Rwanda yapitisha mpango kujenga Kinu cha Nyuklia!

Rwanda yapitisha mpango kujenga Kinu cha Nyuklia!

Si mlituaminisha umeme wa gesi unatosha hadi kusambaza nchi jirani hadi DRC ?? Mkaona haitoshi mnaenda rufiji

Kwanini hiyo opportunity cost msingepeleka kwenye bajeti ya maendeleo ya wizara ya kilimo na umwagiliaji ili wakulima wasitegemee mvua tu na watumie kilimo cha kisasa cha kuongeza tija??

Wanaposema maendeleo ya watu ndio maana hiyo yaani vitu ambavyo directly vina impact maisha ya mtu mmoja mmoja. Mfano msanii ukiweka usimamizi wa Intellectual property ni maendeleo ya MTU sababu directly inamgusa bila kusubiri spillover effects kma za hizo SGR cjui Bombardier!!

Kasome kuhusu inclusive economy ndio utaelewa hoja inasemaje
Ahaaaaa. Yaani JNHPP haina direct impact kwa mwanchi? Hivi leo umeme ushuke bei mfano unit moja iwe ni sh 100, nini kitatokea kwenye uchumi wetu?
 
Ahaaaaa. Yaani JNHPP haina direct impact kwa mwanchi? Hivi leo umeme ushuke bei mfano unit moja iwe ni sh 100, nini kitatokea kwenye uchumi wetu?
Unajua maana ya opportunity cost??
Huo mradi mpaka ukamilike gharama zake je zingetumika kwenye kilimo cha kisasa nchi nzima ipi ingeleta benefit zaidi tena ya direct??

Its not like umeme haupo tayari upo na bado gesi ipo then unaongeza na rufiji ilihali wakulima wana hali mbaya na vijana wapo kitaa hawana ajira huoni Kilimo kingetengeneza alternative channel ya ajira hasa cha kisasa maana kingepunguza risk??
 
Unajua maana ya opportunity cost??
Huo mradi mpaka ukamilike gharama zake je zingetumika kwenye kilimo cha kisasa nchi nzima ipi ingeleta benefit zaidi tena ya direct??

Its not like umeme haupo tayari upo na bado gesi ipo then unaongeza na rufiji ilihali wakulima wana hali mbaya na vijana wapo kitaa hawana ajira huoni Kilimo kingetengeneza alternative channel ya ajira hasa cha kisasa maana kingepunguza risk??
Hii nchi inajipanga ili iweze kufikia uchumi wa kati. Kwa hiyo umeme wa uhakika toka JNHPP ni suluhu kwa maufacturing industries na hata Sgr project ikikamilika.
Kwa hiyo usinitinitishe na opportunity cost. Huu umeme uliopo hautoshi kwa nchi ambayo inataka iwe na uchumi wa kati.
Kwa hiyo kataa usikatae HEP ndio solution. Hao waliokuwa wanalazimisha gas plants walikuwa na mambo yao tu.
 
Haya maendeleo ya Ubungo fly over na SGR wapinzani kama Chadema wanalalamika eti wao wanataka maendeleo ya watu siyo vitu.

Rwanda imepitisha mpango wa ujenzi wa kinu cha nguvu za Nyuklia ili kuendana na kasi ya maendeleo ya teknolojia na utabibu duniani, itasaidiwa na Urusi katika mpango wake huo.

Niko hapa Falcon najaribu kujiuliza tu mpango huo ungetangazwa na serikali ya CCM pale Ufipa pangekalika kweli?

Daudi Mchambuzi kama uko mitaa ya jirani karibu upate supu ya mbuzi.

Maendeleo hayana vyama!
Rwanda bwana...

Hawa jamaa ni typical Wahaya,they have nothing ila wanavyoongea kama wapo New York vile!

Very disillusion aisee!

Siaminigi chochote kutoka takwimu za Rwanda,Uganda,Burundi na TZ kuhusu chochote,na so far I have convinced myself kwamba I'm right most of the time!
 
Unajua maana ya opportunity cost??
Huo mradi mpaka ukamilike gharama zake je zingetumika kwenye kilimo cha kisasa nchi nzima ipi ingeleta benefit zaidi tena ya direct??

