Frankly Speaking Rwanda haiwezi kuizidi Tanzania kitu chochote ni hofu na uelewa mdogo...
Maendeleo ya Viwanda Ulaya yalianzia Uiengereza baade mataifa Jirani yalivoona maendeleo ya Uingereza yawatisha wakaanza nao mwisho wa siku wakawa sawa.
Huko East Asia, China, Korea (Josean wakati huo), pamoja na Japan zilikuwa na Sera ya kutoingiliana na mataifa ya magharibi, Japan akawa wa Kwanza kujifunza kwa watu wa magharibi wakaanza kuzivamia China na Korea na Mataifa mengi ya Pacific... lakini Wachina na Wakorea hawakuridhika wakaanza nao kuwa kama mataifa ya Magharibi
Leo Japan, China na Korea hawatishani.
Kwa Afrika Mashariki Tanzania itabaki na kuendelea kuwa taifa kubwa na lenye nguvu..
Miaka 5 iliyopita Kenya Airways, Rwanda Air ways ndio yalikuwa mashirika Maarufu ukanda huu lakini leo tunavoongea ATCL inatakribani ndege 16 ambazo ni nusu ya KQ (40).
2013, Kenya, Uganda na Rwanda waliaamua kuunzisha umoja wao ili kujenga SGR leo tunavoongea ni Tanzania na Kenya ndio tumeweza kuanza na Tena Tanzania tumejengwa way more better than anyone.
Ikija kwenye Kutumia Urani, Only Tanzania na Kenya ndio wanaweza kuanza haraka na ndani ya muda mfupi, Rwanda is too overrated
NOTE: Hakuna Taifa dhaifu linazongukwa na Taifa lenye nguvu.