Rwanda yaongoza kwa Watu wake kuishi Umri Mrefu kwa Nchi za Afrika Mashariki

Ni kweli kwa Tz wastaafu wengi hawatoboi 70
 
Lakini mtu anayeishi Ulaya leo anategemewa ataishi miaka 100. Kwa hiyo unasemaje? Japan huko life expectancy itafika 100 plus
Kuzidi na kupungua kupo
Kuna wengi tu hawafiki hata 50 au 40

Huo ndio wastani, hayo mategemeo ya 80 na 100 yapo pia
 
Muudy alikuwa mzee wa kukopi na kupesti!
Mtu ambaye alikua hajui kusoma wala kuandika atakopi wapi?
"Hasemi kwa matamanio yake, hayakuwa haya anayoyasema ila ni ufunuo kwake"

Yaani ni wahyi kutoka kwa mola wake na hicho ndio cheo chake

Sasa ukiona huwezi kukubali haya unapita tu haina haja ya kashfa wala matusi
 
Mimi nilitaka jinsi life expectancy at birth inavyopatikana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…