Rwanda yaipa Gaza msaada wa chakula, dawa na vifaa vya matibabu

Rwanda yaipa Gaza msaada wa chakula, dawa na vifaa vya matibabu

Hata kule Syria kulitokea vita miaka kadhaa nyuma wananchi wakawa wanatimkia kwa wala kitimoto Germany, wakairuka Turkey kwa waarab wenzao.


usikute wenzako walitamani kutest mdudu analadha gani. maana wanaskiaga mara oooh yakukuanga tamu mara rosti wakaona wakajionee wenyewe.
 
lengo lake tumeshalijua. Atatangaza kuwapokea kwake na kuwapa makazi Kama misri, lebanona na Jordan wamewakataa.
 
Tunasubiri na misaada ya watanzania iwafikie.

Tanzania nchi yenye idadi kubwa ya waislamu cha ajabu ishu ya palestina imekaliwa kimyaa, hakuna maandamano wala dua kuwaombea hawa ndugu zetu, Dunia inatuhadaa
 
lengo lake tumeshalijua. Atatangaza kuwapokea kwake na kuwapa makazi Kama misri, lebanona na Jordan wamewakataa.

Ile ardhi hatoki mtu, kitaeleweka mpaka mwisho, na mtakuja kuona hao ndugu zenu mayahudi wakiangamia.

Ninyi wengi wenu mnawachukia sana waarabu, na uislamu kwa ujumla, lakini pamoja na hayo mnajisumbua tuu,
 
Arabs wa Gaza wana enjoy misaada katika maisha yao hawapendi kufanya kazi.. wavivu mno wala haitaisha hii tabia ndio maana hawapendwi na nchi za kiislam pia wanatabia za udokozi udokozi
Huu ujinga umeutoa wapi????
Wapalestina wana akili na teknolojia ambayo hata Watanzania hatuna.
Hata hizo silaha wanazotumia Hamas dhidi ya Israel wanaunda wenyewe ni local made.
Pia kama Gaza isingewekwa chini ya Israel ingekua mbali sana maana ina watu wachapakazi na wenye vipawa.
Ila Israel imewaekea blockade.
Pia acha uongo kuwa Palestines hawapendwi na waarabu wenzao.
 

Serikali ya Rwanda imetuma Tani 16 za msaada wa Vyakula, dawa za binadamu, vifaa vya matibabu kwa Watu wa Gaza Nchini Palestina kutokana na vita inayoendelea baina ya Israel na Kundi la Hamas.

Naibu Msemaji Mkuu wa Serikali ya Rwanda, Alain Mukuralinda amesema misaada hiyo imefikishwa kupitia Taasisi ya Jordan Hashemite Charity Organisation (JHCO) huku akisema “Rwanda inasisitiza haja ya kulinda maisha ya raia wasio na hatia.”

Licha ya kutoa msaada kwa watu wa Palestina, Rwanda ni miongoni mwa Nchi zenye uhusiano wa karibu na Israel ambapo Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu alitembelea Rwanda Mwaka 2016.

==============

Rwanda sends 16 tonnes of aid to Gaza

The government of Rwanda says it’s sent humanitarian assistance to the Palestinian people in Gaza.

In a brief written statement sent to BBC Great Lakes, the government’s deputy spokesman, Alain Mukuralinda, said the donation was sent to the Jordan Hashemite Charity Organisation (JHCO) and has arrived in the Jordanian capital, Amman.

It was made "in support to the ongoing international rescue effort", Mr Mukuralinda wrote.

The donation comprises 16 tonnes of food items, medicines and medical supplies, he said, adding "Rwanda reiterates the need for a de-escalation to protect the lives of innocent civilians".

Rwanda is one of the countries on the continent that has close ties with Israel. Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu visited the Rwanda in 2016.

Both countries share "haunting similarities to the genocide of our own people", Mr Netanyahu wrote in the visitor’s book after touring a memorial for the victims of Rwanda's 1994 genocide.

Over 800,000 people, mostly ethnic Tutsis, were massacred in 1994. Six million Jewish people were killed in the Holocaust during the Second World War.

Source: BBC
Heko Museveni, mzee wa vitendo.
 
Hata kule Syria kulitokea vita miaka kadhaa nyuma wananchi wakawa wanatimkia kwa wala kitimoto Germany, wakairuka Turkey kwa waarab wenzao.
Huu uongo umeutoa wapi??!!
KASKZAZINI MWA TURKEY KUNA MJI UNAITWA LITTLE SYRIA NENDA KAUFUATILIE.
Pia usisahau kuwa east europe raia wakw wengi wanaongoza kuhamia TURKIYE KUTAFUTA MAISHA
Greeks,Serbians,Macedonians,Croatianas,Armenians n.k wamejazana sana huko Turkiye wakiomba uraia hata wasanii wakubwa unaona wakituruki wengi wao sio waturuki halisi ni wahamiaji kutoka hayo mataifa.
 
Rwanda wanambinu ya kujitangaza kimataifa,Malawi walikumbwa na mafuriko sikuwaona kutuma hata mkungu wa ndizi
Na Tanzania ndio iliyoongoza kupeleka misaada Malawi na Congo pia ila Rwanda haikuonekana.
 
Arabs wa Gaza wana enjoy misaada katika maisha yao hawapendi kufanya kazi.. wavivu mno wala haitaisha hii tabia ndio maana hawapendwi na nchi za kiislam pia wanatabia za udokozi udokozi

Sio wapalestina Hao watakua wazayuni ambao hela nyingi za zawalipa kodi marekan wanatumia wao tena kwa starehe kila mwaka
 
Back
Top Bottom