Wala hatuna haja ya kusubiru miaka 5, Kenya ni pressure cooker. Uga ukipanda bei kidogi tu mtalipuka. Takwimu za Tanzania sioni dalili ya kushuka zitapanda mpaka mkome. Na hivi tunaongeza kina cha badari na kufufua zingine, ni mema tu yalio mbele yatu.
Mnatanua nini...mambo yanawaendea fyongo nyie baada ya kuangaliaa mnarekebishaje mnakuja bishana na watoto wa magu hakyamungu mtakoma hii miaka kumi ya magu tutaona vingi ..Mumesubiri miaka hamsini tangu uhuru, bado tupo na tunaendelea kutanua.
Hivi ukiweka nchi zote za kibepari duniani, sijuwi South Korea, Japan Australia, western Europe, Canada etc. Kenya mnajilinganishaje na hao wenzenu? Kwanini nchi kama Malaysia au Singapore wametumia ubepari wao wakafika wanakotaka kufika lakini Kenya bado inashindana na Tanzania na Ethiopia tena iko hatarini kuachwa.Mumesubiri miaka hamsini tangu uhuru, bado tupo na tunaendelea kutanua.
Hivi ukiweka nchi zote za kibepari duniani, sijuwi South Korea, Japan Australia, western Europe, Canada etc. Kenya mnajilinganishaje na hao wenzenu? Kwanini nchi kama Malaysia au Singapore wametumia ubepari wao wakafika wanakotaka kufika lakini Kenya bado inashindana na Tanzania na Ethiopia tena iko hatarini kuachwa.
Vipi MK254 yale mahindi ya msaada kutuliza njaa Kenya yashawasili Mombasa? Hapa ni kupiga hela tu (kwa sauti ya MK254)Kaka hata muwape vitu vya bure kama mlivyozoea kuwapa Wachina na wengineo, mwisho wa siku takwimu ndio zinatafsiri ukweli wa ngoma.
Juzi hapa bandari yetu imeongeza traffic by 12% baada ya kuboresha ufanisi kwenye handling capacity. Kitu kingewasaidia ambacho mlisubiria kwa hamu ni kama Kenya ingelipuka kwenye uchaguzi, lakini tulivuka poa, msubirie miaka ingine mitano ya kichapo.
Subiri SGR itulie, tunakwenda kumsaidia Mganda apate hela kutoka kwa Mchina.
naona muzungu mweusi katika ubora wako!!!eti wabepari.....Hayo ya kuita mara equal partner mara ndugu mara swahiba ndio hulka yenu, sisi ni wabepari tunapiga hela hatujui huo upuzi. Tunapiga mahesabu ya mulaa, mbeca, money.... Mambo ya undugu peleka kijijini lakini mjini ni mkao wa kukwapua.
Kenya ukilinganisha na majirani zetu sote, sisi ndio nchi tajiri.
Ethiopia wale wapo RAIA zaidi ya milioni mia moja, hivyo tukiingia kwenye per capita hawana lolote mbele yetu, pamoja na kwamba nchi yao kubwa utadhani bara lingine.
Ila wao nafuu kidogo sio mivivu kama nyie.
Sasa ukiaondoa hao Ethiopia, nyie wengine wote mliotuzunguka bado mnatajwa kwa nchi maskini was kutupwa. Hata DRC ambao nao wana liinchi likubwa zaidi yenu, lakini mnatajwa nyote kwenye kundi moja.
Sisi ubepari wetu ndio umetuwezesha kufika halo tulipo, kwamba ukilinganisha na maitaifa yote ya ukanda huu
Kenya ndio muwekezaji mkubwa Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC, Sudan n.k.
Leo hii tungekua hata mbali zaidi tatizo tumezungukwa na mivivu hivyo yanatuchelewesha, inatubidi muda mwingi kupunguza kasi ili kuendana nyie, lakini tungezungukwa na mataifa kama Malaysia, Singapore aisei ligi yetu ingekua mbali.
Hii Africa bora wangeweka pamoja nchi za wachapa kazi kama Ghana, Botswana, Kenya, Rwanda n.k.
Halafu mivivu kama Tanzania na wenzake wasindikwe kwenye kundi moja, lakini sasa hilo haliwezekani, inabidi kuwavumilia, tumeunganishwa na nyie kwenye kiuno hivyo tunaishia kuwaburuza kote tuendako.
Vipi MK254 yale mahindi ya msaada kutuliza njaa Kenya yashawasili Mombasa? Hapa ni kupiga hela tu (kwa sauti ya MK254)
hehehe,wah utafanya wajinyie maana jamaaa wana mawazo taka kweliKenya ukilinganisha na majirani zetu sote, sisi ndio nchi tajiri.
Ethiopia wale wapo raia zaidi ya milioni mia moja, hivyo tukiingia kwenye per capita hawana lolote mbele yetu, pamoja na kwamba nchi yao kubwa utadhani bara lingine.
Ila wao nafuu kidogo sio mivivu kama nyie.
Sasa ukiaondoa hao Ethiopia, nyie wengine wote mliotuzunguka bado mnatajwa kwa nchi maskini was kutupwa. Hata DRC ambao nao wana liinchi likubwa zaidi yenu, lakini mnatajwa nyote kwenye kundi moja.
Sisi ubepari wetu ndio umetuwezesha kufika hapo tulipo, kwamba ukilinganisha na maitaifa yote ya ukanda huu
Kenya ndio muwekezaji mkubwa Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC, Sudan n.k.
Leo hii tungekua hata mbali zaidi tatizo tumezungukwa na mivivu hivyo yanatuchelewesha, inatubidi muda mwingi kupunguza kasi ili kuendana nyie, lakini tungezungukwa na mataifa kama Malaysia, Singapore aisei ligi yetu ingekua mbali.
Hii Africa bora wangeweka pamoja nchi za wachapa kazi kama Ghana, Botswana, Kenya, Rwanda n.k.
Halafu mivivu kama Tanzania na wenzake wasindikwe kwenye kundi moja, lakini sasa hilo haliwezekani, inabidi kuwavumilia, tumeunganishwa na nyie kwenye kiuno hivyo tunaishia kuwaburuza kote tuendako.
Umeongea pumba nyingi bila maana yoyote, ni jambo la ajabu sana kwa nchi kama Kenya kujita ya kibepari halafu ina uchumi wa $70 billion tuu. Angalau sisi tumepitia zama za kila aina zenye majaribu lukuki. Huku vita na Uganda, kule ukombozi wa kusini mwa Afrika, mara sera za East-West. Kenya mtatoa sababu gani kuhalalisha uchumi wenu kuwa chini ya $100 billion? Kwanini hamko sawa au zaidi ya Afrika kusini? nchi iliyokuwa haina marafiki hapa Afrika (zaidi ya Kenya) huku wana vikwazo vya uchumu?
Bado unaruka ruka hutaki kusema ukweli. Nimekupa nafasi ujieleze sababu kwanini Kenya ipo ilipo sasa na sio mbali zaidi lakini naona unaogopa kusema ukweli.Sababu nimetoa tosha kwamba tulizungukwa na wavivu, lakini pia kuna kipindi tumepitia kigumu chini ya CCM ooops! Nimegusa jina ambalo likitajwa huwa unahisi kulia, ndio tumepitia wakati mgumu chini ya chama kilichotunyanyasa kama CCM inavyofanya Tanzania miaka yote.
Lakini cha msingi, ukanda wote huu sisi ndio tunangoza kwa kila kitu, kielimu, kijeshi, kiafya, kiuchumi yaani orodha ndefu, hayo ni matunda ya uchapa kazi pamoja na kwamba kainchi ketu kadogo na zaidi ya nusu yake kame tupu. Nyie liinchi lote hilo, kwanza nchi mbili zilizounganishwa kiusanii, mna kila kitu lakini mivivu wa kutupwa, umaskini balaa na ushirikina wa kuwatafuna albino.
Hapo awali ningewaelewa maana mlijitetea kwamba mlicheleweshwa na kiherehere chenu cha kuingilia ugomvi wa nchi za Kusini, na pia ujamaa uliowalemaza kiakili, lakini leo hii hamna chochote kimewakwamisha zaidi ya uvivu tu.
