Muhammad sio mpinga Ukristo,Katika Quran Yesu katajwa mara 25,Muislam anatakiwa kumsalia Yesu aka Isa kila anapotajwa..
Kwanza hamma dini inayoitwa Ukristo,Yesu hakuhubiri Ukristo wala hajawahi kusema kuwa anachokihubiri ni Ukristo..
Mpinga Ukristo ni Paulo aliekuleteeni hii dini,Yeye ndie aliebadilisha aliyokuwa akiyahubiri Yesu na kukuleteeni hii dini mnayoabudu sasa
Kagame yuko sawa lazima uwe na cheti cha mafunzo ya dini ndio uanze kusalisha misikitini na Makanisani ili kuepuka watu kama nyinyi
Misoji my beloved wife grab my weed and let me try to enlight this Dude.
In nutshell. Biblia haifundishi uwezo wa Mungu tu bali kwa kiasi Fulan inaeleza uwezo wa Shetan pia.
Ikiwa ujui kuwa shetani ni mjanja(cunning) kuliko binadamu wote basi upo katika hatari kubwa.
Yesu anamuita Shetan baba wa uwongo, yaan uwongo wake si levo ya dunia hii na Yohana alipofunuliwa Uwezo wa Shetan Alishangaa kuona Shetan anauwezo wa kujigeuza na kuwa malaika wa Nuru.
Yaan anaweza kuja kwako na kukupa elimu ya kimbingu na kukuagiza ufanye yapaswayo kufanywa na wacha Mungu ila katika huo ukweli anaokufundisha katika 100% kuna 2/1 ya uwongo mkubwa ataingiza.
Leo shetani anabudiwa ndani ya nyumba za ibada waabudu wakijua kuwa wanamubudu Mungu halisi.
Kuna watu wamekaza shingo zao kuangalia Vikundi kama Freemaso, illuminat skul and bones wakiamini Shetan anaabudiwa uko,ndiyo:, wanaabudu Shetan ila hivyo Vikundi vipo kwa minajili ya kushika attention za watu wasidig dip tu.
Shetani si mpumbavu afungue vituo vya kuabudiwa. hata mashirika kama Mosad hawawezi fanya ujinga kama huo wa kwenda Iran na kufungua kituo na kukiita Mossad hall.
Sasa ni hivi, ile ile roho iliyokuwa ikiwatumia akina Anas na Kayafa na Wayaudi wengine ndiyo ilikuja kumuibua Muhammad baada ya karne kadhaa.
Dai la Yesu si Mungu halikuanzishwa na Muhammad lilikuwepo lipo na litakwenda ku takeover soon.
Alichokifanya yule bwana(baba wa uwongo) ni kuja kwa njia ya dini na imani ili ashike watu, na kashika kweli kweli.
Roho hiyo kwa wakati fulan fulan uko nyuma ilikuwa ikijaribu kujifunua hata ndani ya Makanisa ya hawali ila ilikutana na upinzani mkubwa wa Mitume.. So yule bwana akaona isiwe shida, akasubiri hali ipoee kwa karne kadhaa ndiyo akamuibua MUD.
Na uko unakokuita kutajwa kwa Yesu ndani ya Qur'an ni uwongo, anaetajwa ndani ya Qur'an ni Imposter.
Yesu Alisema wengi watakuja kwa jina lake ili wapotoshe, ikiwa hoja ni kutajwa tu hata uko uhindini kuna dini wanadai Yesu ni mtume wao baada ya harakati zake uko mashariki ya kati alienda uko india akafia uko na kaburi lake lipo hadi leo.
Sasa dishi likiwa bovu utapotea.