Rwanda yatangaza kusherehekea Sikukuu ya Eid El Fitri Mei 13, 2021

Rwanda yatangaza kusherehekea Sikukuu ya Eid El Fitri Mei 13, 2021

huyo kadhi wa kenya pia yupo under attack baada ya hiyo meeting badae alipepelekewa taarifa na watu wa kuaminika akiwemo shekhe Mbaraka Awes kwamba mwezi umeonekana na bado hakutangaza

inshort viongozi wetu wa dini wanatakiwa wajitathmini kwa haya yanayotokea ni aibu
kenya watu zaidi ya watatu wameenda na msikitini na tena wakaapa kwamba mwezi umeonekana na bado kadhi hakuwasikiliza
Issue sio kuonekana... umeonekana wapi?!

Hizo attacks nothing new kwa sababu ndizo zinazoendelea hapa JF hivi sasa!!

Btw, unaweza kutoa source ya taarifa yako? Ningependa kuona source kwa sababu haingii akilini kwamba kuna watu wenye sifa za kutoa testimony na wameapa msikitini na bado Kadhi agome... kwa faida ya nani?!
 
Kwani hao bakwata sio SUNI!? Ni SHIA ama!? Waislam tuondoke huku

Hili swala limekuwa fikirishi saana kwangu, 29 tee, 30 nako tee[emoji849][emoji848]
Mtume Muhammad alikuwa dhehebu gani? Shia au suni?
 

Issue sio kuonekana... umeonekana wapi?!

Hizo attacks nothing new kwa sababu ndizo zinazoendelea hapa JF hivi sasa!!

Btw, unaweza kutoa source ya taarifa yako? Ningependa kuona source kwa sababu haingii akilini kwamba kuna watu wenye sifa za kutoa testimony na wameapa msikitini na bado Kadhi agome... kwa faida ya nani?!

Nikutumie pia na wale walioapa msikitin?au hiyo inakutosha?
 
Wadanganye hao hao mambumbu wenzako katika anga la East Afrika Jana mwezi ulikua hauwezi kuona kwa macho ya kawaida maana ulikuwa upo sambamba na Jua na ulikuwa unazama kabla jua halijazama

Nyinyi kama mmeamua kula nyie kuleni tu haina shida
Sasa wewe, hujui quran inasemaje juu ya viongozi, kuwa siku ya mwisho walokua viongoz watawakana waliowaongoza!? Unafkir ina maana gan....mimi nafuata matakwa ya dini na c ya mtu na cwez danganya watu kwan itakua ndiko kuangamia kwang hay n mas ala ya din na co stor za Juma na Uledi.......kalenda enyew ya kiislam leo inaonesha ni Shawwal 01....
 
Sasa hayo madhehebu wameiga kutoka kwa nani?
Mapokeo, kukosa elimu na kujitambua..
Habari ni ndefu, nitajaribu kufupisha kqa kile nikijuacho, ila mola wangu ndio mjuzi zaidi.

Wakat mtume (saw) anakaribia kufa, alisema ameikamilisah dini(uislam) maana yake mafunzo kamili, jinsi ya kula, kulala, kuswali, kufanya biashara, kuoa, usafi, masuala ya kiuchumi, mikopo, historia, elimu n.k n.k yaani kila jambo unaloliongelea wewe uislam umetia neno lake..

Baada ya kifo cha mtume ikabdi apatikane kiongozi wa kuongoza hapa ndio mifarakano ikaanzia..
Wa kwanza akawa abubaqar swadiq(r.a) ambae ndio alikuwa swahiba wa mwanzoni wa mtume, moja kati ya watu walikuwa wakimuani mtume mnoo.. Akisikia hili kasema mtume yeye hapingi, hata safar ya miiraji, alipofikishiwa taarifa na abuu jahal, kwamba swahiba wako kapata uchizi, kasema ndani ya usiku wa jana kasafiri mpaka masjid al aqsa.. Yeye akajibu kama kasema hivyo basi ni sahihi.

Kisha akaja umary(r.a)

Kisha uthman bin affan(r.a)

Kisha Ali (R.A)

Suni hawana tabu na huo mtiririko, kuna baadhi ya hadithi pia zinaomesha hata yeye sayidina ali hakuwa na tabu na hao wawili wa mwanzo..

SHIA kama shia hawawataki woote hao wa mwanzo wanadai baada ya mtume kiongozi aliyepaswa kufwatwa ni sayidna alii..

Hapo ndipo waislam walipogawana makaburi..
 
  • Thanks
Reactions: B51
Sasa wewe, hujui quran inasemaje juu ya viongozi, kuwa siku ya mwisho walokua viongoz watawakana waliowaongoza!? Unafkir ina maana gan....mimi nafuata matakwa ya dini na c ya mtu na cwez danganya watu kwan itakua ndiko kuangamia kwang hay n mas ala ya din na co stor za Juma na Uledi.......kalenda enyew ya kiislam leo inaonesha ni Shawwal 01....
Kwahiyo Tanzania nzima Jana mwezi umeuona wewe peke yako ? unadanganya kwa maslahi ya nani yako au dini

Hao Saudia mnaowafuata Jana mwezi pia hawakuuona kwa macho ya kawaida

Labda nikufundishe kidogo

Mwezi uliandama J4 sa 8 mchana ila kwa kuwa ulichomoza 0.6% tena upo sambamba na jua hakuna binaadamu anayeweza kuuona hata kwa kutumia darubini

Jana J5 mwezi ulichomoza kwa 0.8% pia ulikuwa sambamba na jua na pia ulikua unazama kabla ya jua halijazama hivyo pia hauwezi kuonekana kwa macho ya kawaida hadi utumie durubini masaa machache kabla jua halijazama

Leo mwezi tutauona vizuri tu tena kwa macho ya kawaida maana ukubwa wake unaochomoza ni 2.7%

Ndio maana nilikuambia wadanganye hao mbumbu wenzako kuwa mwezi Jana uliuona
 
Mtume Muhammad alikua ni mwanasansi nzuri ndio maana alisema fungeni mnapouona na fungueni mnapo uona

Sasa nyinyi mnajifanya mnajua matokeo yake sasa 29 mwezi hamjauona na 30 pia mwezi hamjauona

Kwa watu wanaofanya hesabu sawa sawa za kalenda za mwezi siku ya 30 lazima mtauona kwa macho yenu
 
Mtume hakusema fungeni na fungueni mwezi unapoandama ila alisema fungeni na fungueni mwezi mnapouona

Maana binadaamu huwa tunauona mwezi kuanzia masaa 24 tangu uchomoze mwezi mpya

In short mmekula mchana wa ramadhani
 
  • Thanks
Reactions: B51
Back
Top Bottom