Tutafika
JF-Expert Member
- Nov 4, 2009
- 1,443
- 635
What is your role? I mean Kenya-tta.The sage continues
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What is your role? I mean Kenya-tta.The sage continues
fikiri hata kabla ya yeye kutoa ushauri huo nini alikuwa amefanya ktk mgogoro huo baada ya miaka 17 ya mauaji ya kimbali he was foreigner minister 10 yrs then 6 yrs as president. Alipaswa kuwa amefanya mengi kama ni kuwasaidia rwanda.
Ben et al, nataka mfikiirie zaidi kabla na baada ya ushauri wa jk kwa pk.
1) motive behind kwa tz kuchukua wapiganaji drc-ilikuw lini na uhusiano wetu na drc uko je ukilinganisha na rwanda
2) waraka na utafiti wa mtikira kuhusu pk/rwanda (note: Mtikira si kichaa na si mpinzani wa serikali kama ambavyo wengine tumedhani)- waraka huo ulitolewa lini na imemchukua muda gani kuufanhyia kazi.
3) mahamuzi ya serkali kwa sasa ya ku-target mikoa ya kagera na kigoma na geita-wahamihaji haramu. (je ni wanyarwanda tu au na wengine- warundi, wakenya....). Ni kwa nini serikali ilione ilo sasa na si miaka iliyopita? Kuna wakati serikali inalala kulinda mipaka yake?
4) nilini serkali itashugulikia suala la wahamiaji haramu kwa ujumla wake maana nasikia hata wachina wapo nchini? By the way wahamiaji haramu kwa mazingira ya tz ni nani? A joke qn to ben8, kitu gani kinakutambulisha wewe kama mtanzania sasa hivi?. A serious note to your answer: Naomba international human rights watch wakawai kabisa maeneo ya operations kagera, kigoma na geita kuakikisha haki inatendeka ( gvt kuendesha operation hiyo kwa haki na si unyanyasaji-kumbuka polisi imeamliwa kupiga tu
5) ujumla wa majibu na maswali mengine baadaa ya hayo ni kuwa: Hatua za serkali kwa sasa ktk mikoa hiyo ziko sahihi kama si provocation za vita ambazo zimeratibiwa kitambo; serkali itaimalisha ulinzi mipakani na ku-sort out issues zinazohusu uraia- nani mtanzania na kwa vitambulisho vipi? ; ku-revorke vitambulisho walivypewa wahamiji 1964/1972 hakitakuwa kipingamizi na kwenda kinyume cha mengi aliyoyafanya nyerere...trend inaonesha tunataka kuonesha nyerere was wrong...hii inafanywa na jk then atafuata el
6) kama tukiingia vitani sasa na baada ya vita au ktk kutafuta suruhu ya vita hivyo sasa sababu zitakuwa zipi haswa? Matusi ya pk, dharau za wanyarwanda? Mgogoro wa drc?? Na sababu zisitafutwe sasa? Tunahitaji sababu za msingi kabla na wakati huu, then you will get my support. Hapo hupo ben et al?
1.We supported Kabila senior since the 60s, after the assasination of Patrice Lumumba. The aim was to establish a Socialist and democratic Congo, with the help of Che Guavara and Cuban Special forces, it didn't work because of the lack of committment from Kabila Troops coupled with CIA and other mercenaries supporting Mobutu. We were involved in the march to Kinshasa and subsequent training of Congo forces for a short period, before Kabila, walked out of the power sharing meeting held at Dar es salaam Sheraton Hotel. We somehow disowned him and RPF took over the military operations under Kabila.Fikiri hata kabla ya yeye kutoa ushauri huo nini alikuwa amefanya ktk mgogoro huo baada ya miaka 17 ya mauaji ya kimbali He was foreigner minister 10 yrs then 6 yrs as president. Alipaswa kuwa amefanya mengi kama ni kuwasaidia Rwanda.
Ben et al, nataka mfikiirie zaidi kabla na baada ya ushauri wa jk kwa pk.
1) motive behind kwa tz kuchukua wapiganaji drc-ilikuw lini na uhusiano wetu na drc uko je ukilinganisha na Rwanda
2) Waraka na utafiti wa Mtikira kuhusu pk/Rwanda (note: Mtikira si kichaa na si mpinzani wa serikali kama ambavyo wengine tumedhani)- waraka huo ulitolewa lini na imemchukua muda gani kuufanhyia kazi.
3) Mahamuzi ya serkali kwa sasa ya ku-target mikoa ya kagera na kigoma na Geita-wahamihaji haramu. (Je ni wanyarwanda tu au na wengine- warundi, wakenya....). Ni kwa nini serikali ilione ilo sasa na si miaka iliyopita? Kuna wakati serikali inalala kulinda mipaka yake?
