Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,193
watanzania bwana eti elimu yake siyo chenge si msomi acha zako ni charisma ndiyo I smarter. Kuna waziri wa uchumi na fedha katika nchifulani ndogo katika umoja wa ulaya ana degree ya uvuvi marine and fishing lakini uchumi wa nchi hiyo umetulia na unastwai and. Stable yakwetu hapa maprofessor halat bwenyenye
Ben huwa nasoma na kufurahishwa na ujenzi wa hoja zako.
Mintaarafu dai hili, nimekuwa nakusoma sana katika suala la Kagame vs. JK na kugundua kwamba wakati mwingine 'uzalendo' ukiwekwa sukari nyingi unaweza ukageuka kuwa mchungu. Kwa watu wanaofuatilia kwa makini utendaji wa Mhe Rais Dr. JK katika nafasi yake ya urais (na sio vinginevyo) na wanataka kuwa wakweli watakubaliana kuwa anayo sehemu kubwa ya udhaifu. Kila binadamu ana udhaifu wa aina fulani. Kwa hivyo kusema Mhe JK ana udhaifu fulani sio dhambi wala kitu cha ajabu.
Kuhusu suala hili la Kagame vs JK, nimegundua kitu kimoja kikubwa kwamba sisi Wabongo ndio tunafikiria tu binadamu pekee wenye hisia na wengine ni 'marobot'! Nikizingatia kauli ambazo Mhe Rais Dr JK amewahi kuzitoa hadharani kuhusu masuala yetu ya humu humu ndani ya nchi na kutuacha baadhi yetu midomo wazi - mfano, "watoto wa shule wanaopata mimba wanazipata kwa sababu ya kiherehere chao" - kwa nini tusifikirie kuwa kauli aliyotoa kuhusu mgogoro wa ndani ya Rwanda nayo inaweza kuwaacha wanyarwanda 'midomo wazi'?
Kwa sababu nao ni binadamu wenye hisia kama tulivyo sisi wabongo. Hili sio sula la 'uzalendo' bali ni suala la 'umakini katika utawala'. Udhaifu wa JK umetumeza sote na tunafungia akili zetu katika makabati! Wanyarwanda may have a point - let's take a step back and give the whole issue a serious thought rather than being dragged into 'udhaifu' zone.
Wewe acha kuwa na akili za Bavicha. Hakuna kitu kinaitwa kudeal na Kikwete alone. Anayedeal na Kikwete anadeal na watanzania.
Amka toka usingizini...
Kwa asiyefahamu taaisisi ya uraisi na mtu binafsi ni vigumu kuelewa jambo hili.....? Kama alimsema binafsi kwanini Membe alilijibu bungeni? Kikwete alikwenda kuongea AU kama mtu binafsi au Rais wa Tanzania...? Kweli ww ni Mzizi wa Mbuyu......wataalamu wa miti wanasema mbuyu ni mti ambao uko upside-down...!
Nyerere alikuwa ana deal na amini moja kwa moja, na kila mara alisema amini ni joka lililovamia nchi yetu hakuwahi kusema waganda!! na ndio maana waganda walimuunga mkono!! Na mie na muunga mkono KGM ng'oa hii nduli ya TZ!
Yaani kiwaziri cha kinchi kama Rwanda kinataka kumjibu Kikwete!!!
...mmh!! Dr. Slaa kaingiaje hapa tena?. Magamba mna tabu lol!!Wewe na Dr. Slaa akili zenu hazina tofauti...
Kanchi hako kanalingana na mkoa au wilaya gani hapa nchini?
After Kikwete's speech, Rwandan Foreign Minister Louise Mushikiwabo was quoted by Radio France Internationale (RFI) suggesting Kikwete could be an FDLR sympathiser and was adamant that Rwanda would not negotiate with people it considers responsible for the 1994 genocide against Tutsis.
Ethnic Hutu militia and soldiers butchered 800,000 minority Tutsis and politically moderate Hutus in the tiny east African country in just 100 days between April and June 1994. Kikwete said he had been a target of insults and ridicule from Rwandan leaders, while also hearing a lot of "alleged plots" against Tanzania and himself. He did not elaborate.
