Rwanda yatangaza kusherehekea Sikukuu ya Eid El Fitri Mei 13, 2021

Rwanda yatangaza kusherehekea Sikukuu ya Eid El Fitri Mei 13, 2021

Kama we we umeuona mwezi sio mbaya ukapishwa ikatangazwa kuwa mwezi umeonekana

Maana kuna watu Jana 29 hawajauona mwezi na wao ni 30 pia mwezi hawajauona

Ninacho jua Mimi mwezi 29 ndio siku ya kubahatisha kuangalia mwezi mnaweza mkauona au msiuone ila mwezi 30 lazima mwezi muone kwa macho yenu kama hamjauona basi kuna sehemu mahesabu yamekosewa
Kwa kweli mimi Hawa suni wananishangaza sana 29 mwezi hawajauona na 30 pia mwezi hawajauona katika hili BAKWATA wapo sahihi Kwa 100%
 
Kwa kweli mimi Hawa suni wananishangaza sana 29 mwezi hawajauona na 30 pia mwezi hawajauona katika hili BAKWATA wapo sahihi Kwa 100%
Kwani hao bakwata sio SUNI!? Ni SHIA ama!? Waislam tuondoke huku

Hili swala limekuwa fikirishi saana kwangu, 29 tee, 30 nako tee[emoji849][emoji848]
 
Kwa kweli mimi Hawa suni wananishangaza sana 29 mwezi hawajauona na 30 pia mwezi hawajauona katika hili BAKWATA wapo sahihi Kwa 100%
Una hakika gan haujaonekana, mim binafsi pamoja n wenzang tumeushuhudia kwa macho ytu
 
Unachotakiwa kusema Chief

Waislam tusome Dini yetu

Ukisoma ukweli wa kusoma Chief...hakuna jambo katika mambo ya msingi utashindwa kujua ukweli wake
Hili nimekuwa nikiliimba sio humu tu, kote kote.. Elimu ni jambo la msingi, allah s.w amesisitiza hilo kupitia mjumbe wake..

La kwanza kuambiwa mtume ni soma, kuonesha umuhimu wa elimu..
 
Wanyarwanda hawako huru afadhali yetu sisi lile dubwana la Chato limeswapiwa na covid19
russ.png
 
Naomba nielimishwe: je, kuna ugomvi wowote kati ya mwezi unaoonekana nchi jirani na huu unaotarajiwa kuonekana Tanzania?

Mbona kulikuwa na hali ya mawingu mlitegemea muuoneje?

Hivi ikitokea kuna hali ya mawingu mwaka mzima hamfungi au hamfungui?
 
Ungeonekana leo wikendi ingekuwa ndefu mno, Alhamisi na Ijumaa wakae free kula 🦆! Acha watu wapige kazi mpaka kesho
 
Mbona huku nilipo maadhana mengi hivyo? Wanasali leo bhana japo jana taarifa ya habari saa mbili usiku sheikh mkuu alisema idd ni kesho.
 
Asee mbona tuu isihalalishwe iwe ni siku mbili miaka yote maana sasa sherehe za kuskilizia zinachosha
 
Mwezi ulianza kuandama (in conjuction)tangu tarehe 11 may(hesabu za kisayansi). Kwa vyovyote leo Idd.
 
Wamekuambia kwamba wameuona huko Rwanda na Uganda au nao wanatumia mwandamo wa nchi zingine?

Kama kutumia mwandamo wa nchi zingine, hata Tanzania wapo wanaosali Eid leo hii, tofauti ni kwamba BAKWATA inatumia kanuni ya kuonekana kwa mwezi locally, na hao wengine inawezekana wanatumia kanuni ya mwezi ukionekana Saudi Arabia!

Kwa taarifa yako tu, kuna makundi matatu:-

1. Kuna nchi ambazo wao lazima waone mwezi wenyewe au uonekane anywhere kwenye kanda yao
2. Kuna nchi ambazo wanaangalia endapo Saudia Arabia wametangaza mwezi kuonekana, na
3. Pia zipo nchi zinazoangalia ikiwa Turkey wametangaza kuonekana kwa mwezi

Kundi la kwanza, halitaki kubadilishwa na mabadiliko ya teknolojia, na wao wamesimamia pale pale kwamba "fungeni na fungueni kwa kuuona mwezi"

Kundi la pili, wanaendeshwa na mabadiliko ya sayansi na teknolojia kwa sababu, nchi kama Saudi Arabia, wana-spot mwezi kwa njia tatu:-

1. Kwa kuuona wenyewe kwa macho,
2. Kwa kutumia binoculars, na
3. Kwa kutumia Wanajimu!!
 
Wamekuambia kwamba wameuona huko Rwanda na Uganda au nao wanatumia mwandamo wa nchi zingine?!

Kama kutumia mwandamo wa nchi zingine, hata Tanzania wapo wanaosali Eid leo hii, tofauti ni kwamba BAKWATA inatumia kanuni ya kuonekana kwa mwezi locally, na hao wengine inawezekana wanatumia kanuni ya mwezi ukionekana Saudi Arabia!

Kwa taarifa yako tu, kuna makundi matatu:-

1. Kuna nchi ambazo wao lazima waone mwezi wenyewe au uonekane anywhere kwenye kanda yao
2. Kuna nchi ambazo wanaangalia endapo Saudia Arabia wametangaza mwezi kuonekana, na
3. Pia zipo nchi zinazoangalia ikiwa Turkey wametangaza kuonekana kwa mwezi

Kundi la kwanza, halitaki kubadilishwa na mabadiliko ya teknolojia, na wao wamesimamia pale pale kwamba "fungeni na fungueni kwa kuuona mwezi"

Kundi la pili, wanaendeshwa na mabadiliko ya sayansi na teknolojia kwa sababu, nchi kama Saudi Arabia, wana-spot mwezi kwa njia tatu:-

1. Kwa kuuona wenyewe kwa macho,
2. Kwa kutumia binoculars, na
3. Kwa kutumia Wanajimu!!
Shekhe mwezi umeonekana jana Kenya.
 
Back
Top Bottom