Its not like umeme haupo tayari upo na bado gesi ipo then unaongeza na rufiji ilihali wakulima wana hali mbaya na vijana wapo kitaa hawana ajira huoni Kilimo kingetengeneza alternative channel ya ajira hasa cha kisasa maana kingepunguza risk??
Kwa ufupi umeme uliopo hautoshi kwa nchi ambayo inapambana kufikia uchumi wa kati. Hata hiyo miradi ya kilimo cha kisasa mpaka ikamilike lazima ingechukua miaka 2-3. JNHPP utajengwa kwa miaka 3 na viwanda,wanachi na Sgr itaanza kutumia. Achana na mbwembwe za opporunity cost.
 
Hii nchi inajipanga ili iweze kufikia uchumi wa kati. Kwa hiyo umeme wa uhakika toka JNHPP ni suluhu kwa maufacturing industries na hata Sgr project ikikamilika.
Kwa hiyo usinitinitishe na opportunity cost. Huu umeme uliopo hautoshi kwa nchi ambayo inataka iwe na uchumi wa kati.
Kwa hiyo kataa usikatae HEP ndio solution. Hao waliokuwa wanalazimisha gas plants walikuwa na mambo yao tu.
Kwahiyo mradi wa gesi sio viable tena kma CCM ilivyosema? Ila wa Rufiji ndio viable? Awamu ijayo tena mtasema umeme wa turbines ndio suluhu ila HEP ulikua wa wapigaji!!!
 
Kwa ufupi umeme uliopo hautoshi kwa nchi ambayo inapambana kufikia uchumi wa kati. Hata hiyo miradi ya kilimo cha kisasa mpaka ikamilike lazima ingechukua miaka 2-3. JNHPP utajengwa kwa miaka 3 na viwanda,wanachi na Sgr itaanza kutumia. Achana na mbwembwe za opporunity cost.
Ssa Y gesi mlipeleka matrillion eti mzalishe umeme sahvi tena mnadai HEP ndio suluhu? Je unaweza kiri hapa CCM ilipotosha waTz na ilipoteza hizo pesa kwa miradi isiyo na tija?
 
Ssa Y gesi mlipeleka matrillion eti mzalishe umeme sahvi tena mnadai HEP ndio suluhu? Je unaweza kiri hapa CCM ilipotosha waTz na ilipoteza hizo pesa kwa miradi isiyo na tija?
We uligusia ishu ya opportunity cost. Nafikiri hapa ndipo ilitumika vizuri. Maana pale kinyerezi wangejenga phase 1-8 kupata MW 2000. Lakini JNHPP ni mradi mmoja unaleta 2100 MW. Kwa hiyo ni masuala ya mipango tu. Mkiona hiki mlichopanga kwa sasa hakitatufaa mnachukua ule unaofaa. Sio suala la upotoahaji.
 
Haya maendeleo ya Ubungo fly over na SGR wapinzani kama Chadema wanalalamika eti wao wanataka maendeleo ya watu siyo vitu.

Rwanda imepitisha mpango wa ujenzi wa kinu cha nguvu za Nyuklia ili kuendana na kasi ya maendeleo ya teknolojia na utabibu duniani, itasaidiwa na Urusi katika mpango wake huo.

Niko hapa Falcon najaribu kujiuliza tu mpango huo ungetangazwa na serikali ya CCM pale Ufipa pangekalika kweli?

Daudi Mchambuzi kama uko mitaa ya jirani karibu upate supu ya mbuzi.

Maendeleo hayana vyama!
Kama huo mpango wa Rwanda ni kweli; utakuwa ni uamauzi mbaya sana kwenye eno la maziwa makuu, na ikiwezekana usimamishwe mara moja. Three mile, Chernobyl, na Fukushoima liwe ni fundisho kubwa kwetu. Kujengewa mitambo ya nuclear ni tofauti sana na kuendesha mitambo ya nuclear. Halafu uncertainty ya nuclear ni kiwango kidogo sana ukizingatia kuwa Rwanda yote iko kwenye Great Rift Valley. Sijui nani atakyemshauri PK aachenae na wazo hilo, lakini huo ni umamzi mbaya sana kwa ustawi wa eneo zima la Maziwa matatu.
 