4) Nilini serkali itashugulikia suala la wahamiaji haramu kwa ujumla wake maana nasikia hata wachina wapo nchini? By the way wahamiaji haramu kwa mazingira ya tz ni nani? A joke qn to Ben8, kitu gani kinakutambulisha wewe kama mtanzania sasa hivi?. A serious note to your answer: Naomba international human rights watch wakawai kabisa maeneo ya operations Kagera, kigoma na Geita kuakikisha haki inatendeka ( gvt kuendesha operation hiyo kwa haki na si unyanyasaji-kumbuka polisi imeamliwa kupiga tu
5) Ujumla wa majibu na maswali mengine baadaa ya hayo ni kuwa: Hatua za serkali kwa sasa ktk mikoa hiyo ziko sahihi kama si provocation za vita ambazo zimeratibiwa kitambo; serkali itaimalisha ulinzi mipakani na ku-sort out issues zinazohusu uraia- nani mtanzania na kwa vitambulisho vipi? ; ku-revorke vitambulisho walivypewa wahamiji 1964/1972 hakitakuwa kipingamizi na kwenda kinyume cha mengi aliyoyafanya Nyerere...trend inaonesha tunataka kuonesha Nyerere was wrong...hii inafanywa na jk then atafuata el
6) Kama tukiingia vitani sasa na baada ya vita au ktk kutafuta suruhu ya vita hivyo sasa sababu zitakuwa zipi haswa? matusi ya pk, dharau za Wanyarwanda? mgogoro wa drc?? na sababu zisitafutwe sasa? tunahitaji sababu za msingi kabla na wakati huu, then you will get my support. Hapo hupo Ben et al?
Yaani kiwaziri cha kinchi kama Rwanda kinataka kumjibu Kikwete!!!
Kinchi unaki judge kwa udogo wake?! Mbona mna sema kina lisumbua Li nchi likubwa kama Kongo?! Tumieni akili na raisi wenu dhaifu...anaedai viongozi wa rwanda wana mtukana yeye na watanzania wote!!! Sijamsikia KGM akiwa tukana wa TZ yeye ana mdeal JK tu kwa kuropoka kwake!
Kikwete alikuwa Waziri wa mambo ya nje kwa miaka 10, alikuwa na degree ya nini?
Hawa watu huwa hawakurupuki tu na kuanza kuongea chochote kinachowajia kichwani.Ni mpaka atumwe na rais wake ndio aongee.Hata alichokisema waziri wa Rwanda kimetoka ama kina baraka za Kagame.Kazi za waziri wa eac sitta ni nini????? Vikao vinafanyika ata kutoa taarifa; toa msimamo wa serikali anakaa kimya; sioni kwa akili yangu anamkomoa jakaya kikwete ila anakomoa watanzania. Rwanda waziri na anajibu kwa niaba ya rais kp
Kazi za waziri wa eac sitta ni nini????? Vikao vinafanyika ata kutoa taarifa; toa msimamo wa serikali anakaa kimya; sioni kwa akili yangu anamkomoa jakaya kikwete ila anakomoa watanzania. Rwanda waziri na anajibu kwa niaba ya rais kp
Mbona Membe alimjibu rais wa Malawi? What is the problem? Acheni dharau. Hata Israeli ni kanchi kadogo lakini angalia kalivyowachachafya Waarabu.Yaani kiwaziri cha kinchi kama Rwanda kinataka kumjibu Kikwete!!!
Kinchi unaki judge kwa udogo wake?! Mbona mna sema kina lisumbua Li nchi likubwa kama Kongo?! Tumieni akili na raisi wenu dhaifu...anaedai viongozi wa rwanda wana mtukana yeye na watanzania wote!!! Sijamsikia KGM akiwa tukana wa TZ yeye ana mdeal JK tu kwa kuropoka kwake!
Huyu kagame si alikuwa msituni na anahusika na mauaji ya hao wanyarwanda kama inavosemekana?
since aliingia kwa damu madarakani kiburi chake hakiwezi kwisha.
ajiangalie sana kwani Ghadafi was like him, yuko wapi sasa?
how can u be a good president if yu dont side with your enemies?
Kikwete alikuwa Waziri wa mambo ya nje kwa miaka 10, alikuwa na degree ya nini?
Huyu na rais wake wote wapumbavu tu.
mnaomtetea kikwete akili zenu ni kama za kikwete mwenyewe.. you all FDLR sympathisers..!!