Endelea kuota ndoto za mchana, zaidi ya umasikini, rushwa, ukabila, unemployment na sifa za kijinga, hamuifikii Tanzania kwa lolote, mtabaki na mawazo yenu ya kizamani wakati tunaongoza kwa kasi ya kukua kwa uchumi katika ukanda huu, tunahospitali nyingi na bora kuliko ninyi, wakenya wanajazana kuja kutibiwa Ocean road Hospital, KCMC, na Hospital ya Moyo ya Jakaya Kikwete, tumejenga barabara za lami nyingi na ndefu zaidi yenu, tumesambaza maji kwa wananchi wengi zaidi yenu, ninyi hata Nairobi haina maji, tumeunganisha umeme kwa wananchi wengi zaidi yenu, hatuna njas kama ninyi. Sema kitu gani cha maana Kenya imeizidi Tanzania?Sababu nimetoa tosha kwamba tulizungukwa na wavivu, lakini pia kuna kipindi tumepitia kigumu chini ya CCM ooops! Nimegusa jina ambalo likitajwa huwa unahisi kulia, ndio tumepitia wakati mgumu chini ya chama kilichotunyanyasa kama CCM inavyofanya Tanzania miaka yote.
Lakini cha msingi, ukanda wote huu sisi ndio tunangoza kwa kila kitu, kielimu, kijeshi, kiafya, kiuchumi yaani orodha ndefu, hayo ni matunda ya uchapa kazi pamoja na kwamba kainchi ketu kadogo na zaidi ya nusu yake kame tupu. Nyie liinchi lote hilo, kwanza nchi mbili zilizounganishwa kiusanii, mna kila kitu lakini mivivu wa kutupwa, umaskini balaa na ushirikina wa kuwatafuna albino.
Hapo awali ningewaelewa maana mlijitetea kwamba mlicheleweshwa na kiherehere chenu cha kuingilia ugomvi wa nchi za Kusini, na pia ujamaa uliowalemaza kiakili, lakini leo hii hamna chochote kimewakwamisha zaidi ya uvivu tu.
Hayo ya kuita mara equal partner mara ndugu mara swahiba ndio hulka yenu, sisi ni wabepari tunapiga hela hatujui huo upuzi. Tunapiga mahesabu ya mulaa, mbeca, money.... Mambo ya undugu peleka kijijini lakini mjini ni mkao wa kukwapua.
Bado unaruka ruka hutaki kusema ukweli. Nimekupa nafasi ujieleze sababu kwanini Kenya ipo ilipo sasa na sio mbali zaidi lakini naona unaogopa kusema ukweli.
Ngoja nikupe ukweli, usitafute mchawi mara sijuwi majirani zetu wavivu, mara tungekuwa karibu na Ghana Nigeria tumgekuwa mbali. Hizo ni sababu za uwongo. Tatizo la Kenya haliko mbali na Kenya liko halo hapo Kenya tena kwenye ofisi kuu ya nchi. Rais wenu wa kwanza ndio aliwauza kwa kujilimbikizia mali peke yake na familia yake na marafiki zake, bila kusahau kabila lake. Kenya ni nchi yenye rasilimali asili kidogo sana kulinganisha na nchi zingine za Afrika, mtaji mkubwa ulikuwa ni rasilimali watu. Lakini hakuna alikubaku kuwaendeleza watu watakao kuja kudai mali ya nchi kitu ambacho kitapunguza utajiri wa bwana Fulani.
Angalia Gavana wa Mombasa anavyo lalamika kazi za Mombasa zinahamishwa kwenda Naivasha kwa akina bwana Fulani.
Fear over loss of jobs as SGR takes on cargo
Wewe unaona Kenya imefikia uchimi wa $70 billion unachekela. Bila hata majirani zenu kuwa imara, mgekuwa mbali kama wanachi wote mngeshirikisha kwa kutoa haki sawa kwa kila raia. Tatizo muda umewapa kisogo, nchi zingine zimesha amka. SGR iliyotakiwa kujengwa Kenya tokea 1980s wakati uchumi ulikuwa mzuri, mnajenga leo tena iko hatarini kuwa tembo mweupe maana soko linahama.
Wateja wagani hebu weka takwimu.Tatizo ni kuonekana ujenzi au tatizo ni wateja hawaji Kenya kama ilivyokuwa zamani?
Umemalizia vizuri na tuta-ona vingi.Mnatanua nini...mambo yanawaendea fyongo nyie baada ya kuangaliaa mnarekebishaje mnakuja bishana na watoto wa magu hakyamungu mtakoma hii miaka kumi ya magu tutaona vingi ..
Tanzania: VAT Removal Pushes Transit Cargo 35% UpWateja wagani hebu weka takwimu.