joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Utabaki kupiga kelele kama kuku jike, kila mnachoshindwa mnatoa sababu za kijinga, kwani wakati mnatiliana mikataba na Total hayo yote hamkuyajua?, uwezo wako wa kufikiria ni mdogo sana.Hehehehe hili tulilijadili vya kutosha sina haja ya kulirudia, Total kuichagua Tanzania haikua kwa ajili ya uzembe wetu kama ilivyo kwa ukanda wote huo kutumia Kenya kwa ajili ya uzembe wenu. Total wana hela zao na uwezo wa kugharamia kila wakitakacho kwamba hawategemei uvivu wenu, sasa kwa kifupi terrain iliipa Tanzania favour na vitu vingine kama aina ya fukwe na bahari, mambo ya kisayansi hayo, nyie Waswahili hamkuchangia chochote zaidi ya makelele.
Tatizo mpaka leo hii bado mnazindua, ingekua Kenya leo hii tungekua kwenye stage nyingine, yaani pamoja na Total kuwa tayari na kila kitu lakini bado mnapiga mipicha ya kuzindua.
Lakini kule ukanda wote wa DRC, Burundi, Rwanda n.k. nchi ambazo mumepakana nazo zote na zipo mbali nasi lakini tunawapa ushindani kwa kwenda mbele. Subiri tumpe Museveni reli pale Malaba halafu pia tuwape ushindani kwa kuiteka kabisa soko ya Tanzania Kaskazini.
Lazima tutatafuna minofu yenu, nimesema mara kadhaa sisi hatuna undugu na nyie, hatuna hata urafiki lakini tumeunganishwa kwenye kiuno, lazima tutumie hiyo fursa kupiga mihela.
Sababu kubwa iliyotolewa na Total ni sababu za security, ukabila wenu umesababisha koo mbalimbali na wafugaji kule kaskazini kupigana mara kwa mara, ujinga wenu ukawafanya mjipeleke kwenye vita msivyoviweza, matokeo yake alshaabab wanawavua chupi.
Sababu ya pili iliyotolewa na Total ni kwamba Bandari ya Lamu haukiwa imejengwa, ingechukua muda mrefu kusubiria hadi ikamilike wakati Bandari ya Tanga tayari inafanya kazi.
Sababu ya tatu ni kutokuwepo kwa miundombinu iliyo tayari huko Northern Kenya, kama barabara, umeme, viwanja vya ndege, maji na mahitaji muhimu ukilinganisha na Northen part of Tanzania, hizo unazozitaja wewe umezitoa wapi?.
Nchi inaporomoka na kufilisika kwa sababu ya ujinga wenu wa kujitetea kila mnaposhindwa, hamtaki kukubali kwamba uwezo wenu wa akili ni mdogo sana, hamna mnachoweza kufanya, na mkikifanya mnaishia kujenga na kununua gari moshi za zamani zisizofaa kwa matumizi ya dunia ya sasa tena kwa bei kubwa bila maelezo yoyote, bado mnatetea serikali kwasababu inaongozwa na Kikuyu, hovyo kabisa ninyi.