Rwanda yatangaza kusherehekea Sikukuu ya Eid El Fitri Mei 13, 2021

Rwanda yatangaza kusherehekea Sikukuu ya Eid El Fitri Mei 13, 2021

Shekhe mwezi umeonekana jana kenya
Aliyekuambia mimi Sheikh ni nani?

Anyway, Mamlaka za Kenya hawa hapa:-



Je, unaweza kunipa source yako?

REMEMBER: Usichanganye watu wanaosali Eid kwa kufuata kalenda za nchi zingine na wale wanaotumia local moon sighting!
 
Malalamiko yote haya yanatokana na hamu ya pombe,kaa kwa kutulia kijana hatufungui kwa tetesi.
 
Aka kanchi kila mara ni tatizo iwe ni corona sasa Idi, lazima tunakua nyuma kuliko wengine.
 
Hakuna mahala hadithi imesema fungen na funguen kwa kuona mwezi ,bali ni fungen na funguen kwa kuonekana mwezi ,ivo ni vitu viwil tofaut na hii inamaana ukionekana popote watu wafungue mipaka ya kijiografia haitambuliwi na uislamu
 
BAKWATA ni Crap!! Haipo kwa ajili ya waislam bali kwa matumbo yao! Hata wakati wa kuanza mfungo mwezi ulionekana katika nchi nyingine za Afrika Mashariki lakini wao hawakutangaza, kinachoonekana wamekosa creadibility na hawana cooperation na taasisi za Kiislam zilizo katika nchi za Afrika Mashariki.
 
Hakuna mahala hadithi imesema fungen na funguen kwa kuona mwezi ,bali ni fungen na funguen kwa kuonekana mwezi ,ivo ni vitu viwil tofaut na hii inamaana ukionekana popote watu wafungue mipaka ya kijiografia haitambuliwi na uislamu
Bakwata hawana ushirikiano na taasisi za kiislam zilizo katika nchi za Afrika Mashariki. Ndio maana mwezi hata ukionekana Kenya hapo wao hawautangazi, wapo kwa ajili ya matumbo yao na sio kwa mambo ya waislam.
 
Naomba nielimishwe: je, kuna ugomvi wowote kati ya mwezi unaoonekana nchi jirani na huu unaotarajiwa kuonekana Tanzania?

Mbona kulikuwa na hali ya mawingu mlitegemea muuoneje?

Hivi ikitokea kuna hali ya mawingu mwaka mzima hamfungi au hamfungui?
hiyo ni man made moon satellite ya wabeberu nafikiri watanzania wanasubiri natural moon satellite
 
Una hakika gan haujaonekana, mim binafsi pamoja n wenzang tumeushuhudia kwa macho ytu
Wadanganye hao hao mambumbu wenzako katika anga la East Afrika Jana mwezi ulikua hauwezi kuona kwa macho ya kawaida maana ulikuwa upo sambamba na Jua na ulikuwa unazama kabla jua halijazama

Nyinyi kama mmeamua kula nyie kuleni tu haina shida
 
Aliyekuambia mimi Sheikh ni nani?

Anyway, Mamlaka za Kenya hawa hapa:-



Je, unaweza kunipa source yako?

REMEMBER: Usichanganye watu wanaosali Eid kwa kufuata kalenda za nchi zingine na wale wanaotumia local moon sighting!

huyo kadhi wa kenya pia yupo under attack baada ya hiyo meeting badae alipepelekewa taarifa na watu wa kuaminika akiwemo shekhe Mbaraka Awes kwamba mwezi umeonekana na bado hakutangaza

inshort viongozi wetu wa dini wanatakiwa wajitathmini kwa haya yanayotokea ni aibu
kenya watu zaidi ya watatu wameenda na msikitini na tena wakaapa kwamba mwezi umeonekana na bado kadhi hakuwasikiliza
 
Hakuna mahala hadithi imesema fungen na funguen kwa kuona mwezi ,bali ni fungen na funguen kwa kuonekana mwezi ,ivo ni vitu viwil tofaut na hii inamaana ukionekana popote watu wafungue mipaka ya kijiografia haitambuliwi na uislamu
... hata makafir wakishuhudia "tumeuona" nao tuwaamini Sheikh?
 
Naomba nielimishwe: je, kuna ugomvi wowote kati ya mwezi unaoonekana nchi jirani na huu unaotarajiwa kuonekana Tanzania?

Mbona kulikuwa na hali ya mawingu mlitegemea muuoneje?

Hivi ikitokea kuna hali ya mawingu mwaka mzima hamfungi au hamfungui?

Dah....Dogo inawezekana kabisa Rwanda wanaweza kukuona mwezi kwe nyuzi zao za longitude na Tanzania wasiiuone hadi kesho yake.....hii ni kwa mujibu wa sayansi ya mizunguko ya Jua Dunia na Mwezi....
Na Kama ikitokea kuna hali ya mawingu mwaka mzima.... Dunia itakuwa poa Sana... Waumini hawatafunga Ramadhani wala Kwaresma....na hakutakuwa na Idi wala Pasaka....vyote hivi hutegemea mwezi ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom