Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,193
Run as fast as you can MwanaCHADEMA mwenzangu.Kweli sasa nimeamini kuwa ukishajiweka upande wa maCCM katika jambo lolote lile uwezo wako wa kufikiri la zima ushuke tu.Nashangaa unamshangaa yule Mama wa Rwanda kuwa Waziri Mambo ya Nje,Je JK wakati huo akiwa katika Wizara hiyo alisomea nini?
Kweli nyani haoni kundule, unatilia shaka uwezo wa kidiplomasia wa huyo mama huku wa Membe unauona perfect...
Kumbe Membe na mtangulizi wake Kikwete walisoma International relations kama Hillary Clinton na John Kerry, ha ha haaa, good good Jembe la Chadema
mnaomtetea kikwete akili zenu ni kama za kikwete mwenyewe.. you all FDLR sympathisers..!!
1.We supported Kabila senior since the 60s, after the assasination of Patrice Lumumba. The aim was to establish a Socialist and democratic Congo, with the help of Che Guavara and Cuban Special forces, it didn't work because of the lack of committment from Kabila Troops coupled with CIA and other mercenaries supporting Mobutu. We were involved in the march to Kinshasa and subsequent training of Congo forces for a short period, before Kabila, walked out of the power sharing meeting held at Dar es salaam Sheraton Hotel. We somehow disowned him and RPF took over the military operations under Kabila.
2.Labda ungetuambia, kuhusu Mtikila, ila Ngara,BIHARAMULO na Geita zimekuwa over saturated na illegal immigrants. Siyo Mtikila peke yake hata wakazi wengi wa wilaya hizo wamekuwa wakilalamika .. crimes, land disputes, corruption etc. Something has to be done, dont you think?
3. Kwa watanzania, ni rahisi sana kumjua mhamiaji. Kwa mfano wewe ni mhamiaji, siyo mtanzania. We can easily spot them, ukiwa mtulivu poa, ukileta chokochoko huwa tunakuwa na roho mbaya sana, naomba mungu aepushie mbali.
4. Kuhusu mgogoro, we USED TO love and admire Kagame as a no nonsense president, he curbed corruption and helped change Rwanda a lot, we wanted a president like him. We used to (just few months ago) think that he's just like one of our own, we harbored RPF fighters. Kagame speaks good swahili na hata kwata za RPF zinapigwa kiswahili, wewe unadhani kuna kwata ya kitusi kwenye trainings za M23?, RPF?, NRA? .... HATA MAHI MAHI NA iNTERAHAMWE KWATA ZAO siyo za kiswahili.
Tunajua kuwa tumewatrain RPF, directly or indirectly, tumewakalisha na Habraymana na tumewafavor RPF from day one. Museveni is our own too, JWTZ, RPF na NRA NI brothers at arms kama walivyo FRELIMO na MPLA na SWAPO au hata ZANU fighters.... why would we want anything bad to happen to Rwandese??
AMEHARIBU NA AMEPOTEZA Heshima iliyokua mioyoni mwa watanzania, Tanzania is the most patriotic, the most Pan Africanist and above all those, the most blessed geographically and tactically to smash any surrounding "Districts" that dare disrespect, cause harm and/or move an inch of our borders ..... what makes it dangerous is, we know that and we grew up knowing that.
YOU GUYS NEED TO REALLY CHECK YOURSELVES, TALK TO YOUR COUNTRYMEN ....
Huyu na rais wake wote wapumbavu tu.
mnaomtetea kikwete akili zenu ni kama za kikwete mwenyewe.. you all FDLR sympathisers..!!
mnaomtetea kikwete akili zenu ni kama za kikwete mwenyewe.. you all FDLR sympathisers..!!
kupitia huu mgogoro na Rwanda nimejua true colour ya ben saanane!!
Kikwete alikuwa Waziri wa mambo ya nje kwa miaka 10, alikuwa na degree ya nini?
Huyu na rais wake wote wapumbavu tu.
Membe alisomea International Relations.JK hakusomea na ali-mess.Taaluma za watu ziheshimiwe.Leave US out maana wana policy ya mambo ya nje ambayo ni clear na ni pilot.Makamu wa Rais ni bingwa wa sera za mambo ya nje na anabeba majukumu mazito.Tusijichanganye!
Yaani kiwaziri cha kinchi kama Rwanda kinataka kumjibu Kikwete!!!
sawa kabisa alichowafanyia wenzake ndiyo kinachomtesa ,ana usiri ambao wenzao wanataka kuumaliza yeye bado anaufichaHuyu kagame si alikuwa msituni na anahusika na mauaji ya hao wanyarwanda kama inavosemekana?
since aliingia kwa damu madarakani kiburi chake hakiwezi kwisha.
ajiangalie sana kwani Ghadafi was like him, yuko wapi sasa?
how can u be a good president if yu dont side with your enemies?
Huyu dada yake Londe Ndasingwa aache kutumia emotions. Huyu Mama aliwekwa katika hiyo position na Kagame kwa makusudi ili mtumie kwenye rhetorics za genocide kwa kuwa kaka yake Londe aliuawa mwaka 1994 akiwa mtutsi pekee kwenye baraza la mawaziri la Habryiamana. Alitekwa na kuuawa yeye na mke wake raia wa Canada.
Sasa Kagame alijua Louise atakua bitter katika rhetorics za Genocide ndiyo maana akamteua badala ya kuteua wanadiplomasia wengine. Huyu mama kitaaluma kasomea public relations kwa hiyo intellectual pedigree yake inaweza kuwa questioned kwenye masuala ya kimataifa kwa kuwa anaweza kuwa na upungufu wa maarifa katika fani hiyo
Hajui waliommaliza kaka yake ndiyo waliomzunguka?
Huyu ben skuizi nina mashaka nae