Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,193
watanzania bwana eti elimu yake siyo chenge si msomi acha zako ni charisma ndiyo I smarter. Kuna waziri wa uchumi na fedha katika nchifulani ndogo katika umoja wa ulaya ana degree ya uvuvi marine and fishing lakini uchumi wa nchi hiyo umetulia na unastwai and. Stable yakwetu hapa maprofessor halat bwenyenye
Sawasawa,Daktari anakua waziri wa ulinzi anashughulika na vifaru na makombora.Au siyo?Halafu milipuko ya mbagala na gongo la mboto anasema sijiuzulu na watu wanamhurumia kwa kuwa si fani yake,sivyo?Well...!