Kichaa ni wewe ambaye huelewi mada inahusu nini?South Africa na hata India kuna squatters nyingi huenda kuliko hata Dar!Una kichaa wewe umeambiwa zaidi ya asilimia 70 ya dar haijapimwa !
Niambie ni mji gani South Africa wenye wastan wa kutopimwa kwa asilimia 70. Unaongea pumba tu.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Umekaaa kwa Dada yako unasubiri anapigwe mashine ndio uleKichaa ni wewe ambaye huelewi mada inahusu nini?
haya ni mawazo ya kizamani, hivi unajua Qatar ina ukubwa gani!? ukubwa wa nchi sio kigezo cha kuendelea...brain na vision ya viongozi tuRwanda ni nchi ndogo sana kama mkoa mmoja tu wa Tanzania Bara. Ukumbuke hilo unapozilinganisha hizi nchi mbili.
kwamba wewe ni genius kiasi hicho....Rwanda inajenga kinu haijui itapata malighafi wapi!?Inajenga kinu kwa ajili ya niashati siyo ulinzi kama mleta mada alivyomaanisha. Lkn bado mchango wa mawazo yako ni mazuri na muhimu sana kutupa tahadhari. Ni hivi, ili aingize Urani toka nje atalazimika kutumia bandari ambayo hana, Tz itambana tu, bandari ya Kenya ni ya Wachina kwa miaka 50 ijayo kama zilivyo Lusaka Terminal 2 na mgodi wa shaba, Tz na China ni marafiki wa kihistoria. Civil flights zote za Rwanda na Burundi zinaongozwa na Rada za Tz tulizonunua 2019. Urani yake kama ni ya kutishia Tz itapitia wapi?
Post uliyojibu, maudhui yake siyo pa kupata malighafi BALI NAMNA YA KUINGIZA MALIGHAFI, rejea kusoma upya uone. Kwenye sekta ya mawasiliano leo duniani msisitizo uko kwenye maudhui/content ya mawasiliano, ukikosea hapo umechanja mbuga mkuu, mikono ya chuma ya TCRA na Mamlaka zingine husika inakuhusu.kwamba wewe ni genius kiasi hicho....Rwanda inajenga kinu haijui itapata malighafi wapi!?
Nyukria...sasa hata kuandika nyuklia hujui..utatuambia niniNi lazima viongozi wote wabadilishe namna ya kufikiri, haiwezekanu miaka 60 ya uhuru serikali imekazana kujenga madarasa tu na vyama vya siasa vimejikita kwenye kusaka ruzuku.
Mfano CHADEMA badala ya kuja na sera mbadala za maendeleo wao wanachangishana hela za kuwapa familia za makomandoo.
Wenzetu Rwanda wanajenga kinu cha Nyukria kwa ajili ya kuzalisha umeme sisi tunakazana na majenereta.
RIP Julius Kambarage Nyerere
Muhimu umeelewa meku!Nyukria...sasa hata kuandika nyuklia hujui..utatuambia nini
Kidumu chama cha mapinduzi bwashee 👍Ni lazima viongozi wote wabadilishe namna ya kufikiri, haiwezekanu miaka 60 ya uhuru serikali imekazana kujenga madarasa tu na vyama vya siasa vimejikita kwenye kusaka ruzuku.
Mfano CHADEMA badala ya kuja na sera mbadala za maendeleo wao wanachangishana hela za kuwapa familia za makomandoo.
Wenzetu Rwanda wanajenga kinu cha Nyukria kwa ajili ya kuzalisha umeme sisi tunakazana na majenereta.
RIP Julius Kambarage Nyerere
Uranium itatoka Kongo na Jamhuri ya Afrika ya Kati. Kule tayari Rwanda imekita mizizi ipasavyo. So far Rwanda ndani ya Ardhi ya Tz ni muda tuu utaongea kwamba aje achukue nini. Zama zile ilisikika kwamba Rwanda ni miongoni mwa nchi duniani zinazoongoza kuuza madini ya Tanzanite. Nikasema twafaaaaaaaaaWakijenga kinu wataimport madini ya Urani toka Tunduru Tz, kwahiyo bado ngoma droo mkuu. Rwanda haina Urani inajenga kinu, Tz tuna Urani hatuna kinu.
Uswisi ni Ulaya mkuu, Tanzania ni afrika. Uswisi hawasumbuliwi na wakimbizi kama Tanzania.
Tanzania ni kubwa kuliko Ujerumani au Uingereza kwa mantiki hiyo unataka kutuambia kwamba rais wa Tanzania anamzidi Chancellor wa Ujerumani au waziri mkuu wa Uingereza.Mkoa wa Tanga ni mkubwa kuliko Rwanda. Kwa maana nyingine Mkuu wa Mkoa wa Tanga Adam Malima ni level ya president wa Rwanda
Ni kweli mkuu...Hilo tunapaswa kuliangalia kama tishio kwa nchi yetu hasa kwa mikoa iliyopo mpakani na Rwanda na mikoa ya Nyanda ya Ziwa. Uwezo wa Rwanda kutunza kinu cha nyuklia ni mdogo mno na hasa kutokana na hali ya usalama na uhasama wa kikabila uliopo nchini humo. Anaweza akatokea mwehu mmoja akalipua hiko kinu na madhara yakafika kwetu. Rejea madhara kama hayo kule Chernobyl. Huu mji mpaka leo haukaliki na mamilioni walipoteza maisha.Security threats:
Leo yuko Kagame...nguvu zake ni kubwa sana....hatoishi MILELE....itafikia siku watapata viongozi dhaifu....
Ndipo hapo balaa litakapotokea....
Hakika mkuu wangu 😍Ni kweli mkuu...Hilo tunapaswa kuliangalia kama tishio kwa nchi yetu hasa kwa mikoa iliyopo mpakani na Rwanda na mikoa ya Nyanda ya Ziwa. Uwezo wa Rwanda kutunza kinu cha nyuklia ni mdogo mno na hasa kutokana na hali ya usalama na uhasama wa kikabila uliopo nchini humo. Anaweza akatokea mwehu mmoja akalipua hiko kinu na madhara yakafika kwetu. Rejea madhara kama hayo kule Chernobyl. Huu mji mpaka leo haukaliki na mamilioni walipoteza maisha.
MFANO WAKO KWA CHADEMA NI MZURI SAANA, JE WA CCM VIPI, KUNGANGANIA KIMBIZA MWENGE NA SLOGAN ZA MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA !!!!!!!!!!!!!!!!!!! WAKATI NI KINYUME CHAKE? ACHANENI NA MIZIKI YA MDUARA ( TARABU NYINGIII) HATUTAFIKA JAMAA ZANGU. 60YRS BADO TUNANGANGANIA TARABU NA MDUARA TUUU. HOVYO KWELINi lazima viongozi wote wabadilishe namna ya kufikiri, haiwezekanu miaka 60 ya uhuru serikali imekazana kujenga madarasa tu na vyama vya siasa vimejikita kwenye kusaka ruzuku.
Mfano CHADEMA badala ya kuja na sera mbadala za maendeleo wao wanachangishana hela za kuwapa familia za makomandoo.
Wenzetu Rwanda wanajenga kinu cha Nyukria kwa ajili ya kuzalisha umeme sisi tunakazana na majenereta.
RIP Julius Kambarage Nyerere
Mpe muda Mama anamwaga mapesa huko mikoani ili miradi ifanikiwe. Uwe na akili chanya lakini ili upunguze mzigo wa lawama ulio nao kichwani mwako.Utetezi dhaifu sana, wakimbizi wana minimal impact kwenye nchi yetu.