We uligusia ishu ya opportunity cost. Nafikiri hapa ndipo ilitumika vizuri. Maana pale kinyerezi wangejenga phase 1-8 kupata MW 2000. Lakini JNHPP ni mradi mmoja unaleta 2100 MW. Kwa hiyo ni masuala ya mipango tu. Mkiona hiki mlichopanga kwa sasa hakitatufaa mnachukua ule unaofaa. Sio suala la upotoahaji.
Usichanganye hoja opportunity cost ni ya kuongeza capacity ya umeme over Kilimo cha kisasa kupitia bajeti ya maendeleo kwa sekta zinazofungamana na kilimo kma maji,umwagiliaji na mifugo n.k

Sidhani kama tulikua na shortage ya umeme kiasi huu mradi whether Gesi au HEP ipewe kipaumbele kwa sasa kuliko selta ya kilimo inayogusa directly waTz wengi sana.

Hta kwa GDP kilimo kinachangia zaidi so nadhani ni muhimu kuwekeza huko kuliko miradi ya vitu visivyo na ulazima kwa ssa kma Hyo HEP yako cjui Airport chato!!! Kiri tu walikosea kwenye vipaumbele.
 
Usichanganye hoja opportunity cost ni ya kuongeza capacity ya umeme over Kilimo cha kisasa kupitia bajeti ya maendeleo kwa sekta zinazofungamana na kilimo kma maji,umwagiliaji na mifugo n.k

Sidhani kama tulikua na shortage ya umeme kiasi huu mradi whether Gesi au HEP ipewe kipaumbele kwa sasa kuliko selta ya kilimo inayogusa directly waTz wengi sana.

Hta kwa GDP kilimo kinachangia zaidi so nadhani ni muhimu kuwekeza huko kuliko miradi ya vitu visivyo na ulazima kwa ssa kma Hyo HEP yako cjui Airport chato!!! Kiri tu walikosea kwenye vipaumbele.
Kwani hamna irrigation schemes ambazo serikali imezijenga? Mpaka tuache kujenga JNHPP. Nakuambia kuwa muelewa acha siasa. Tunataka nchi yetu iwe ya uchumi wa kati lazima muwe na umeme wa kutosha. Kwa ajili ya viwanda na mambo muhimu kiuchumi. Habari za Airport Chato zinahusu nini?
 
Wazimu tu wa Kagame kumbe ni research centre ya kuongeza ujuzi kwenye maswala ya nuclear technologies na kama kuzalisha umeme basi utakuwa 10MW.

Kwa sababu si swala la umeme maana 10MW si lolote si chochote itakuwa kwa akili za megalomaniac kama Kagame anataka kutengenezewa wataalamu nuclear bomb (something like the Manhattan Project).

Msukumo ni psychological issues za raisi wao kupenda kujihami and this is just waste of tax payers money kwa nchi maskini kama Rwanda.
 
Jirani yetu nae amezidisha sana ngonjera, mara tunajenga kiwanda cha magari, mara kiwanda cha smatifoni, mara utasikia tunajenga kiwanda kuzalisha tv, leo tunaambiwa vinu vya nyuklia kesho tutasikia tunajenga kiwanda cha ndege aina ya boing, yaani hawa nshomile kila kukicha ni kujimwambafai tu ila hatujawahi kuona hata bidhaa yao moja sokoni.
Washaanza kutengeneza cmu za maraphone hujui?
 
Beberu wenyewe makonki wanaachana na vinu vya nuclear...
Mfano likitokea la kutokea walivyo na eneo dogo, exclusion zone si itakuwa nchi nzima jamani??.
Watapata sababu rasmi ya kuhamia Congo..

Everyday is Saturday........................... 😎
Acha kupotosha !! Israel ndogo kuliko Rwanda inavinu vya nyukilia na inanyukilia za kutosha Tena c endeo moja
 
Ingawaje umezungumza kiutani huo ndio ukweli wenyewe, food security ndio hitaji la kwanza. Kinu cha nuclear mara nyingi ni kwa ajili ya umeme (ambao upo wa kutosha kwa sasa, na zaidi kuna miradi kadhaa inaendelea). Ni busara zaidi pesa hizo zijenge bara bara, vyoo , madarasa au maabara. Ila tujiulize zaidi, nchi kadhaa zipo kwenye mchakato wa kufunga vinu vya nuclear, jee waafrika tumegundua nini kujenga hivi vinu??
Hicho kilimo tumelima for more than 50 yrs!! Hukui kufika kwene nyuklia n far away kuliko kuhangaika na kusema kilimo.....tz cyo Somalia hatuna shida ya njaa labda useme tulime kwa ajili ya kuexport
 
Unajua maana ya opportunity cost??
Huo mradi mpaka ukamilike gharama zake je zingetumika kwenye kilimo cha kisasa nchi nzima ipi ingeleta benefit zaidi tena ya direct??

Its not like umeme haupo tayari upo na bado gesi ipo then unaongeza na rufiji ilihali wakulima wana hali mbaya na vijana wapo kitaa hawana ajira huoni Kilimo kingetengeneza alternative channel ya ajira hasa cha kisasa maana kingepunguza risk??
Acha ujinga ww....kilimo utalima na dhana duni ....umeme au power ndo Kila kitu.....happo tunaeza pata viwanda vya kuchakata hayo mazao kumbuka kama hatuna viwanda hatuwez ongeza production coz mazao yatakua yanaharibika.....so power-viwanda-kilimo kinaleta tija
 
Acha ujinga ww....kilimo utalima na dhana duni ....umeme au power ndo Kila kitu.....happo tunaeza pata viwanda vya kuchakata hayo mazao kumbuka kama hatuna viwanda hatuwez ongeza production coz mazao yatakua yanaharibika.....so power-viwanda-kilimo kinaleta tija
Mkuu umeme si upo wa gesi? Upo wa HEP? sio kwamba tuna deficit ndio maana ninakupa elimu ya opportunity cost.

Kwamba cost ya kuservice mradi mpya wa umeme umetoa kafara sekta inayochangia asilimia kubwa zaidi ya pato la taifa.

Takwimu zinaonyesha kwa wizara ya kilimo bajeti ya maendeleo imetolewa 15% pekee. Sasa naomba uniambie je sekta gani hapo ilihitaji liquidity maana ina deficit??

Pia naomba uniambie multiplier effect ya kuongeza mradi wa umeme unazidi vipi spillover effect ya kupeleka fedha kwenye sekta inayoajiri 70% ya labor force yote.

Karibu kwa mjadala
 
Kwani hamna irrigation schemes ambazo serikali imezijenga? Mpaka tuache kujenga JNHPP. Nakuambia kuwa muelewa acha siasa. Tunataka nchi yetu iwe ya uchumi wa kati lazima muwe na umeme wa kutosha. Kwa ajili ya viwanda na mambo muhimu kiuchumi. Habari za Airport Chato zinahusu nini?
Irrigation schemes zipi hizo wakati 85% ya wakulima wanategemea mvua tu hawana mifumo ya kilimo cha kisasa.

Bajeti ya maendeleo kilimo imetolewa 15% after 3/4 ya mwaka wa fedha unaoisha, alafu unakuja kusema eti irrigation scheme zipo?

Umeme unaozalishwa kwa sasa kupitia HEP zingine bado unafacilitate mahitaji, bado tuna gesi kma alternative cjui makaa ya mawe n.k hatujafikia level ya kuwa desperate na HEP hku immediate problem kma kilimo inakufa.

Nmekuuliza hapa niambie opportunity cost ipi iko viable? Je ya umeme ambao ni surplus ama kilimo kinachoajiri 70% ya labor force Tanzania
 
We uligusia ishu ya opportunity cost. Nafikiri hapa ndipo ilitumika vizuri. Maana pale kinyerezi wangejenga phase 1-8 kupata MW 2000. Lakini JNHPP ni mradi mmoja unaleta 2100 MW. Kwa hiyo ni masuala ya mipango tu. Mkiona hiki mlichopanga kwa sasa hakitatufaa mnachukua ule unaofaa. Sio suala la upotoahaji.
Kwahiyo ni sawa kupeleka mabilion kwa mradi mwingine wa excess ilihali kuna ombwe la 70% kwa bajeti ya maendeleo ya kilimo?
 
Back
Top Bottom