo.Kipi kinakushangaza kwa swahaba muaminifu kama Ummar r.a kutamkishwa maneno na Mwenyezi Mungu halafu ikawa ni aya katika Qur'an. Ukiondoa maneno machache hayo ya Ummar unajuwa Qur'an ina maneno mangapi ambayo huyo Sayyidna Ummar aliyosoma kwa uaminifu muda wote wa maisha yake na yawezekana hakupata maana yake kamili na hakuwez kubadili neno hata moja na pia hakuweza kuchagua cha kusoma na kuacha kusoma kwa kuwa hajui maana yake,
Hapa umesema Umar alishushiwa verse azitamke , unabadili mawazo au
 
Back
Top Bottom