Aliyekuambia mimi Sheikh ni nani?Shekhe mwezi umeonekana jana kenya
Kama TFF!Bakwata Wana mwezi wao
Kuna msikiti nimepita nimekuta wanaswali, magari na watu kibao kuliko kawaida.Mbona huku nilipo maadhana mengi hivyo? Wanasali leo bhana japo jana taarifa ya habari saa mbili usiku sheikh mkuu alisema idd ni kesho.
Ni kweli nimeona Sunni wameswali leoBakwata ni branch ya sisiemu ,answari suna suruwali fupi tunakula ubeche leo.
Kesho ijumaaKwahyo iddi ipo au haipo?
Bakwata hawana ushirikiano na taasisi za kiislam zilizo katika nchi za Afrika Mashariki. Ndio maana mwezi hata ukionekana Kenya hapo wao hawautangazi, wapo kwa ajili ya matumbo yao na sio kwa mambo ya waislam.Hakuna mahala hadithi imesema fungen na funguen kwa kuona mwezi ,bali ni fungen na funguen kwa kuonekana mwezi ,ivo ni vitu viwil tofaut na hii inamaana ukionekana popote watu wafungue mipaka ya kijiografia haitambuliwi na uislamu
hiyo ni man made moon satellite ya wabeberu nafikiri watanzania wanasubiri natural moon satelliteNaomba nielimishwe: je, kuna ugomvi wowote kati ya mwezi unaoonekana nchi jirani na huu unaotarajiwa kuonekana Tanzania?
Mbona kulikuwa na hali ya mawingu mlitegemea muuoneje?
Hivi ikitokea kuna hali ya mawingu mwaka mzima hamfungi au hamfungui?
Wadanganye hao hao mambumbu wenzako katika anga la East Afrika Jana mwezi ulikua hauwezi kuona kwa macho ya kawaida maana ulikuwa upo sambamba na Jua na ulikuwa unazama kabla jua halijazamaUna hakika gan haujaonekana, mim binafsi pamoja n wenzang tumeushuhudia kwa macho ytu
huyo kadhi wa kenya pia yupo under attack baada ya hiyo meeting badae alipepelekewa taarifa na watu wa kuaminika akiwemo shekhe Mbaraka Awes kwamba mwezi umeonekana na bado hakutangazaAliyekuambia mimi Sheikh ni nani?
Anyway, Mamlaka za Kenya hawa hapa:-
Je, unaweza kunipa source yako?
REMEMBER: Usichanganye watu wanaosali Eid kwa kufuata kalenda za nchi zingine na wale wanaotumia local moon sighting!
... hata makafir wakishuhudia "tumeuona" nao tuwaamini Sheikh?Hakuna mahala hadithi imesema fungen na funguen kwa kuona mwezi ,bali ni fungen na funguen kwa kuonekana mwezi ,ivo ni vitu viwil tofaut na hii inamaana ukionekana popote watu wafungue mipaka ya kijiografia haitambuliwi na uislamu
Naomba nielimishwe: je, kuna ugomvi wowote kati ya mwezi unaoonekana nchi jirani na huu unaotarajiwa kuonekana Tanzania?
Mbona kulikuwa na hali ya mawingu mlitegemea muuoneje?
Hivi ikitokea kuna hali ya mawingu mwaka mzima hamfungi au hamfungui?