Mufti kashasema kesho ni mfungo kama kawa sikukuu ijumaaMnatuchanganya, ratiba zote zimevurugika. Sasa mwezi ukionekana sasa hivi muft anatengua kauli.?
Tanzania tuna mwezi wa tofauti na rwanda.?
Hii sio Rwanda tu hata huku kesho ni idd kwa majority ya waislam ulimwenguniWanyarwanda hawako huru afadhali yetu sisi lile dubwana la Chato limeswapiwa na covid19
Wallace karia atakuja kutusaidia khs hili.Mnatuchanganya, ratiba zote zimevurugika. Sasa mwezi ukionekana sasa hivi muft anatengua kauli.?
Tanzania tuna mwezi wa tofauti na rwanda.?
Uganda,Congo wameshatangaza pia kesho ni kitu cha pilau.Hii sio rwanda tu hata huku kesho ni idd kwa majority ya waislam ulimwenguni
Kama wewe umeuona mwezi sio mbaya ukapishwa ikatangazwa kuwa mwezi umeonekanaBakwata na TFF hawana tofauti.
Leo Bakwata wameamua kusogeza mbele sherehe za eid, badala ya kuwa Alhamisi sherehe zitakuwa Ijumaa.
Sisi tuko sawa na Kenya pia Uganda!Mnatuchanganya, ratiba zote zimevurugika. Sasa mwezi ukionekana sasa hivi muft anatengua kauli.?
Tanzania tuna mwezi wa tofauti na rwanda.?
Labda uganda ya joseph kony,lkn kama ni Uganda ya M7 kesho wao ni Idd.Sisi tuko sawa na Kenya pia Uganda!
Kama mwezi haujaonekana, wewe unataka tufanye kinyume na taratibu?Ni almost nchi nyingi zimedeclare ila sisi mwezi haujaonekana
Weka picha ya mwezi na useme ni mkoa ganiBakwata na TFF hawana tofauti.
Leo Bakwata wameamua kusogeza mbele sherehe za eid, badala ya kuwa Alhamisi sherehe zitakuwa Ijumaa.
Kenya je?Labda uganda ya joseph kony,lkn kama ni Uganda ya M7 kesho wao ni Idd.
Nayo eid ni kesho.Kenya je?