"I would like to reiterate that neither I nor my government have any conflict nor any ill intentions towards Rwanda," he said.
A 17,000-strong U.N. force, known as MONUSCO, and Congo troops have struggled over the past decade to stem a conflict involving dozens of armed groups and complicated by national and ethnic rivalries. A new 3,000-member U.N. Intervention Brigade was recently deployed to fight and disarm rebels in the east.
(Writing by Drazen Jorgic; Editing by Alistair Lyon)
Wewe na Dr. Slaa akili zenu hazina tofauti...
Naona bangi zinasumbua kichwa yako, yaani kujiunga tu jana hapa JF unakuja na mitusi kibao namna hii kwa Rais wetu, wewe ni Mtutsi waheed na km sio Koba ni Murutongorekupitia huu mgogoro na Rwanda nimejua true colour ya ben saanane!!kayaman; aaaahh kumbe mnalopoka huko nje mkitegemea support ya watanzania... round hii mnalo!!
[h=2]Re: Rais Kikwete akutana na wasanii mbali mbali wa kizazi kipya kwa maongezi na kuwafuturisha. [/h] hao punda ndo' saizi yake.. mambo ya kagame na M23 awaachie wenyewe!
Na wewe tafuta busara ni lini Kagame kaingilia nchi yetu, tunachongelea ni DRC na sisi tumepeleka vikosi huko.Nyerere alikuwa ana deal na amini moja kwa moja, na kila mara alisema amini ni joka lililovamia nchi yetu hakuwahi kusema waganda!! na ndio maana waganda walimuunga mkono!! Na mie na muunga mkono KGM ng'oa hii nduli ya TZ!
Watanzania kuingilia mambo yasiyo wahusu, unadhani Tanzania tunao wakimbizi wangapi kwenye nchi yetu??? Bila vita wangeleitoka wapi, huoni kama hilo linatuhusu??? Upewe hifadhi miaka yooote sasa unajiona wewe ni bora saana??? Kwanini usikae chini ukafikiri madhara ya vita badala ya kushabikia mauwaji, acha roho za chuki na uuuwaji, muogope Mungu fanya mapatano na adui yako, adui mpende!!!!!Wewe nd -------- maana huoni ujinga wa rais wenu kilaza kuingilia mambo yasiyomhusu...mitanzania mijitu ya hovyo sana
Kazi za waziri wa eac sitta ni nini????? Vikao vinafanyika ata kutoa taarifa; toa msimamo wa serikali anakaa kimya; sioni kwa akili yangu anamkomoa jakaya kikwete ila anakomoa watanzania. Rwanda waziri na anajibu kwa niaba ya rais kp
Kiswahili chenyewe mgogoro, pole saana!! Hivi mmeingia hapa JF kutete muuwaji PK?? Acha roho za chuki na mauwaji mshauri Rais wenu apatane na adui zake, ingawa naambiwa si mwepesi kusikiliza ushauri, poleni saana!!!ndo' ujiulize nimjua lini... c.h.o.k.o ww!
Kikwete alikuwa Waziri wa mambo ya nje kwa miaka 10, alikuwa na degree ya nini?
aaaahh kumbe mnalopoka huko nje mkitegemea support ya watanzania... round hii mnalo!!
Tusikimbilie vita eti tumdunde Rais wetu kashuri kukaa chini na kupatana wote sisi ni ndugu tena tumo kwenye jumuiya ya EAC ya nini tupigane??? Wacha PK apewe vidonge vyake atake asitake lazima akae na adui zake wapatane, tusimpe mlango wa kutokea, abanwe tuu!!!!Vita ni gharama lakini kulinda hadhi ya Raisi wetu na nchi yetu tuamue moja tu ,tumdunde huyu mshenzi Kagame
Wewe ndio bomu kabisa sasa Dr Slaa ametoka wapi katika hili, huwezi kukaa bila kumfikiria Dr wa ukweli????Wewe na Dr. Slaa akili zenu hazina tofauti...